Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐ *Watanzania milioni 13.5 kusambaziwa umeme ifikapo 2030 kutoka milioni 5.2 ya sasa* ๐ *Asema Mkutano wa Mission 300 umekuwa kivutio duniani; Taasisi za Kimataifa zaonesha nia ya kushiriki* ๐ *Ataja sababu za mkutano wa M300 kufanyika Tanzania* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe.Dkt.Doto Biteko amesema kuwa maandalizi ya […]
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐Mashindano yameipa heshima Tanzania kimataifa ๐Rais Samia kinara wa Michezo nchini Watanzania watanufaika na fursa mbalimbali za kiuchumi na kijamii zitakazopatikana kuelekea mashindano ya CHAN 2025 na AFCON 2027. Hayo yamebainishwa leo Januari 15, 2025 na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko wakati akifungua Kongamano la […]
๐ *Anadi fursa za uwekezaji miradi ya Jotoardhi Baraza la 15 IRENA* ๐ *Asema Tanzania ina maeneo 50 yenye vyanzo vya Jotoardhi* ๐ *Ngozi, Kiejombaka, Songwe na Luhoi yatajwa kuwa miradi ya kimkakati uzalishaji Jotoardhi* Abu Dhabi, UAE Imeelezwa kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye rasilimali kubwa ya uwekezaji miradi ya jotoardhi ambapo jumla […]
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ZANZY Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameshiriki katika Sherehe za Maadhimisho ya miaka 61 ya Mapimduzi Matukufu ya Zanzibar yaliyofanyika katika Viwanja vya Gombani Kisiwani Pemba, Zanzibar. Mgeni wa Heshima katika Sherehe hizo alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. […]
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania imeanzishwa kwa mujibu wa kifungu cha 5 sheria ya bima sura ya 394. Pamoja na majukumu mengine imepewa mamlaka ya kuratibu maswala yote ya kisera kuhusu bima ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ofisi zake za Makao makuu ni Dodoma lakini pia ina Ofisi […]
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐ *Tanzania yawakilishwa na Naibu Katibu Mkuu Nishati, Ajenda ya Nishati jadidifu yajadiliwa kwa kina* ๐ *Nchi wanachama watakiwa kubuni miradi ya Nishati jadidifu rafiki kwa mazingira* Abu Dhabi, UAE Mkutano Mkuu wa Baraza la 15 la Wakala wa Kimataifa wa Nishati Jadidifu (IRENA) umezinduliwa rasmi mjini Abu Dhabi Falme za […]
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Dotto Biteko, amesema ameridhishwa na kasi ya ujenzi wa kituo kikuu cha kushindilia gesi asilia (CNG) kilichopo Ubungo, Dar es Salaam. Ametangaza kuwa kituo hicho, kinachojengwa na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), kitaanza kutoa huduma za kujaza gesi asilia kwenye magari kuanzia Februari 3, 2025. […]
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Katibu Tawala wa mkoa wa dar es salaam Toba nguvila Amemtaka Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya ubungo waanze mkakati wa haraka sana wa ujenzi wa uzio wa hospital Kwa kutenga fedha za kutosha kwa ajili ya uzio Ameyasema hayo Leo Katika Kuendelea na ziara yake ikiwa ni siku ya pili Kwa […]
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Hali ya upatikaji wa barabara na madaraja yafikia 19% Kibaya ,Kiteto WANANCHI wa Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara wameishukuru Serikali kwa kuwapelekea mradi wa ujenzi wa miundombinu ya barabara na madaraja ambao utasaidia kufungua uchumi wa wilaya hiyo. Wakizungumza wakati wa ziara ya ukaguzi wa miradi hiyo wananchi hao wamesema awali […]