KAMATI YA BUNGE YAIPONGEZA SERIKALI UJENZI WA VITUO VIPYA VYA KUJAZIA GESI KWENYE MAGARI (CNG)
MAADHIMISHO YA WIKI YA SHERIA YAFANYIKA JIJINI DODOMA
WATU WENYE UALBINO TEMBEENI KIFUA MBELE-DKT. BITEKO
WAWILI WAKAMATWA KUHUSIANA NA TAARIFA YA RAIA WA KIGENI KUTEKWA NA KUPIGWA.
KAMATI YA BUNGE YAIPONGEZA SERIKALI UJENZI WA VITUO VIPYA VYA KUJAZIA GESI KWENYE MAGARI (CNG)
📌 *Kituo mama cha CNG katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuhudumia magari 1,200 kwa siku*
📌 *Serikali yaendelea kuhamasisha Sekta binafsi ujenzi wa vituo vya CNG*
Serikali kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) imepongezwa kwa ujenzi wa mradi wa Kituo mama cha gesi iliyoshindiliwa yaani Compressed Natural Gas (CNG) na Vituo vidogo viwili vya kupokea na kuhifadhi CNG kwa wateja wa awali.
Pongezi hizo zimetolewa Januari 25, 2025 na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Mhe. David Mathayo David wakati wa ziara ya kukagua ujenzi wa kituo hicho.
MAADHIMISHO YA WIKI YA SHERIA YAFANYIKA
WATU WENYE UALBINO TEMBEENI KIFUA MBELE-DKT.
WAWILI WAKAMATWA KUHUSIANA NA TAARIFA YA
WAVUVI 540 WAOKOLEWA, 10 WANATAFUTWA ZIWA
ULEGA AITAKA TEMESA KUJA NA TATHMINI
KAMATI YA BUNGE YAIPONGEZA SERIKALI UJENZI WA VITUO VIPYA VYA KUJAZIA GESI KWENYE MAGARI (CNG)
📌 *Kituo mama cha CNG katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuhudumia magari 1,200 kwa siku* 📌 *Serikali yaendelea kuhamasisha Sekta binafsi ujenzi wa vituo vya CNG* Serikali kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) imepongezwa kwa ujenzi wa mradi wa Kituo mama cha gesi iliyoshindiliwa yaani Compressed
WAZIRI MKUU: TUNATAKA KILA MWANANCHI APATE KITAMBULISHO CHA TAIFA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema mkakati wa Serikali ni kumwezesha kila Mtanzania apate kitambulisho cha Taifa akiwa kijijini kwake. Amesema hayo leo (Alhamisi, Mei 11, 2023) bungeni wakati akijibu swali la Mbunge wa Biharamulo Magharibi, Mhandisi Ezra Chiwelesa kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu. Mbunge
WAZIRI CHANA AZINDUA MIRADI YA UTALII YA MILIONI 904 SERENGETI
DKT SAMIA AIELEZEA DUNIA MKAKATI WA TANZANIA
WAKULIMA KUNUFAIKA NA USAFIRI WA ANGA
KAMATI YA BUNGE YAIPONGEZA SERIKALI UJENZI WA VITUO VIPYA VYA KUJAZIA GESI KWENYE MAGARI (CNG)
📌 *Kituo mama cha CNG katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuhudumia magari 1,200 kwa siku* 📌 *Serikali yaendelea kuhamasisha Sekta binafsi ujenzi wa vituo vya CNG* Serikali kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC)
LUMINOUS KUUZA BIDHAA ZENYE UBORA WA KIMATAIFA ZINAZOTUMIA UMEME WA JUA
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Kutokana na mazingira mazuri ya
RAIS SAMIA APONGEZWA KWA KUDUMISHA AMANI NCHINI
Na Allan Kitwe, Tabora KANISA la Tanzania Assemblies of God-Kitete Christian Centre
WAWILI WAKAMATWA KUHUSIANA NA TAARIFA YA RAIA WA KIGENI KUTEKWA NA KUPIGWA.
Na. Mwandishi Jeshi la Polisi Arusha. Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linawashikilia watuhumiwa wawili kuhusiana na taarifa inayosambaa
SHERIA YA BIMA YA AFYA KWA WOTE YACHOCHEA UPATIKANAJI WA HUDUMA ZA MATIBABU NCHINI
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Kupitishwa kwa *Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote* kutaongeza mchango wa sekta ya bima
SIMBA WATOLEWA KATIKA MICHUANO YA AFL2023
AFL2023: Licha ya safari ya Klabu ya Simba kukatishwa na Goli la Ugenini lililoibeba Klabu ya Al Ahly, Wekundu hao wa Msimbazi wamejihakikishia malipo ya Dola za Marekani 1,000,000 zilizotangazwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF)
HARAMBEE YA KUCHANGIA WATOTO WALEMAVU YAJA KWA KISHINDO
Taasisi ya Dayosisis ambayo inayolea watoto walemavu na wasiojiweza ambayo anakabiliwa na changamoto ya miundombinu mbalimbali ikiwemo uchakavu na ukosefu wa vitendea kazi. Taasisi hiyo inafanya harambee Kwa ajili ya kuwasaidia watoto walemavu ambao wasioona na
UDINI NI HATARI,KUCHOMA NGUO NI UTOTO
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amewahimiza Watanzania kuendelea kushirikiana na CCM, akisisitiza kuwa chama hicho kimeonyesha kwa vitendo uwezo wa kuongoza nchi na dhamira ya
ULEGA AITAKA TEMESA KUJA NA TATHMINI CHANYA UJENZI VIVUKO VIPYA
Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega ameutaka Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA), kufanya tathmini ili kujua athari chanya zitakazopatikana kwa jamii kutokana na ujenzi wa vivuko vipya sita vinavyoendelea kujengwa na kutarajiwa kukamilika hivi karibuni.
TANZANIA KUWA MWENYEJI MKUTANO WA KIMATAIFA WA MATUMIZI BORA YA NISHATI
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Wadau takriban 400 kukutana Arusha* Kuhusisha majadiliano, kubadilishana uzoefu, fursa za uwekezaji* Dkt.Doto Biteko kuwa mgeni rasmi* Ufanisi wa Tanzania Matumizi Bora ya Nishati wapelekea EU kuongeza muda wa ufadhili* Imeelezwa kuwa,
UTALII WA MALIKALE WASHIKA KASI NCHINI WAFARANSA WAFURIKA KILWA KISIWANI
Kwa miongo kadhaa kumekuwa na dhana ya kwamba wageni wengi wa nje hupendelea zaidi utalii wa kuona wanyamapori, lakini hivi karibuni dhana hiyo imeanza kubadilika kwa kasi ambapo Tanzania imeanza kupokea wageni makundi kwa makundi wakitembelea