HABARI KUBWA

TANESCO, EWURA IMEWEKA MWONGOZO WA GHARAMA  ZA KUUNGANISHA UMEME- KAPINGA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA

*๐Ÿ“Œ Asema Serikali imeweka ruzuku kwenye miradi ya umeme Vijijini.*

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema,Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Mamlaka ya Udhibiti Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeweka mwongozo wa gharama za kuunganisha umeme kwa wateja, ambapo gharama hizo hutofautiana kulingana na hali ya eneo.

Mhe. Kapinga ameyasema hayo leo Februari 11, 2025 Bungeni jijini Dodomaย  wakati akijibu swali la Mbunge wa Kibamba, Mhe. Issa Mtemvu aliyeuliza Serikali inatofautishaje Kaya maskini Vijijini na Mijini katika kuwaunganishia umeme nchini.

“Kulingana na mwongozo huo, maeneo yanayotambuliwa kama miji na vijiji miji, gharama ya kuunganisha umeme ni shilingi 320,960 na kwa maeneo ya vijiji gharama ya.

Tangaza hapa-3
Email
Twitter
META
WhatsApp

TANESCO, EWURA IMEWEKA MWONGOZO WA GHARAMA  ZA KUUNGANISHA UMEME- KAPINGA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA *๐Ÿ“Œ Asema Serikali imeweka ruzuku kwenye miradi ya umeme Vijijini.* Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema,Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Mamlaka ya Udhibiti Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeweka mwongozo wa gharama za kuunganisha umeme kwa wateja, ambapo gharama hizo

WAZIRI MKUU: TUNATAKA KILA MWANANCHI APATE KITAMBULISHO CHA TAIFA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema mkakati wa Serikali ni kumwezesha kila Mtanzania apate kitambulisho cha Taifa akiwa kijijini kwake. Amesema hayo leo (Alhamisi, Mei 11, 2023) bungeni wakati akijibu swali la Mbunge wa Biharamulo Magharibi, Mhandisi Ezra Chiwelesa kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu.  Mbunge

BIASHARA

AGRA INAONGOZA KUWAWEZESHA VIJANA KWA UBUNIFU WA KILIMO 

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Taasisi ya Mageuzi ya Vijana Tanzania (AGRA) imetangaza kuwa itakuwa mwenyeji wa Mkutano wa Sera wa Vijana na Ubadilishaji wa Mifumo ya Chakula, ambao utawakutanisha wawakilishi wa vijana, washirika

KITAIFA

BALOZI NCHIMBI ATOA SOMO UVCCM

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA _Awataka kushindana kwa hoja, akiwakabidhi jukumu zito Serikali za Mitaa_ _Asema โ€œCCM itawashinda kwa namna ambavyo hawajawahi kushindwaโ€_ Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, ametoa wito

KITAIFA

BARABARA KUFUNGWA DAR,BODABODA,BAJAJI HAZIRUHUSIWI MJINI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA – Asema mpaka sasa Marais wengi wamekwishafika – Kufuatia uwepo wa ugeni huu Mkubwa baadhi ya barabara zitafungwa na kufunguliwa ili kuepusha usumbufu kwa wageni – Asisitiza kuwa Serikali imeelekeza tarehe 27-28

KITAIFA

ZIARA YA BALOZI NCHIMBI YAFYEKA ACT,CUF NA CHADEMA KUSINI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Ziara ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, inayoendelea katika mikoa ya Kusini, akianzia Mtwara na sasa yuko Lindi, imewahamisha viongozi waandamizi wa vyama vya ACT