BALOZI NCHIMBI ATOA SALAMU ZA PASAKA KATIKA MTOKO ULIONDALIWA NA WASANII WA INJILI
WAMACHINGA,BODABODA WAPINGA KUJIHUSISHA NA MAANDAMANO YA CHADEMA
GAVANA BWANKU AONGOZANA NA WATENDAJI KUKAGUA UJENZI WA DARAJA KUBWA LA KISASA LA KALEBE
SAMIA SERENGETI MUSIC FESTIVAL KUANDIKA HISTORIA
BALOZI NCHIMBI ATOA SALAMU ZA PASAKA KATIKA MTOKO ULIONDALIWA NA WASANII WA INJILI
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, ametoa salamu za Sikukuu ya Pasaka katika Tamasha la Mtoko wa Pasaka lililoandaliwa na Wasanii wa Muziki wa Injili nchini.
Hafla hiyo iliyofanyika Jumapili tarehe 20 Aprili 2025 katika Ukumbi wa Super Dome, Masaki, jijini Dar es Salaam, ilihusisha wasanii nguli wa muziki huo, wakiongozwa na Christina Shusho, kupitia taasisi yake ya Relax East Africa Limited.
Akizungumza katika tukio hilo, Dkt. Nchimbi alisisitiza umuhimu wa kudumisha mshikamano, amani, na upendo miongoni mwa Watanzania. Alihimiza jamii kuendeleza maadili mema na kuimarisha mshikamano wa kitaifa kama msingi wa maendeleo endelevu.
Aidha, aliwapongeza waandaaji wa hafla hiyo kwa kubuni na.
WAMACHINGA,BODABODA WAPINGA KUJIHUSISHA NA MAANDAMANO YA
GAVANA BWANKU AONGOZANA NA WATENDAJI KUKAGUA
SAMIA SERENGETI MUSIC FESTIVAL KUANDIKA HISTORIA
MALIASILI SC YAIHUKUMU MAHAKAMA 28–18
TADB YATOA GAWIO LA KIHISTORIA LA


BALOZI NCHIMBI ATOA SALAMU ZA PASAKA KATIKA MTOKO ULIONDALIWA NA WASANII WA INJILI
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, ametoa salamu za Sikukuu ya Pasaka katika Tamasha la Mtoko wa Pasaka lililoandaliwa na Wasanii wa Muziki wa Injili nchini. Hafla hiyo iliyofanyika Jumapili tarehe 20 Aprili 2025 katika Ukumbi wa Super Dome, Masaki,
WAZIRI MKUU: TUNATAKA KILA MWANANCHI APATE KITAMBULISHO CHA TAIFA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema mkakati wa Serikali ni kumwezesha kila Mtanzania apate kitambulisho cha Taifa akiwa kijijini kwake. Amesema hayo leo (Alhamisi, Mei 11, 2023) bungeni wakati akijibu swali la Mbunge wa Biharamulo Magharibi, Mhandisi Ezra Chiwelesa kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu. Mbunge


BLUE COAST YAJIPAMBANUA JUU YA UWEKEZAJI KWENYE SEKTA YA MADINI

MILIONI 455 KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 22,000 TABORA



WAMACHINGA,BODABODA WAPINGA KUJIHUSISHA NA MAANDAMANO YA CHADEMA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Wafanyabiashara wadogo wadogo maarufu kama Wamachinga na waendesha bodaboda na bajaji wametakiwa kuacha kujihusisha na maandamano bali waendelee kudumisha umoja na kutetea amani ya nchi. Wito huo umetolewa leo Aprili 21,2025 na viongozi
ASLIMIA 77 WANANCHI VIJIJINI WAFIKIWA NA HUDUMA YA MAJI
KATIKA kipindi cha miaka minne tangu kuanzishwa kwa Wakala wa Huduma ya
JOKATE AWATAKA VIJANA KWA WINGI KAMPENI MAALUM KUWAHAMASISHA WANANCHI KUJIANDIKISHA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA
Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Katibu Mkuu UVCCM (MNEC) Jokate Mwigelo amewataka vijana


TAMISEMI YAOMBA TRILIONI 11.78 BAJETI 2025/2026
OR-TAMISEMI OFISI ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imewasilisha bungeni makadirio ya mapato kwa mwaka

DK.KIMEI AWEKA REKODI YA UTENDAJI VUNJO
Na Mwandishi Wetu,Dodomaa MBUNGE wa Jimbo la Vunjo Dkt Charles Kimei ametajwa kuwa kinara wa kuzungumzia mahitaji ya wananchi

NYONGO: SEKTA BINAFSI INA MCHANGO MKUBWA KWA TAIFA
Na Mwandishi Wetu, Mwanza NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Mipango na Uwekezaji, Stanislaus Nyongo, ametoa wito kwa sekta

TIRA NA WADAU WAKE WAKABIDHI HUNDI YA MILIONI 321 KUUNGA MKONO MAADHIMISHO YA 61 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania TIRA na wadau wake Januari 7, 2025 wamekabidhi hundi ya mfano ya shilingi milioni 321 kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla ikiwa ni mwitikio

DC BOMBOKO AIPONGEZA TAASISI YA YEMCO KUSAIDIA VIKUNDI VYA VIKOBA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mkuu wa wilaya ya ubungo,Mh Hassan bomboko ameipongeza Taasisi ya Yemco kwa kusaidia vikundi vya vikoba vga akina mama mbalimbali nchini kufikia Malengo yao kiuchumi na KIJAMII. Akizungumza kwenye mkutano mkuu wa

RC CHALAMILA MTAA KWA MTAA-ILALA HAKUNA KULALA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila usiku wa kuamkia leo Oktoba 23,2024 amefanya ziara Wilaya ya Ilala na Kukagua maendeleo ya miradi mbalimbali inayotekelezwa saa 24 pia ametembelea

JAKAJA KIKWETE AENDELEZA JUHUDI KUKUZA SEKTA YA MAJI BARANI AFRIKA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete ameshiriki Mkutano wa Bodi wa Taasisi ya Kimataifa inayojishughulisha na Masuala ya Maji Barani Afrika (Global Water Partnership – Southern Africa and Africa Coordination Unit – GWPSA

TAASISI ZA UMMA ZATAKIWA KUWAPA MAFUNZO WATUMIAJI MFUMO WA NeST
Mamlaka ya Kudhibiti Ununuzi wa Umma (PPRA) imeziagiza taasisi za umma kuhakikisha watumishi wote wanaohusika na ununuzi wamepatiwa mafunzo ya namna ya kuutumia mfumo mpya wa ununuzi “National e-Procurement System of Tanzania” (NeST). Agizo hilo limetolewa

RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI WA VIONGOZI,PROF MKUMBO ALA SHAVU KUWA WAZIRI MPYA
Kufuatia Kwa kutungwa Kwa Sheria ya mipango ya taifa ya mwaka 2023 pamoja na uamuzi WA kuhamishia Masuala ya uwekezaji Ofisi ya Rais.Hivyo,Rais WA Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo


ZRA YAVUNJA REKODI YA MAKUSANYO ZANZIBAR

ZRA YASHAURI WAHARIRI KUWAJENGEA UWELEDI WAANDISHI

ZRA YAKUSANYA BILIONI 76 OKTOBA
