HABARI KUBWA

OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAJIZATITI KUBORESHA UWEZO WA MAWAKILI WA SERIKALI



Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imejipanga katika kuendelea kuimarisha na kuboresha uwezo wa Mawakili wa Serikali nchini, hayo yamesemwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari wakati akizungumza na kwenye Mkutano maalaumu na vyombo vya habari uliofanyika tarehe 19 Machi, 2025 katika Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali Kivukoni Jijini, Dar es Salaam.

Akizungumza katika mkutano huo, Mwanasheria Mkuu wa Serikali amesema Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imeandaa mafunzo maalumu kwa Mawakili wa Serikali nchini yatakayofanyika Jijini Arusha kuanzia tarehe 24 hadi 28 Machi, 2025 yakiwa na lengo la kuongeza umahiri na utendaji kazi wa Mawakili hao.

Mafunzo hayo kwa Mawakili wa Serikali ni sehemu ya kuimarisha utaratibu.

Tangaza hapa-3
Email
Twitter
META
WhatsApp

WAZIRI MKUU: TUNATAKA KILA MWANANCHI APATE KITAMBULISHO CHA TAIFA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema mkakati wa Serikali ni kumwezesha kila Mtanzania apate kitambulisho cha Taifa akiwa kijijini kwake. Amesema hayo leo (Alhamisi, Mei 11, 2023) bungeni wakati akijibu swali la Mbunge wa Biharamulo Magharibi, Mhandisi Ezra Chiwelesa kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu.  Mbunge

TANZANIA YADHAMIRIA KUBORESHA UHIFADHI WA URITHI WA UKOMBOZI

Ujumbe wa Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja katika Kituo cha Makumbushoya Nelson Mandela Foundation Mei 23, 2023 Johannesburg Afrika Kusini. Serikali Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibarzimedhamiria kuboresha na kuimarisha uhifadhi

KITAIFA

ASLIMIA 77 WANANCHI VIJIJINI WAFIKIWA NA HUDUMA YA MAJI

KATIKA kipindi cha miaka minne tangu kuanzishwa kwa Wakala wa Huduma ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) ,asilimia 77 ya wananchi waishio vijijini wamefikiwa na huduma hiyo. Akizungumza katika maonyesho ya Kimataifa ya Madini

KITAIFA

RAIS MSTAAFU KIKWETE ATOBOA SIRI YA USHINDI WA CCM

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amesema anafurahishwa na namna makada, wanachama na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano