ZAIDI YA NYUMBA 800 MTWARA KUUNGANISHWA NA MFUMO WA GESI YA KUPIKIA – KAPINGA
HALMASHAURI ZATAKIWA KUSIMAMIA ZOEZI LA USAFI WA BARABARA
SERIKALI KUTEKELEZA MFUKO WA UBUNIFU WA SAMIA “SAMIA INNOVATION FUND” WENYE THAMANI YA BIL 2.3
ULEGA AVUNJA MKATABA WA MKANDARASI MZEMBE
WMA YAHAKIKI VIPIMO ASILIMIA 99 YA LENGO*
Veronica Simba – WMA
Serikali kupitia Wakala wa Vipimo (WMA) nchini imekagua na kuhakiki vipimo 1,013,859 ambavyo ni sawa na asilimia 99.2 ya lengo la kukagua vipimo 1,022,342 katika mwaka wa fedha 2024/2025.
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo, amebainisha hayo bungeni Dodoma leo, Mei 14, 2025 wakati akiwasilisha hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2025/2026.
“Kati ya vipimo vilivyokaguliwa na kuhakikiwa, vipimo 10,898 vilirekebishwa na 761 vilikataliwa,” amesema.
Aidha, Waziri Jafo ameeleza kuwa katika kipindi cha mwaka 2024/2025, Wizara yake kupitia WMA iliendelea kufanya kaguzi za kawaida na kaguzi za kushtukiza ambapo jumla ya kaguzi 3,293 kati ya 3,000 zilizopangwa kufanyika kwa vipimo mbalimbali vitumikavyo kwenye biashara,.
TANZANIA, MOROCCO KUCHOCHEA USHIRIKIANO SEKTA YA
WAZIRI MAVUNDE KUZINDUA CHAMA CHA WASAMBAZAJI
ZAIDI YA BILIONI 17 KUSAMBAZA UMEME
SERIKALI INAENDELEA KUTEKELEZA MIRADI YA UMEME
UPANUZI WA KITUO CHA KUPOZA UMEME


WMA YAHAKIKI VIPIMO ASILIMIA 99 YA LENGO*
Veronica Simba – WMA Serikali kupitia Wakala wa Vipimo (WMA) nchini imekagua na kuhakiki vipimo 1,013,859 ambavyo ni sawa na asilimia 99.2 ya lengo la kukagua vipimo 1,022,342 katika mwaka wa fedha 2024/2025. Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo, amebainisha hayo bungeni Dodoma leo, Mei 14, 2025 wakati
WAZIRI MKUU: TUNATAKA KILA MWANANCHI APATE KITAMBULISHO CHA TAIFA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema mkakati wa Serikali ni kumwezesha kila Mtanzania apate kitambulisho cha Taifa akiwa kijijini kwake. Amesema hayo leo (Alhamisi, Mei 11, 2023) bungeni wakati akijibu swali la Mbunge wa Biharamulo Magharibi, Mhandisi Ezra Chiwelesa kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu. Mbunge

DKT BITEKO AHANI MSIBA WA MKE WA MZEE GACHUMA


BASHUNGWA AWASILI WILAYANI MAFIA KWA ZIARA YA KIKAZI

SOMA VICHWA CHA MAGAZETI YETU YANATOKA KILA SIKU YA WIKI


SERIKALI INAENDELEA KUTEKELEZA MIRADI YA UMEME KWENYE MAENEO YA KIMKAKATI – KAPINGA
*📌 Maeneo 300 tayari yamefikkwa* *📌 Asisitiza gharama ya kuunganisha umeme Vijijini ni shilingi 27,000/-* Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa kupeleka umeme kwenye maeneo ya kimkakati nchini ikiwemo maeneo
WAZIRI CHANA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA MRADI WA REGROW KIHESA KILOLO
Na Happiness Shayo IRINGA Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt.
SERIKALI YAIPA KONGOLE KAMPUNI YA CRJE IKIAHIDI KUENDELEA KIDUMISHA MAHUSIANO MEMA NA CHINA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA SERIKALI imeipongeza Kampuni ya ukandarasi kutoka nchini China



UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAAZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA*
Na. Mwandishi Wetu, Dodoma Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imeanzisha majimbo mapya nane na kubadilisha majina ya majimbo

ZAIDI YA NYUMBA 800 MTWARA KUUNGANISHWA NA MFUMO WA GESI YA KUPIKIA – KAPINGA
*📌 Awasisitiza TPDC na REA kushirikiana ili kuongeza kasi ya kuunganisha gesi majumbani* *📌 Asema Mkakati wa Taifa wa

DKT. BITEKO AWASILI MKOANI IRINGA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Aprili 26, amewasili mkoani Iringa kwa ziara ya kikazi ya siku moja. Katika Uwanja wa Ndege wa Nduli, Dkt. Biteko amepokelewa na mwenyeji wake

WARUMISHI WA NISHATI WATOA ELIMU YA NISHATI SAFI
DODOMA-CHAMWINO Wanawake wa Wizara ya Nishati, wameungana na wanawake wenzao dunia kuadhimisha siku ya wanawake ambayo Mkoani Dodoma imeadhimishwa wilayani Chamwino. Katika madhimisho hayo watumishi wametumia siku hiyo kuelimisha wananchi mbalimbali kuhusu nishati safi ya kupikia.

WAZIRI MAVUNDE AFUTA MAOMBI YA LESENI ZA MADINI 227
Awataka wadau kuzingatia matakwa ya Sheria wamiliki wa akaunti za uombaji na usimamizi wa leseni kwa njia ya mtandao ambao sio waaminifiu kusitishiwa akaunti zao Zoezi la ufutaji wa maombi na Leseni kuwa endelevu Amtaka kila
Karibu wa kamati maalum ya NEC awasihi wananchi wa Zanzibar kuepuka upotoshaji
Katibu wa Kamati Maalum ya NEC,Idara ya Itikadi na Uenezi Zanzibar Khamis Mbeto Khamis,amewasihi wasomi nchini kufanya utafiti wa kina wa kufuatilia na kutathimini kitaalamu miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali ili wananchi wajue mafanikio hayo.

KUFANYA KAZI USIKU SIO JAMBO JIPYA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewataka wananchi na wafanyabiashara wote kuunga mkono ufanyaji biashara saa 24 Dar es Salaam na siyo kupinga kama ilivyo kwa baadhi ya watu

DKT BITEKO AIAGIZA TPDC KUANDAA MPANGO WA MUDA MREFU WA UPATIKANAJI GESI NCHINI
Aitaka pia kukagua ushuru wa huduma unaotolewa kwa Halmashauri Dodoma Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameagiza Bodi na Menejimenti ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuja na mpango


ZRA YAVUNJA REKODI YA MAKUSANYO ZANZIBAR

ZRA YASHAURI WAHARIRI KUWAJENGEA UWELEDI WAANDISHI

ZRA YAKUSANYA BILIONI 76 OKTOBA
