GAVANA BWANKU AONGOZANA NA WATENDAJI KUKAGUA UJENZI WA DARAJA KUBWA LA KISASA LA KALEBE
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA
_Ni Daraja linalotesa Wananchi wakati wa mvua, Rais Samia aidhinisha Bilioni 9.7 linajengwa jipya la kisasa. Kukamilika Novemba._
Hakuna cha Jumamosi wala Jumapili, Katerero ni kazi juu ya kazi. Mchana wa leo Jumamosi Aprili 19, 2025 Afisa Tarafa ya Katerero iliyopo Bukoba mkoani Kagera Ndugu Bwanku M Bwanku akiongozana na Kaimu Mtendaji wa Kata ya Katerero Bi. Julie Kushoka na Mtendaji wa Kijiji Kyema Ndugu Najim Abbas wametembelea kukagua na kujionea ujenzi unaoendelea wa Daraja kubwa na la kisasa la Kalebe linalokatisha Mto Ngono litakalokuwa na Mita 60 na barabara ya kuunganisha Daraja Mita 750 pande zote mbili.
Eneo hili limetesa wananchi sana kwa miaka mingi hasa.
SAMIA SERENGETI MUSIC FESTIVAL KUANDIKA HISTORIA
MALIASILI SC YAIHUKUMU MAHAKAMA 28โ18
TADB YATOA GAWIO LA KIHISTORIA LA
UTABIRI WA HALI HEWA KWA SAA
HAKUNA ATAKAE VURUGA AMANI YA JIJI


GAVANA BWANKU AONGOZANA NA WATENDAJI KUKAGUA UJENZI WA DARAJA KUBWA LA KISASA LA KALEBE
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA _Ni Daraja linalotesa Wananchi wakati wa mvua, Rais Samia aidhinisha Bilioni 9.7 linajengwa jipya la kisasa. Kukamilika Novemba._ Hakuna cha Jumamosi wala Jumapili, Katerero ni kazi juu ya kazi. Mchana wa leo Jumamosi Aprili 19, 2025 Afisa Tarafa ya Katerero iliyopo Bukoba mkoani Kagera Ndugu Bwanku
WAZIRI MKUU: TUNATAKA KILA MWANANCHI APATE KITAMBULISHO CHA TAIFA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema mkakati wa Serikali ni kumwezesha kila Mtanzania apate kitambulisho cha Taifa akiwa kijijini kwake. Amesema hayo leo (Alhamisi, Mei 11, 2023) bungeni wakati akijibu swali la Mbunge wa Biharamulo Magharibi, Mhandisi Ezra Chiwelesa kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu. Mbunge

RAIS MWINYI:TAASISI YA SAYANSI ZA BAHARI UDSM INA MCHANGO MKUBWA



RC CHALAMILA USO KWA USO NA WANAFUNZI WA DUCE


TADB YATOA GAWIO LA KIHISTORIA LA SHILINGI BILIONI 5.58 KWA SERIKALI
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imetangaza gawio la kihistoria la shilingi bilioni 5.58 kwa Serikali ya Tanzania kutoka shilingi milioni 850 zilizotolewa mwaka 2023. Taarifa hiyo imetolewa katika
CCM KUTUMIA 4R ZA SAMIA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos
MSAMA:AWATAKA VIONGOZI MBALIMBALI KUMUUNGA MKONO RAIS SAMIA
Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama amewataka watu wote ambao wanania mbaya


RC CHALAMILA KUWALIPIA NAULI WANA DAR ES SALAAM 200 KUSHIRIKI BETIKA MBEYA TULIA MARATHON
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ameyasema hayo leo April 15,2025

WANANCHI WAGUSWA NA MIRADI YA ELIMU INAYOTEKELEZWA NA TAWA LIWALE
๐Wakiri uhifadhi kuwa na manufaa. Na Mwandishi wetu, Lindi. Miradi ya ujenzi wa madarasa mawili yenye thamani ya shillingi

ZOEZI LA UHAKIKI MALIPO YA MBOLEA ZA RUZUKU KWA WAKULIMA WA TUMBAKU TABORA LARIZISHA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Tabora, 17 Aprili 2025 Katika kuhakikisha wakulima wa tumbaku wanapata ruzuku za mbolea Mkurugenzi Mtendaji

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YARIDHISHWA NA MAENDELEO YA UJENZI WA JENGO LA KITUO CHA ZIMAMOTO CHA BILIONI 1.9 MTUMBA DODOMA
Na Mwandishi Wetu Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama imetembelea na kukagua ujenzi wa jengo la kituo cha Jeshi la Zimamoto na Uokoaji lenye thamani ya Tsh. bilioni 1.9 katika

WMA YATOA MSAADA WA VIFAA VYA TEHAMA KWA JESHI LA POLISI
Na Mahamudu Jamal WMA Wakala wa Vipimo (WMA) imekabidhi msaada wa vifaa vya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kwa Jeshi la Polisi Mkoa wa kipolisi Ilala, Septemba 10, 2024 katika hafla iliyofanyika Makao Makuu ya

TIRDO KUTOA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MKAA MIKOA YOTE YA TANZANIA
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania-TIRDO Prof. Mkumbukwa Mtambo ameahidi Shirika lake kuendelea kutoa elimu ya matumizi wa mkaa rafiki katika Mikoa yote ya TANZANIA . Prof. Mtambo amesema hayo katika

CPA MAKALA: MAENDELEO HAYATAFUTWI KWA TOCHI
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Katibu wa itikadi na mwenezi na mafunzo CPA Amos Makala Amesema Jitihada za serikali ni kuona uboreshaji wa huduma Kwa wananchi wao Ameyasema hayo Leo Tarehe 08 Julai 2024

ZRA YAVUNJA REKODI YA MAKUSANYO ZANZIBAR
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Yakusanya bilioni 76.497/- sawa na asilimia 103.31 ya makusanyo mapato yaliyotarajiwa ZANZIBAR MAMLAKA ya Mapato Zanzibar (ZRA), imevunja rekodi ya makusanyo ya kodi kwa Septemba mwaka huu kwa kukusaya kiasi cha Shilingi

BAJETI YA WAKULIMA YAPITIASHWA KWA KISHINDO KIKUBWA
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeidhinisha matumizi ya ya Shilingi trilioni 1.24 kwa ajili ya Wizara ya Kilimo katika mwaka 2024/2025 kwa ajili ya utekelezaji wa mipango mbalimbali iliyoainishwa ili kuendelea kukuza Sekta ya


ZRA YAVUNJA REKODI YA MAKUSANYO ZANZIBAR

ZRA YASHAURI WAHARIRI KUWAJENGEA UWELEDI WAANDISHI

ZRA YAKUSANYA BILIONI 76 OKTOBA
