TANESCO, EWURA IMEWEKA MWONGOZO WA GHARAMA ZA KUUNGANISHA UMEME- KAPINGA
KITUO CHA MFANO KATENTE CHAONGEZA MAKUSANYO MBOGWE
WAZIRI MBARAWA AZINDUA MGAHAWA WA KFC STESHENI YA TRENI YA SGR JIJINI DAR ES SALAAM
NI KILWA TENA, MELI ZILIZOSHEHENI WATALII ZAPISHANA KUTIA NANGA
TANESCO, EWURA IMEWEKA MWONGOZO WA GHARAMA ZA KUUNGANISHA UMEME- KAPINGA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA
*๐ Asema Serikali imeweka ruzuku kwenye miradi ya umeme Vijijini.*
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema,Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Mamlaka ya Udhibiti Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeweka mwongozo wa gharama za kuunganisha umeme kwa wateja, ambapo gharama hizo hutofautiana kulingana na hali ya eneo.
Mhe. Kapinga ameyasema hayo leo Februari 11, 2025 Bungeni jijini Dodomaย wakati akijibu swali la Mbunge wa Kibamba, Mhe. Issa Mtemvu aliyeuliza Serikali inatofautishaje Kaya maskini Vijijini na Mijini katika kuwaunganishia umeme nchini.
“Kulingana na mwongozo huo, maeneo yanayotambuliwa kama miji na vijiji miji, gharama ya kuunganisha umeme ni shilingi 320,960 na kwa maeneo ya vijiji gharama ya.
KITUO CHA MFANO KATENTE CHAONGEZA MAKUSANYO
WAZIRI MBARAWA AZINDUA MGAHAWA WA KFC
NI KILWA TENA, MELI ZILIZOSHEHENI WATALII
RAIS MWINYI :MIFUMO IMARA YA HAKI
WASIRA :CCM TUTASHIKA DOLA KWA KURA


TANESCO, EWURA IMEWEKA MWONGOZO WA GHARAMA ZA KUUNGANISHA UMEME- KAPINGA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA *๐ Asema Serikali imeweka ruzuku kwenye miradi ya umeme Vijijini.* Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema,Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Mamlaka ya Udhibiti Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeweka mwongozo wa gharama za kuunganisha umeme kwa wateja, ambapo gharama hizo
WAZIRI MKUU: TUNATAKA KILA MWANANCHI APATE KITAMBULISHO CHA TAIFA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema mkakati wa Serikali ni kumwezesha kila Mtanzania apate kitambulisho cha Taifa akiwa kijijini kwake. Amesema hayo leo (Alhamisi, Mei 11, 2023) bungeni wakati akijibu swali la Mbunge wa Biharamulo Magharibi, Mhandisi Ezra Chiwelesa kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu. Mbunge

TAWA IMELETA MAPINDUZI MAKUBWA KATIKA SEKTA YA UTALII KILWA -DC KILWA
Na. Beatus Maganja Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mhe. Christopher Emil Ngubiagal


RAIS MWINYI:TUSIPANDISHE BEI ZA BIDHAA KATIKA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi amewahimiza Wafanyabiashara kujiandaa na Mwezi Mtukufu wa

WAZIRI MBARAWA AZINDUA MGAHAWA WA KFC STESHENI YA TRENI YA SGR JIJINI DAR ES SALAAM
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Waziri wa Uchukuzi Prof.Makame Mbarawa Azindua mgahawa wa KFC uliopo Katika Stesheni

KITUO CHA MFANO KATENTE CHAONGEZA MAKUSANYO MBOGWE
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA *Afisa Madini atoa Wito wachimbaji kuvitumia* *Abainisha fursa za Uwekezaji Sekta ya Uchimbaji mdogo Mbogwe*

AGRA INAONGOZA KUWAWEZESHA VIJANA KWA UBUNIFU WA KILIMO
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Taasisi ya Mageuzi ya Vijana Tanzania (AGRA) imetangaza kuwa itakuwa mwenyeji wa Mkutano wa Sera wa Vijana na Ubadilishaji wa Mifumo ya Chakula, ambao utawakutanisha wawakilishi wa vijana, washirika

SERIKALI KUENDELEZA MJADALA NA KAMPUNI ZA NISHATI ZA KIMATAIFA
Na Mwandishi Wetu DODOMA Serikali inaendelea na majadiliano na Kampuni za Nishati za Kimataifa kwa ajili ya kutekeleza Mradi wa kuchakata na kusindika Gesi Asilia ili kuwa kimiminika-LNG. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Nishati,

BALOZI NCHIMBI ATOA SOMO UVCCM
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA _Awataka kushindana kwa hoja, akiwakabidhi jukumu zito Serikali za Mitaa_ _Asema โCCM itawashinda kwa namna ambavyo hawajawahi kushindwaโ_ Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, ametoa wito

BARABARA KUFUNGWA DAR,BODABODA,BAJAJI HAZIRUHUSIWI MJINI
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA – Asema mpaka sasa Marais wengi wamekwishafika – Kufuatia uwepo wa ugeni huu Mkubwa baadhi ya barabara zitafungwa na kufunguliwa ili kuepusha usumbufu kwa wageni – Asisitiza kuwa Serikali imeelekeza tarehe 27-28
WAZIRI MASAUNI, KATIBU MKUU MMUYA, MWENYEKITI WA KAMATI YA NUU, KAWAWA WASHIRIKI MKUTANO WA KIMATAIFA WA IKOLOJIA YA UTAMBULISHO NAIROBI, KENYA
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni akizungumza na Katibu Mkuu wa Wizara ya Uhamiaji Kenya, Prof. Julius Bitok (kushoto), kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Kimataifa wa ID4AFRICA unaojadili masuala ya Ikolojia

ZIARA YA BALOZI NCHIMBI YAFYEKA ACT,CUF NA CHADEMA KUSINI
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Ziara ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, inayoendelea katika mikoa ya Kusini, akianzia Mtwara na sasa yuko Lindi, imewahamisha viongozi waandamizi wa vyama vya ACT


ZRA YAVUNJA REKODI YA MAKUSANYO ZANZIBAR

ZRA YASHAURI WAHARIRI KUWAJENGEA UWELEDI WAANDISHI

ZRA YAKUSANYA BILIONI 76 OKTOBA
