HABARI KUBWA

KAMATI YA BUNGE YAIPONGEZA SERIKALI  UJENZI WA VITUO VIPYA VYA KUJAZIA GESI KWENYE MAGARI (CNG)



📌 *Kituo mama cha CNG katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuhudumia magari 1,200 kwa siku*

📌 *Serikali yaendelea kuhamasisha Sekta binafsi ujenzi wa vituo vya CNG*

Serikali kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) imepongezwa kwa ujenzi wa mradi wa Kituo mama cha gesi iliyoshindiliwa yaani Compressed Natural Gas (CNG)  na Vituo vidogo viwili vya kupokea na kuhifadhi CNG kwa wateja wa awali.

Pongezi hizo zimetolewa Januari 25, 2025 na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Mhe. David Mathayo David wakati wa ziara ya kukagua ujenzi wa kituo hicho.

Tangaza hapa-3
Email
Twitter
META
WhatsApp

WAZIRI MKUU: TUNATAKA KILA MWANANCHI APATE KITAMBULISHO CHA TAIFA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema mkakati wa Serikali ni kumwezesha kila Mtanzania apate kitambulisho cha Taifa akiwa kijijini kwake. Amesema hayo leo (Alhamisi, Mei 11, 2023) bungeni wakati akijibu swali la Mbunge wa Biharamulo Magharibi, Mhandisi Ezra Chiwelesa kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu.  Mbunge

MICHEZO

SIMBA WATOLEWA KATIKA MICHUANO YA AFL2023

AFL2023: Licha ya safari ya Klabu ya Simba kukatishwa na Goli la Ugenini lililoibeba Klabu ya Al Ahly, Wekundu hao wa Msimbazi wamejihakikishia malipo ya Dola za Marekani 1,000,000 zilizotangazwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF)

KITAIFA

HARAMBEE YA KUCHANGIA WATOTO WALEMAVU YAJA KWA KISHINDO

Taasisi ya Dayosisis ambayo inayolea watoto walemavu na wasiojiweza ambayo anakabiliwa na changamoto ya miundombinu mbalimbali ikiwemo uchakavu na ukosefu wa vitendea kazi. Taasisi hiyo inafanya harambee Kwa ajili ya kuwasaidia watoto walemavu ambao wasioona na

KITAIFA

UDINI NI HATARI,KUCHOMA NGUO NI UTOTO

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amewahimiza Watanzania kuendelea kushirikiana na CCM, akisisitiza kuwa chama hicho kimeonyesha kwa vitendo uwezo wa kuongoza nchi na dhamira ya

KITAIFA

ULEGA  AITAKA TEMESA KUJA NA TATHMINI CHANYA UJENZI VIVUKO VIPYA

Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega ameutaka Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA),  kufanya tathmini ili kujua athari chanya zitakazopatikana kwa jamii kutokana na ujenzi wa vivuko vipya sita vinavyoendelea kujengwa na kutarajiwa kukamilika hivi karibuni.