FAHAMU UGONJWA WA HOMA YA INI
ZITO KABWE AANIKA MADUDU YA MMILIKI WA KAMPUNI YA IPTL,”NITAENDA KUTOA USHAHIDI WOTE MAHAKAMANI”
SAMAMBA AWATAKA TAMISA KUNOA MAKUCHA YAKE ILI KUDHIBITI WANACHAMA WAKE WASIO WAAMINIFU KATIKA UTOAJI HUDUMA
‘MSIWAFICHE WATOTO WENYE UTINDIO WA UBONGO’
FAHAMU UGONJWA WA HOMA YA INI
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA
UGONJWA WA HOMA YA INI
HOMA YA INI ni UGONJWA unaoambukizwa kwa njia ya VIRUSI ambavyo vikishaingia MWILINI hushambulia INI kabla ya kugeuka kuwa MARADHI SUGU.VIRUSI ivyo vinaitwa HBV – HEPATITIS B VIRUSES.
VIRUSI hivi husambazwa kwa njia ya DAMU au MAJIMAJI mengine ya MWILINI mfano MATE au JASHO.
UGONJWA huu kama haujatibiwa hutengeneza UVIMBE katika INI na kusababisha KANSA ya INI na baadaye KIFO.
JINSI UNAVYOAMBUKIZWA.
Katika maeneo hatari zaidi DUNIANI,virusi vya HEPATITIS B ( HBV ) kwa kawaida husambazwa kutoka kwa MAMA kwenda kwa MTOTO wakati wa kuzaliwa au kutoka kwa MTU mmoja hadi mwingine hususani nyakati za UTOTONI.
Kama ilivyo kwa UKIMWI virusi vya HOMA ya.
ZITO KABWE AANIKA MADUDU YA MMILIKI
SAMAMBA AWATAKA TAMISA KUNOA MAKUCHA YAKE
‘MSIWAFICHE WATOTO WENYE UTINDIO WA UBONGO’
TAASISI YA UONGOZI YATAKIWA KUONGEZA KASI
ELIMU YA NISHATI SAFI YA UMEME


FAHAMU UGONJWA WA HOMA YA INI
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA UGONJWA WA HOMA YA INI HOMA YA INI ni UGONJWA unaoambukizwa kwa njia ya VIRUSI ambavyo vikishaingia MWILINI hushambulia INI kabla ya kugeuka kuwa MARADHI SUGU.VIRUSI ivyo vinaitwa HBV – HEPATITIS B VIRUSES. VIRUSI hivi husambazwa kwa njia ya DAMU au MAJIMAJI mengine ya MWILINI mfano
WAZIRI MKUU: TUNATAKA KILA MWANANCHI APATE KITAMBULISHO CHA TAIFA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema mkakati wa Serikali ni kumwezesha kila Mtanzania apate kitambulisho cha Taifa akiwa kijijini kwake. Amesema hayo leo (Alhamisi, Mei 11, 2023) bungeni wakati akijibu swali la Mbunge wa Biharamulo Magharibi, Mhandisi Ezra Chiwelesa kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu. Mbunge


ZITO KABWE AANIKA MADUDU YA MMILIKI WA KAMPUNI YA IPTL,”NITAENDA KUTOA USHAHIDI WOTE MAHAKAMANI”
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA KIONGOZI Mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema Mfanyabiashara na Mmiliki wa Kampuni ya Ufuaji Umeme ya IPTL, Harbinder Seth amemfungulia kesi Mahakamani akidai kuwa amemkashifu na kumvunjia heshima mbele ya Jamii. Akizungumza
WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YAPONGEZWA KWA LADHA YA UTALII WA UTAMADUNI MAONYESHO YA SABASABA
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Jumanne Sagini (Mb) ameipongeza Wizara
KUTEKWA KWA NONDO, VIJANA WATAKIWA KUUNGANA KUKEMEA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Ngome ya Vijana ya ACT Wazalendo kupitia kwa


UPANUZI WA KITUO CHA KUPOZA UMEME MBAGALA MBIONI KUKAMILIKA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA 📌Awamu ya kwanza ya upanuzi wa Kituo Megawati 45 yakamilika 📌Asema wananchi wa Mbagala na

SEKTA YA MADINI YAKUSANYA ZAIDI YA BILIONI 902 KATI YA LENGO LA TRILIONI MOJA
*Mchango Wafikia Asilimia 10. 1 katika Pato la Taifa (GDP) kwa mmoja kabla ya lengo* 📍 *Dodoma* Waziri wa

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAAZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA*
Na. Mwandishi Wetu, Dodoma Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imeanzisha majimbo mapya nane na kubadilisha majina ya majimbo

BODI YA UTALII YAENDELEZA JITIHADA ZA RAIS SAMIA
Tanzania itakuwa mwenyeji wa onyesho kubwa la Swahili International Tourism Expo (SITE 2024) kuanzia tarehe 11 hadi 13 Oktoba 2024, litakalofanyika Mlimani City, Dar es Salaam. Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Utalii, Efrahimu Mafuru, amesema onyesho

KAMATI YA NIDHAMU YA CHAMA TAWALA NCHINI AFRIKA KUSINI ANC IMEAMUA KUMFUKUZA UANACHAMA RAIS WA ZAMANI JACOB ZUMA
Na Anton Kiteteri Chama Cha ANC kimemfukuza uanachama rais wa zamani wa Africa Kusini Jacob Zuma.Uamuzi huo ambao haujatangazwa rasmi, ulichukuliwa baada ya kesi za kinidhamu kuanzishwa mwezi huu dhidi ya kiongozi huyo wa zamani ambaye

DKT. BITEKO AKIHITIMISHA BAJETI YA WIZARA YA NISHATI KWA MWAKA 2025/2026
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Aprili 29, 2025 akihitimisha Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Nishati na Taasisi zake kwa mwaka 2025/2026 bungeni jijini Dodoma.

TANZANIA YASHIKA NAFASI YA 5 DUNIANI KUVUTIA WATALII KIMATAIFA
Na Happiness Shayo DODOMA Tanzania imeweka rekodi kubwa ya Kimataifa kwa miezi ya Januari hadi Machi 2024 kwa kushika nafasi ya 5 kwa nchi ambayo imeweza kuvutia watalii zaidi duniani na nafasi ya kwanza Barani Afrika

DKT SAMIA WALIPO VIJANA NAMI NIPO
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -MWANZA RAIS Samia Suluhu Hassan amesema hawezi kuwaacha vijana katika uongozi wake na ndio maana amechagua viongozi wengi vijana wanaomsaidia kazi Serikalini, na hivyo kuahidi kushikana nao bega kwa bega. Kauli hiyo

MTENDAJI MKUU TARURA AMUAGIZA MKANDARASI KUKAMILISHA UJENZI WA NGUZO MBILI ZA DARAJA LA MUHORO KABLA YA MSIMU WA MVUA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Amtaka Mkandarasi barabara ya Utete-Kingupira kuwasilisha mpango kazi wake Rufiji, Pwani Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mhandisi Victor Seff amemtaka Mkandarasi MAC Contractor Ltd anayejenga Daraja


ZRA YAVUNJA REKODI YA MAKUSANYO ZANZIBAR

ZRA YASHAURI WAHARIRI KUWAJENGEA UWELEDI WAANDISHI

ZRA YAKUSANYA BILIONI 76 OKTOBA
