NGUVILA AWATAKA MANISPAA YA UBUNGO KUHARAKISHA UJEZI WA UZIO WA HOSPITAL YA WILAYA YA UBUNGO
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Katibu Tawala wa mkoa wa dar es salaam Toba nguvila Amemtaka Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya ubungo waanze mkakati wa haraka sana wa ujenzi wa uzio wa hospital Kwa kutenga fedha za kutosha kwa ajili ya uzio Ameyasema hayo Leo Katika Kuendelea na ziara yake ikiwa ni siku ya pili Kwa […]