OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAJIZATITI KUBORESHA UWEZO WA MAWAKILI WA SERIKALI
BODI YA WAKURUGENZI PURA YATUA SONGO SONGO, YATOA NENO UTEKELEZAJI MIRADI YA CSR
MRADI WA TAZA MBIONI KUKAMILIKA – KAPINGA
TMDA KUNUFAIKA MIAKA MINNE YA RAIS SAMIA KATIKA HUDUMA YA AFYA
OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAJIZATITI KUBORESHA UWEZO WA MAWAKILI WA SERIKALI
Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imejipanga katika kuendelea kuimarisha na kuboresha uwezo wa Mawakili wa Serikali nchini, hayo yamesemwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari wakati akizungumza na kwenye Mkutano maalaumu na vyombo vya habari uliofanyika tarehe 19 Machi, 2025 katika Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali Kivukoni Jijini, Dar es Salaam.
Akizungumza katika mkutano huo, Mwanasheria Mkuu wa Serikali amesema Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imeandaa mafunzo maalumu kwa Mawakili wa Serikali nchini yatakayofanyika Jijini Arusha kuanzia tarehe 24 hadi 28 Machi, 2025 yakiwa na lengo la kuongeza umahiri na utendaji kazi wa Mawakili hao.
Mafunzo hayo kwa Mawakili wa Serikali ni sehemu ya kuimarisha utaratibu.
BODI YA WAKURUGENZI PURA YATUA SONGO
MRADI WA TAZA MBIONI KUKAMILIKA –
TMDA KUNUFAIKA MIAKA MINNE YA RAIS
Dkt. Biteko aipongeza EWURA Usimamizi Mamlaka
DKT. BITEKO AZITAKA MAMLAKA ZA MAJI


OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAJIZATITI KUBORESHA UWEZO WA MAWAKILI WA SERIKALI
Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imejipanga katika kuendelea kuimarisha na kuboresha uwezo wa Mawakili wa Serikali nchini, hayo yamesemwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari wakati akizungumza na kwenye Mkutano maalaumu na vyombo vya habari uliofanyika tarehe 19 Machi, 2025 katika Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa
WAZIRI MKUU: TUNATAKA KILA MWANANCHI APATE KITAMBULISHO CHA TAIFA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema mkakati wa Serikali ni kumwezesha kila Mtanzania apate kitambulisho cha Taifa akiwa kijijini kwake. Amesema hayo leo (Alhamisi, Mei 11, 2023) bungeni wakati akijibu swali la Mbunge wa Biharamulo Magharibi, Mhandisi Ezra Chiwelesa kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu. Mbunge

TANZANIA IMEUNGANA TENA KWA KISHINDO TUZO YA CHAKULA CHA AFRIKA

RAIS SAMIA ASHUSHA NEEMA KWA WALIMU SOMA MAGAZETI YETU KILA SIKU

USIUPOTEZE MWAKA HUU KWA NAMNA HII

DARAJA LA MWANANCHI MWANZA KUKARABATIWA


TMDA KUNUFAIKA MIAKA MINNE YA RAIS SAMIA KATIKA HUDUMA YA AFYA
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Mamlaka ya dawa na tiba asilia TMDA yamtakia MHE RAIS SAMIA Kwa kufikisha miaka minne Katika kutumikia nchi ya Tanzania Kwa miaka hiyo aliyokuwa madarajani na kufanya mapinduzi Katika maswala
RAIS DK MWINYI AHIMIZA KUHIFADHI QURAN NA KUFUNDISHA
Na mwandishi wetu Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi


MGOMBEA WA URAIS CHAMA CHA NLD DOYO KUCHUKUA FOMU YA URAIS KESHO
Mtia nia wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha National League for Democracy

TASAF YAONGEZA MAHUDHURIO KLINIKI,SHULE
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Na Mwandishi Wetu MFUKO wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), kupitia ruzuku wanayotoa kwa kaya masikini,

JUA SABABU 69 ZA MWARUBAINI KUWA TIBA MATAIFA YOTE NCHINI
1. Kwa Waswahili unaitwa Mwarobaini kwa sababu unatibu magonjwa arobaini. 2. Kwa Wahindi unaitwa Duka la Dawa la Kijiji
TANZANIA YADHAMIRIA KUBORESHA UHIFADHI WA URITHI WA UKOMBOZI
Ujumbe wa Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja katika Kituo cha Makumbushoya Nelson Mandela Foundation Mei 23, 2023 Johannesburg Afrika Kusini. Serikali Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibarzimedhamiria kuboresha na kuimarisha uhifadhi

ASLIMIA 77 WANANCHI VIJIJINI WAFIKIWA NA HUDUMA YA MAJI
KATIKA kipindi cha miaka minne tangu kuanzishwa kwa Wakala wa Huduma ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) ,asilimia 77 ya wananchi waishio vijijini wamefikiwa na huduma hiyo. Akizungumza katika maonyesho ya Kimataifa ya Madini

SERIKALI YATANGAZA VIPAUMBELE VITANO SEKTA YA ELIMU 2024/2025
JIJINI DODOMA โVipaumbele vya Wizara Elimu kwa mwaka wa fedha 2024/25 ni kama vifuatavyo: Kuendelea na utekelezaji wa sera na mitaala, mapitio ya sheria na kuandaa miongozo ya utoaji elimu na mafunzo nchini Kuongeza fursa na
HABARI PICHA; RAIS SAMIA AZINDUA MRADI WA MINARA YA KURUSHIA MATANGAZO YA TELEVISHENI ARDHINI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akibonyeza Kitufe kuashiria ufunguzi wa Mradi wa Minara ya kurusha matangazo ya Televisheni Ardhini (DTT) ya Kampuni ya Azam Media kwenye hafla iliyofanyika katika Makao

RAIS MSTAAFU KIKWETE ATOBOA SIRI YA USHINDI WA CCM
Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amesema anafurahishwa na namna makada, wanachama na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano

TUGHE YAMUUNGA MKONO RAIS SAMIA YAPELEKA WATALII 800 HIFADHI YA NGORONGORO
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Wageni zaidi ya 800 kutoka Chama cha oWafanyakazi wa Serikali na Afya (TUGHE) wamefanya ziara ya kihistoria katika eneo la hifadhi ya Ngorongoro jana tarehe 29 agosti, 2024. Ziara hiyo ambayo imefanyika


ZRA YAVUNJA REKODI YA MAKUSANYO ZANZIBAR

ZRA YASHAURI WAHARIRI KUWAJENGEA UWELEDI WAANDISHI

ZRA YAKUSANYA BILIONI 76 OKTOBA
