TANZANIA, BARBADOS KUIMARISHA USHIRIKIANO
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐ Dkt. Biteko afanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Barbados ๐ Wakubaliana kuwekeza katika Ushirikiano Sekta ya Utalii na Maji ๐ Nishati Safi ya Kupikia, M300 kivutio cha mazungumzoย Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Barbados, Mhe. Mia […]