REA YAPAMBA MOTO UHAMASISHAJI MATUMIZI YA UMEME
๐Wananchi wapewa elimu matumizi bora ya nishati safi ๐Wahimizwa kuhifadhi na kutunza mazingira ๐REA yahamasisha wananchi uunganishaji umeme Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeendelea kuhamasisha matumizi sahihi na endelevu ya umeme kwa Watanzania ikiwa ni pamoja na matumizi ya vifaa vya kisasa vya umeme hususan majiko ya umeme ambayo yanatumia kiasi kidogo cha umeme, salama […]