HABARI KUBWA

TANESCO, EWURA IMEWEKA MWONGOZO WA GHARAMA  ZA KUUNGANISHA UMEME- KAPINGA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA

*๐Ÿ“Œ Asema Serikali imeweka ruzuku kwenye miradi ya umeme Vijijini.*

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema,Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Mamlaka ya Udhibiti Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeweka mwongozo wa gharama za kuunganisha umeme kwa wateja, ambapo gharama hizo hutofautiana kulingana na hali ya eneo.

Mhe. Kapinga ameyasema hayo leo Februari 11, 2025 Bungeni jijini Dodomaย  wakati akijibu swali la Mbunge wa Kibamba, Mhe. Issa Mtemvu aliyeuliza Serikali inatofautishaje Kaya maskini Vijijini na Mijini katika kuwaunganishia umeme nchini.

“Kulingana na mwongozo huo, maeneo yanayotambuliwa kama miji na vijiji miji, gharama ya kuunganisha umeme ni shilingi 320,960 na kwa maeneo ya vijiji gharama ya.

Tangaza hapa-3
Email
Twitter
META
WhatsApp

TANESCO, EWURA IMEWEKA MWONGOZO WA GHARAMA  ZA KUUNGANISHA UMEME- KAPINGA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA *๐Ÿ“Œ Asema Serikali imeweka ruzuku kwenye miradi ya umeme Vijijini.* Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema,Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Mamlaka ya Udhibiti Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeweka mwongozo wa gharama za kuunganisha umeme kwa wateja, ambapo gharama hizo

WAZIRI MKUU: TUNATAKA KILA MWANANCHI APATE KITAMBULISHO CHA TAIFA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema mkakati wa Serikali ni kumwezesha kila Mtanzania apate kitambulisho cha Taifa akiwa kijijini kwake. Amesema hayo leo (Alhamisi, Mei 11, 2023) bungeni wakati akijibu swali la Mbunge wa Biharamulo Magharibi, Mhandisi Ezra Chiwelesa kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu.  Mbunge

KITAIFA

TANZANIA NA MALAWI KUINGIA MAKUBALIANO YA MIAKA MIWILI

Nchi ya Tanzania na nchi ya Malawi yaingia makubaliano wa miaka miwili Katika na ushirikiano Katika sekta ya nishati Makubaliano hayo ya understand kati ya lastcop na shirika la umeme la Malawi Akizungumza na waandishi wa

MAKALA

USIUPOTEZE MWAKA HUU KWA NAMNA HII

Tunakaribia kuumaliza mwaka huu na kuingia mwaka mpya 2024. Mwaka huu ulikuwa na mipango na mawazo mazuri mengi.Yako ambayo uliyafanyia kazi na ambayo hujayafanyia kazi. Kila mwaka lazima ufanye kitu cha ushindi, usiache mwaka uishe bila

KITAIFA

TANZANIA NA UGANDA WAZIDI KUIMALISHA MAHUSIANO SEKTA YA MIFUGO

Tanzania na Uganda inaendelea kuimarisha ushirikiano na mahusiano katika sekta ya mifugo kwa kusaini makubaliano ya udhibiti wa magonjwa ya wanyama yanayovuka mipaka na yanayo ambukiza binadam katika maeneo ya mipaka. Akizungumza na waandishi wa habari

BANDARI KAVU KWALA KUONGEZA MAPATO

Meneja miliki wa Mamlaka ya Bandari, Alexander Ndibalema akizungumza na Waandishi wa Habari leo Mei 27, 2023 Serikali kupitia TPA imeamua kujenga Bandari Kavu eneo la Kwala โ€œQuarantineโ€ Ruvu. Katika awamu ya kwanza, Hekta 502 zimetwaliwa