MAAJABU YA KUTEMBEA PEKUPEKU NA KUSHIKA VITU VIGUMU KATIKA KUTIBU SARATANI
RAIS MWINYI AWAAHIDI KLABU YA SIMBA DOLA LAKI 1 ZA KIMAREKANI
DKT. BITEKO AWATAKA WAZAZI KUVUMILIANA KUTUNZA FAMILIA ZAO
MADINI YA ALMASI YENYE THAMANI YA TSH 1.7 BILIONI YAKAMATWA YAKITOROSHWA UWANJA WA NDEGE MWANZA
MAAJABU YA KUTEMBEA PEKUPEKU NA KUSHIKA VITU VIGUMU KATIKA KUTIBU SARATANI
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA
Utangulizi
Saratani ni moja ya magonjwa yanayosababisha vifo vingi duniani, na tafiti zinadhihirisha kuwa kuna njia mbalimbali za kuimarisha afya na kupunguza hatari ya magonjwa haya. Moja ya mbinu ya asili inayozidi kupata umaarufu ni kutembea pekupeku kwenye ardhi ngumu pamoja na kushika vitu vigumu kama mpini wa jembe. Katika makala hii, tutachunguza jinsi mbinu hii inavyoweza kusaidia katika kutibu saratani.
Uhusiano kati ya Ardhi na Mwili
Viganja vya mikono na nyayo za miguu vinachukuliwa kama “switch” ya kilakiungo cha binadamu. Kwa kutembea pekupeku kwenye ardhi ngumu, Unaufungua mwili kwenye kila sehemu ya kiungo na tunauhamasisha mwili kufanya kazi kwa ufanisi zaidi. Ardhi.
RAIS MWINYI AWAAHIDI KLABU YA SIMBA
DKT. BITEKO AWATAKA WAZAZI KUVUMILIANA KUTUNZA
MADINI YA ALMASI YENYE THAMANI YA
WANANCHI LINDI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA
MCHINJITA AELEZEA ALIVYOKAMATWA NA POLISI KATIKA


MAAJABU YA KUTEMBEA PEKUPEKU NA KUSHIKA VITU VIGUMU KATIKA KUTIBU SARATANI
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Utangulizi Saratani ni moja ya magonjwa yanayosababisha vifo vingi duniani, na tafiti zinadhihirisha kuwa kuna njia mbalimbali za kuimarisha afya na kupunguza hatari ya magonjwa haya. Moja ya mbinu ya asili inayozidi kupata umaarufu ni kutembea pekupeku kwenye ardhi ngumu pamoja na kushika vitu vigumu kama
WAZIRI MKUU: TUNATAKA KILA MWANANCHI APATE KITAMBULISHO CHA TAIFA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema mkakati wa Serikali ni kumwezesha kila Mtanzania apate kitambulisho cha Taifa akiwa kijijini kwake. Amesema hayo leo (Alhamisi, Mei 11, 2023) bungeni wakati akijibu swali la Mbunge wa Biharamulo Magharibi, Mhandisi Ezra Chiwelesa kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu. Mbunge



WASIRA: CHADEMA MSIJE NA AZIMIO LINALOKIUKA SHERIA ZA NCHI YETU.

SOMA VICHWA VYA MAGAZETI LEO SIKU YA IJUMAA


RAIS MWINYI AWAAHIDI KLABU YA SIMBA DOLA LAKI 1 ZA KIMAREKANI
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuizawadia Klabu ya Simba kiasi cha Dola Laki Moja za Kimarekani endapo itafanikiwa kutwaa Ubingwa wa Michuano ya
SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHERIA ZA ULINZI WA WATOTO
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Serikali imesema imeijidhatiti kuendelea kufanyia maboresho sheria za
CHALAMILA, SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe


ESSA NA TPDC YASAINI MAKUBALIANO YA USAMBAZAJI WA GESI ASILIA NA KUAZISHA KIWANDA CHA UZALISHAJI MTWARA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Kampuni ya Essa kutoka Indonesia na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) leo wamesaini

RC SERUKAMBA AITAKA TRA KUDHIBITI RISITI FEKI, KUHAMASISHA ELIMU YA KODI
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe.Peter Serukamba, ameitaka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani humo kuhakikisha wanadhibiti utoaji wa

ZITO KABWE AANIKA MADUDU YA MMILIKI WA KAMPUNI YA IPTL,”NITAENDA KUTOA USHAHIDI WOTE MAHAKAMANI”
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA KIONGOZI Mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema Mfanyabiashara na Mmiliki wa Kampuni ya Ufuaji

DKT BITEKO ATAKA MISINGI BORA YA MALEZI KWA WATOTO
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Asema ikiwa jamii haifanya hivyo kuna hatari ya kuzalisha viongozi katili kwa Taifa la kesho, aipongeza NMB kuunga mno kampeni ya Mtoto wa leo Samia wa kesho TANGA NAIBU Waziri Mkuu na

Gunners wanaongoza jedwali la Ligi Kuu ya Uingereza
Arsenal wanang’ara kileleni mwa Ligi Kuu ya Uingereza, lakini hilo linaweza kubadilika leo kwani Liverpool na Aston Villa – wako nyuma kwa pointi moja – wanaweza kuchukua nafasi zao. Liverpool watasafiri kwenda Burnley na Aston Villa

BALOZI NCHIMBI AONYA VIONGOZI KUTOA KAULI ZA KIBAGUZI
Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amewataka viongozi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuepuka kutoa kauli au kufanya vitendo vyenye taswira inayoweza kutafsiriwa kuwa

TCB BANK YAZINDUA AKAUNTI YA KIDIGITALI YA TCB POPOTE ACCOUNT BANK
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Tanzania commercial Bank Baada ya kuzindua huduma ya Toboa na Vikoba Leo pia imeweza kuzindua huduma ya akaunti ya kidigitali ambayo itakayomfanya Mteja alipie bili mbalimbali inayoitwa TCB POPOTE

TFS YAPONGEZWA KWA KAZI NZURI YA ULINZI WA MISITU
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) ameipongeza Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kwa jitihada zake za kulinda maeneo ya misitu nchini na kuwasisitiza kuwa wabunifu

NAIBU WAZIRI SANGU AUMIZWA NA MWAMKO MDOGO WA ELIMU MKOANI RUKWA
■Ahimiza Wazazi kusimamia elimu ya watoto wao ipasavyo Na.Mwandishi Wetu -SUMBAWANGA Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Mhe.Deus Sangu ameonesha kuumizwa na mwitikio mdogo wa elimu Mkoani Rukwa huku akiwaonya wazazi wenye


ZRA YAVUNJA REKODI YA MAKUSANYO ZANZIBAR

ZRA YASHAURI WAHARIRI KUWAJENGEA UWELEDI WAANDISHI

ZRA YAKUSANYA BILIONI 76 OKTOBA
