HABARI KUBWA

FAHAMU UGONJWA WA HOMA YA INI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA

UGONJWA WA HOMA YA INI


HOMA YA INI ni UGONJWA unaoambukizwa kwa njia ya VIRUSI ambavyo vikishaingia MWILINI hushambulia INI kabla ya kugeuka kuwa MARADHI SUGU.VIRUSI ivyo vinaitwa HBV – HEPATITIS B VIRUSES.

VIRUSI hivi husambazwa kwa njia ya DAMU au MAJIMAJI mengine ya MWILINI mfano MATE au JASHO.

UGONJWA huu kama haujatibiwa hutengeneza UVIMBE katika INI na kusababisha KANSA ya INI na baadaye KIFO.

JINSI UNAVYOAMBUKIZWA.
Katika maeneo hatari zaidi DUNIANI,virusi vya HEPATITIS B ( HBV ) kwa kawaida husambazwa kutoka kwa MAMA kwenda kwa MTOTO wakati wa kuzaliwa au kutoka kwa MTU mmoja hadi mwingine hususani nyakati za UTOTONI.

Kama ilivyo kwa UKIMWI virusi vya HOMA ya.

Tangaza hapa-3
Email
Twitter
META
WhatsApp

FAHAMU UGONJWA WA HOMA YA INI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA UGONJWA WA HOMA YA INI HOMA YA INI ni UGONJWA unaoambukizwa kwa njia ya VIRUSI ambavyo vikishaingia MWILINI hushambulia INI kabla ya kugeuka kuwa MARADHI SUGU.VIRUSI ivyo vinaitwa HBV – HEPATITIS B VIRUSES. VIRUSI hivi husambazwa kwa njia ya DAMU au MAJIMAJI mengine ya MWILINI mfano

WAZIRI MKUU: TUNATAKA KILA MWANANCHI APATE KITAMBULISHO CHA TAIFA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema mkakati wa Serikali ni kumwezesha kila Mtanzania apate kitambulisho cha Taifa akiwa kijijini kwake. Amesema hayo leo (Alhamisi, Mei 11, 2023) bungeni wakati akijibu swali la Mbunge wa Biharamulo Magharibi, Mhandisi Ezra Chiwelesa kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu.  Mbunge

KITAIFA

BODI YA UTALII YAENDELEZA JITIHADA ZA RAIS SAMIA

Tanzania itakuwa mwenyeji wa onyesho kubwa la Swahili International Tourism Expo (SITE 2024) kuanzia tarehe 11 hadi 13 Oktoba 2024, litakalofanyika Mlimani City, Dar es Salaam. Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Utalii, Efrahimu Mafuru, amesema onyesho

KITAIFA

DKT SAMIA WALIPO VIJANA NAMI NIPO

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -MWANZA RAIS Samia Suluhu Hassan amesema hawezi kuwaacha vijana katika uongozi wake na ndio maana amechagua viongozi wengi vijana wanaomsaidia kazi Serikalini, na hivyo kuahidi kushikana nao bega kwa bega. Kauli hiyo