GST YASAINI HATI YA MAKUBALIANO (MoU) NA TAASISI YA JIOSAYANSI NA RASILIMALI MADINI YA KOREA KUSINI KIGAM
UONGEZAJI THAMANI MADINI NI MKAKATI WA SERIKALI KUKUZA MCHANGO WA SEKTA ~ SAMAMBA
USHIRIKIANO WA TANZANIA NA KOREA KULETA MAGEUZI SEKTA YA MADINI NCHINI
DCEA YAMNASA KINARA WA MIRUNGI,YATEKETEZA EKARI 285.5 SAME
GST YASAINI HATI YA MAKUBALIANO (MoU) NA TAASISI YA JIOSAYANSI NA RASILIMALI MADINI YA KOREA KUSINI KIGAM
โข _*Watanzania kujengewa uwezo kwenye kada ya Jiosayansi na Utafiti wa Madini*_
๐ *Seoul, Korea Kusini.*
Wizara ya Madini kupitia Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini (GST) na Taasisi ya Jiosayansi na Rasilimali Madini ya Korea Kusini (KIGAM) zimetia saini Hati ya Makubaliano (MoU) ya kufanya tafiti za pamoja za Jiosayansi.
Hafla hiyo ya utiaji saini imefanyika Machi 26, 2025 Jijini Seoul, Korea Kusini wakati ya ziara ya Ujumbe wa Tanzania ulioongozwa na Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa kushiriki Mkutano wa wadau wa madini mkakati ulioandaliwa na Ubalozi wa Tanzania nchini Korea Kusini kwa kushirikiana na Wizara ya Biashara, Viwanda na Nishati ya Korea Kusini na wadau wa Sekta Binafsi kutoka.
UONGEZAJI THAMANI MADINI NI MKAKATI WA
USHIRIKIANO WA TANZANIA NA KOREA KULETA
DCEA YAMNASA KINARA WA MIRUNGI,YATEKETEZA EKARI
TFRA na Taasisi za Utafiti wa
TGDC YATOA ELIMU KWA WANAVIJIJI WANAOZUNGUKA


GST YASAINI HATI YA MAKUBALIANO (MoU) NA TAASISI YA JIOSAYANSI NA RASILIMALI MADINI YA KOREA KUSINI KIGAM
โข _*Watanzania kujengewa uwezo kwenye kada ya Jiosayansi na Utafiti wa Madini*_ ๐ *Seoul, Korea Kusini.* Wizara ya Madini kupitia Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini (GST) na Taasisi ya Jiosayansi na Rasilimali Madini ya Korea Kusini (KIGAM) zimetia saini Hati ya Makubaliano (MoU) ya kufanya tafiti za pamoja
WAZIRI MKUU: TUNATAKA KILA MWANANCHI APATE KITAMBULISHO CHA TAIFA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema mkakati wa Serikali ni kumwezesha kila Mtanzania apate kitambulisho cha Taifa akiwa kijijini kwake. Amesema hayo leo (Alhamisi, Mei 11, 2023) bungeni wakati akijibu swali la Mbunge wa Biharamulo Magharibi, Mhandisi Ezra Chiwelesa kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu. Mbunge

AMREF KUREKEBISHA KANUNI ZA AFYA ZA KIMATAIFA


JWTZ NA JESHI LA MAREKANI WAZINDUA MAFUNZO YA PAMOJA.


GST YASAINI HATI YA MAKUBALIANO (MoU) NA TAASISI YA JIOSAYANSI NA RASILIMALI MADINI YA KOREA KUSINI KIGAM
โข _*Watanzania kujengewa uwezo kwenye kada ya Jiosayansi na Utafiti wa Madini*_ ๐ *Seoul, Korea Kusini.* Wizara ya Madini kupitia Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini (GST) na Taasisi ya Jiosayansi na Rasilimali Madini ya Korea
ZRA YAKUSANYA BILIONI 76 OKTOBA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -ZANZIBAR MAMLAKA ya Mapato Zanzibar (ZRA), imeendelea kutikisa
TANZANIA NA MISRI KUENDELEZA USHIRIKIANO KWENYE MIRADI YA UMEME -KAPINGA
*๐Waziri wa Mambo Nje Misri atembelea Bwawa la Julius Nyerere* *๐Asifu hatua


