HABARI KUBWA

MAAJABU YA KUTEMBEA PEKUPEKU NA KUSHIKA VITU VIGUMU KATIKA KUTIBU SARATANI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA

Utangulizi


Saratani ni moja ya magonjwa yanayosababisha vifo vingi duniani, na tafiti zinadhihirisha kuwa kuna njia mbalimbali za kuimarisha afya na kupunguza hatari ya magonjwa haya. Moja ya mbinu ya asili inayozidi kupata umaarufu ni kutembea pekupeku kwenye ardhi ngumu pamoja na kushika vitu vigumu kama mpini wa jembe. Katika makala hii, tutachunguza jinsi mbinu hii inavyoweza kusaidia katika kutibu saratani.

Uhusiano kati ya Ardhi na Mwili


Viganja vya mikono na nyayo za miguu vinachukuliwa kama “switch” ya kilakiungo cha binadamu. Kwa kutembea pekupeku kwenye ardhi ngumu, Unaufungua mwili kwenye kila sehemu ya kiungo na tunauhamasisha mwili kufanya kazi kwa ufanisi zaidi. Ardhi.

Tangaza hapa-3
Email
Twitter
META
WhatsApp

MAAJABU YA KUTEMBEA PEKUPEKU NA KUSHIKA VITU VIGUMU KATIKA KUTIBU SARATANI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Utangulizi Saratani ni moja ya magonjwa yanayosababisha vifo vingi duniani, na tafiti zinadhihirisha kuwa kuna njia mbalimbali za kuimarisha afya na kupunguza hatari ya magonjwa haya. Moja ya mbinu ya asili inayozidi kupata umaarufu ni kutembea pekupeku kwenye ardhi ngumu pamoja na kushika vitu vigumu kama

WAZIRI MKUU: TUNATAKA KILA MWANANCHI APATE KITAMBULISHO CHA TAIFA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema mkakati wa Serikali ni kumwezesha kila Mtanzania apate kitambulisho cha Taifa akiwa kijijini kwake. Amesema hayo leo (Alhamisi, Mei 11, 2023) bungeni wakati akijibu swali la Mbunge wa Biharamulo Magharibi, Mhandisi Ezra Chiwelesa kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu.  Mbunge

KITAIFA

DKT BITEKO ATAKA MISINGI BORA YA MALEZI KWA WATOTO

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Asema ikiwa jamii haifanya hivyo kuna hatari ya kuzalisha viongozi katili kwa Taifa la kesho, aipongeza NMB kuunga mno kampeni ya Mtoto wa leo Samia wa kesho TANGA NAIBU Waziri Mkuu na

KIMATAIFA

Gunners wanaongoza jedwali la Ligi Kuu ya Uingereza

Arsenal wanang’ara kileleni mwa Ligi Kuu ya Uingereza, lakini hilo linaweza kubadilika leo kwani Liverpool na Aston Villa – wako nyuma kwa pointi moja – wanaweza kuchukua nafasi zao. Liverpool watasafiri kwenda Burnley na Aston Villa

KITAIFA

BALOZI NCHIMBI AONYA VIONGOZI KUTOA KAULI ZA KIBAGUZI

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amewataka viongozi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuepuka kutoa kauli au kufanya vitendo vyenye taswira inayoweza kutafsiriwa kuwa

KITAIFA

TFS YAPONGEZWA KWA KAZI NZURI YA ULINZI WA MISITU

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) ameipongeza Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kwa jitihada zake za kulinda maeneo ya misitu nchini na kuwasisitiza kuwa wabunifu