TANESCO, EWURA IMEWEKA MWONGOZO WA GHARAMA ZA KUUNGANISHA UMEME- KAPINGA
KITUO CHA MFANO KATENTE CHAONGEZA MAKUSANYO MBOGWE
WAZIRI MBARAWA AZINDUA MGAHAWA WA KFC STESHENI YA TRENI YA SGR JIJINI DAR ES SALAAM
NI KILWA TENA, MELI ZILIZOSHEHENI WATALII ZAPISHANA KUTIA NANGA
TANESCO, EWURA IMEWEKA MWONGOZO WA GHARAMA ZA KUUNGANISHA UMEME- KAPINGA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA
*๐ Asema Serikali imeweka ruzuku kwenye miradi ya umeme Vijijini.*
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema,Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Mamlaka ya Udhibiti Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeweka mwongozo wa gharama za kuunganisha umeme kwa wateja, ambapo gharama hizo hutofautiana kulingana na hali ya eneo.
Mhe. Kapinga ameyasema hayo leo Februari 11, 2025 Bungeni jijini Dodomaย wakati akijibu swali la Mbunge wa Kibamba, Mhe. Issa Mtemvu aliyeuliza Serikali inatofautishaje Kaya maskini Vijijini na Mijini katika kuwaunganishia umeme nchini.
“Kulingana na mwongozo huo, maeneo yanayotambuliwa kama miji na vijiji miji, gharama ya kuunganisha umeme ni shilingi 320,960 na kwa maeneo ya vijiji gharama ya.
KITUO CHA MFANO KATENTE CHAONGEZA MAKUSANYO
WAZIRI MBARAWA AZINDUA MGAHAWA WA KFC
NI KILWA TENA, MELI ZILIZOSHEHENI WATALII
RAIS MWINYI :MIFUMO IMARA YA HAKI
WASIRA :CCM TUTASHIKA DOLA KWA KURA


TANESCO, EWURA IMEWEKA MWONGOZO WA GHARAMA ZA KUUNGANISHA UMEME- KAPINGA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA *๐ Asema Serikali imeweka ruzuku kwenye miradi ya umeme Vijijini.* Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema,Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Mamlaka ya Udhibiti Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeweka mwongozo wa gharama za kuunganisha umeme kwa wateja, ambapo gharama hizo
WAZIRI MKUU: TUNATAKA KILA MWANANCHI APATE KITAMBULISHO CHA TAIFA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema mkakati wa Serikali ni kumwezesha kila Mtanzania apate kitambulisho cha Taifa akiwa kijijini kwake. Amesema hayo leo (Alhamisi, Mei 11, 2023) bungeni wakati akijibu swali la Mbunge wa Biharamulo Magharibi, Mhandisi Ezra Chiwelesa kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu. Mbunge

NI KILWA TENA, MELI ZILIZOSHEHENI WATALII ZAPISHANA KUTIA NANGA

JNHPP KUKAMILIKA DISEMBA

SHAKIRA ATUHUMIWA KWA UHALIFU WA KUTOLIPA KODI MARA PILI



WAZIRI MBARAWA AZINDUA MGAHAWA WA KFC STESHENI YA TRENI YA SGR JIJINI DAR ES SALAAM
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Waziri wa Uchukuzi Prof.Makame Mbarawa Azindua mgahawa wa KFC uliopo Katika Stesheni ya Treni ya kisasa ya SGR jijini Dar es salaam Leo 11 February 2025. Amesema kuwa Kwa Kufunguliwa
WAZIRI MAVUNDE AWATAKA WATUMISHI GST KUCHAPA KAZI
GST kujenga Maabara ya Kisasa jijini Dodoma* GST ni Moyo wa Sekta
NI MAKOSA KUJIHUSISHA NA BIASHARA NDOGO ZA HUDUMA ZA FEDHA BILA LESENI YA BENKI KUU
Benki Kuu ya Tanzania imebaini kuwa kuna baadhi ya taasisi, kampuni na


DC BARIADI AKEMEA VIKALI VITENDO VYA KUCHUNGIA MIFUGO NDANI YA HIFADHI
Na Mwandishi wetu, Bariadi -Simiyu Mkuu wa Wilaya ya Bariadi Mhe. Simon Simalenga amekemea vikali vitendo vya baadhi ya

WANANCHI WATAKIWA KUTUMIA FURSA YA MIRADI KUUNGANISHA UMEME – MHE. KAPINGA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐ *Lengo ni wananchi kuepuka gharama inayotokana na kuunganisha umeme wakati miradi imekamilika* Naibu Waziri

BODI YARIDHISHWA NA MAENDELEO YA UJENZI OFISI KUU WMA
โ *Mkandarasi kukabidhi Jengo kwa WMA Februari 10* โ *Watumishi kuhamia rasmi Dodoma hivi karibuni* *Na Veronica Simba โ

TANZANIA NA MALAWI KUINGIA MAKUBALIANO YA MIAKA MIWILI
Nchi ya Tanzania na nchi ya Malawi yaingia makubaliano wa miaka miwili Katika na ushirikiano Katika sekta ya nishati Makubaliano hayo ya understand kati ya lastcop na shirika la umeme la Malawi Akizungumza na waandishi wa

BASHUNGWA ATOA MASAA MATATU KUREJESHWA.MAWASILIANO YA BARABARA YA MTWARA-MASASI ILIYOKATIKA
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameelekeza Wakala wa Barabara (TANROADS) kuhakikisha wanarejesha mawasiliano ya barabara iliyokatika eneo la Maili Mbili katika barabara ya Mtwara-Mingoyo-Masasi ndani ya masaa matatu mara baada ya Daraja kusombwa na maji katka

USIUPOTEZE MWAKA HUU KWA NAMNA HII
Tunakaribia kuumaliza mwaka huu na kuingia mwaka mpya 2024. Mwaka huu ulikuwa na mipango na mawazo mazuri mengi.Yako ambayo uliyafanyia kazi na ambayo hujayafanyia kazi. Kila mwaka lazima ufanye kitu cha ushindi, usiache mwaka uishe bila

TANZANIA NA UGANDA WAZIDI KUIMALISHA MAHUSIANO SEKTA YA MIFUGO
Tanzania na Uganda inaendelea kuimarisha ushirikiano na mahusiano katika sekta ya mifugo kwa kusaini makubaliano ya udhibiti wa magonjwa ya wanyama yanayovuka mipaka na yanayo ambukiza binadam katika maeneo ya mipaka. Akizungumza na waandishi wa habari

WMA YAHAMASISHA MATUMIZI SAHIHI YA VIPIMO KWA WATUMISHI NSSF ILALA
Na Mahamudu Jamal WMA Wakala wa Vipimoย Tanzania (WMA), imewahamasisha watumishi wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) Ilala, kujenga tabia ya kuwa makiniย naย namna vipimo vinavyotumika kila wanapopata huduma na mahitaji mbalimbali.
BANDARI KAVU KWALA KUONGEZA MAPATO
Meneja miliki wa Mamlaka ya Bandari, Alexander Ndibalema akizungumza na Waandishi wa Habari leo Mei 27, 2023 Serikali kupitia TPA imeamua kujenga Bandari Kavu eneo la Kwala โQuarantineโ Ruvu. Katika awamu ya kwanza, Hekta 502 zimetwaliwa


ZRA YAVUNJA REKODI YA MAKUSANYO ZANZIBAR

ZRA YASHAURI WAHARIRI KUWAJENGEA UWELEDI WAANDISHI

ZRA YAKUSANYA BILIONI 76 OKTOBA