WIZARA YA NISHATI YATAJA MAFANIKIO UTEKELEZAJI MAJUKUMU 2024/2025
๐ *Uzalishaji umeme waongezeka kwa asilimia 59.9* ๐ *Misheni 300 kuongeza upatikanaji umeme kwa asilimia 100 ifikapo 2030.* ๐

TARURA yafungua barabara mpya Km. 8.24 Wilayani Momba
๐Taa za barabarani 95 zawekwa Mji wa Tunduma ๐Km. 50 za barabara mpya zafunguliwa Halmashauri ya Momba Tunduma,Momba Kwa

MAMLAKA YA MAFUNZO YA AMALI ZANZIBAR (VTA) IMEJIVUNIA MAGEUZI MAKUBWA YA KISERA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mamlaka ya Mafunzo ya Amali Zanzibar (VTA) imesema inajivunia mageuzi makubwa ya kisera ambayo yamewezesha

RAIS SAMIA AUNDA TUME MBILI YA NGORONGORO
Na Madina Mohammed ARUSHA Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania DKT Samia Suluhu Hassan Ameunda tume mbili Ambapo Moja atachunguza na kutoa mapendekezo Kuhusu maswala ya ardhi wanayolalamikiwa na wakazi wa ngorongoro.Tume nyengine itaangalia utekelezaji

MSAMA:AWATAKA VIONGOZI MBALIMBALI KUMUUNGA MKONO RAIS SAMIA
Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama amewataka watu wote ambao wanania mbaya ya kuichafua nchi yetu wanahitajika kupambana nao bila ya kumuogopa mtu yeyote na pia bila ya kumuonea haya mtu yeyote yule. Aidha amewataka Viongozi

WATETEZI WA MAMA KUJA KWA KISHINDO
Taasisi mpya iitwayo watetezi wa mama wamekuja Moja Kwa Moja Kwa ajili ya kumsapoti Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Katika juhudi zake ambazo anazozifanya Katika serikali yake. Miaka 2 ya mama samia mambo makubwa yamefanyika Kuna miradi

WANAWAKE TEMBELEENI HIFADHI ZA TAIFA KUJIJENGA UZOEFU:KAMISHNA MSAIDIZI MOLLEL
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA WITO umetolewa kwa wanawake nchini katika kusherekea maadhimisho ya siku ya wanawake duniani,kujenga mazoea ya kutembelea hifadhi mbalimbali zilizopo nchini kwa lengo la kujifunza na kujijengea uzoefu wa kuangalia vivutio mbalimbali. Wito

CHADEMA WAACHE KUTAFUTA NAMNA YA KUTAKA KUZUNGUMZWA MITANDAONI – MAKONDA
Na mwandishi wetu DAR ES SALAAM Rais Dkt Samia Suluhu Hassan anatarajia kuanza kukutana na wananchi na kusikiliza kero zao lengo likiwa ni kumuenzi kwa vitendo Hayati Raisย mstaafu Ali Hassan Mwinyi ambae alikuwa akifanya hivyo

BARABARA YA ILOLO-NDOLEZI YAONDOA WALANGUZI WA MAZAO, MBOZI
๐Ni mradi wa Agri- Connect uliofungua fursa za kiuchumi Mbozi, Songwe Walanguzi wa mazao ya wakulima wa kahawa, mahindi, mbogamboga na karanga wameondoka baada ya kukamilika kwa ujenzi wa barabara ya Ilolo-Ndolezi yenye urefu wa Km


ZRA YAVUNJA REKODI YA MAKUSANYO ZANZIBAR

ZRA YASHAURI WAHARIRI KUWAJENGEA UWELEDI WAANDISHI

ZRA YAKUSANYA BILIONI 76 OKTOBA
