HABARI KUBWA

GAVANA BWANKU AONGOZANA NA WATENDAJI KUKAGUA UJENZI WA DARAJA KUBWA LA KISASA LA KALEBE

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA

_Ni Daraja linalotesa Wananchi wakati wa mvua, Rais Samia aidhinisha Bilioni 9.7 linajengwa jipya la kisasa. Kukamilika Novemba._

Hakuna cha Jumamosi wala Jumapili, Katerero ni kazi juu ya kazi. Mchana wa leo Jumamosi Aprili 19, 2025 Afisa Tarafa ya Katerero iliyopo Bukoba mkoani Kagera Ndugu Bwanku M Bwanku akiongozana na Kaimu Mtendaji wa Kata ya Katerero Bi. Julie Kushoka na Mtendaji wa Kijiji Kyema Ndugu Najim Abbas wametembelea kukagua na kujionea ujenzi unaoendelea wa Daraja kubwa na la kisasa la Kalebe linalokatisha Mto Ngono litakalokuwa na Mita 60 na barabara ya kuunganisha Daraja Mita 750 pande zote mbili.

Eneo hili limetesa wananchi sana kwa miaka mingi hasa.

Tangaza hapa-3
Email
Twitter
META
WhatsApp

WAZIRI MKUU: TUNATAKA KILA MWANANCHI APATE KITAMBULISHO CHA TAIFA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema mkakati wa Serikali ni kumwezesha kila Mtanzania apate kitambulisho cha Taifa akiwa kijijini kwake. Amesema hayo leo (Alhamisi, Mei 11, 2023) bungeni wakati akijibu swali la Mbunge wa Biharamulo Magharibi, Mhandisi Ezra Chiwelesa kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu.  Mbunge

BIASHARA

WMA YATOA MSAADA WA VIFAA VYA TEHAMA KWA JESHI LA POLISI

Na Mahamudu Jamal WMA Wakala wa Vipimo (WMA) imekabidhi msaada wa vifaa vya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kwa Jeshi la Polisi Mkoa wa kipolisi Ilala, Septemba 10, 2024 katika hafla iliyofanyika Makao Makuu ya

KITAIFA

CPA MAKALA: MAENDELEO HAYATAFUTWI KWA TOCHI

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Katibu wa itikadi na mwenezi na mafunzo CPA Amos Makala Amesema Jitihada za serikali ni kuona uboreshaji wa huduma Kwa wananchi wao Ameyasema hayo Leo Tarehe 08 Julai 2024

BIASHARA

ZRA YAVUNJA REKODI YA MAKUSANYO ZANZIBAR

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Yakusanya bilioni 76.497/- sawa na asilimia 103.31 ya makusanyo mapato yaliyotarajiwa ZANZIBAR MAMLAKA ya Mapato Zanzibar (ZRA), imevunja rekodi ya makusanyo ya kodi kwa Septemba mwaka huu kwa kukusaya kiasi cha Shilingi

BIASHARA

BAJETI YA WAKULIMA YAPITIASHWA KWA KISHINDO KIKUBWA

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeidhinisha matumizi ya  ya Shilingi trilioni 1.24 kwa ajili ya Wizara ya Kilimo katika mwaka 2024/2025 kwa ajili ya  utekelezaji   wa mipango mbalimbali iliyoainishwa ili kuendelea kukuza Sekta ya