“HII NI OPARESHENI YA NCHI NA NDIO KAZI TULIYOTUMWA NA DKT. SAMIA “-MHE. MWINJUMA BAADA YA SIMBA SC KUTINGA FAINALI
TANESCO YAANZA RASMI ZOEZI LA KULIPA FIDIA WANANCHI WALIOPISHA UJENZI WA MIRADI YA UMEME
WAZIRI MKUU AAGIZA UFUATILIAJI WA WATENDAJI WA VYAMA VYA USHIRIKA.
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO
WAZIRI MKUU ATOA WITO KWA WAANDISHI WA HABARI NCHINI
_▪️Awataka watumie akili mnemba kama nyenzo na si kikwazo cha uhuru wao_▪️
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Waandishi wa Habari nchini kutumia Akili Mnemba (Artificial Inteligence) kama nyenzo ya kuwawezesha kutekeleza majukumu yao ipasavyo na sio kikwazo cha uhuru wao.
Amesema kuwa katika dunia ya sasa, vyombo vya habari vinakutana na changamoto mpya zinazotokana na maendeleo ya teknolojia, ambapo akili mnemba inachukua nafasi kubwa katika uzalishaji na usambazaji wa habari.
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Jumanne, Aprili 29, 2025) katika Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani, ambayo kitaifa inafanyika Jijini Arusha kwenye Hoteli ya Gran Melia.
Waziri Mkuu amesema Serikali inaendelea kuandaa sera maalum ya Akili Mnemba, ambayo itatoa.
DKT. BITEKO AKIHITIMISHA BAJETI YA WIZARA
YST YAPOKEA MAOMBI 1516 YA WANASAYANSI
NAIBU WAZIRI MKUU DKT. BITEKO AHIMIZA
“HII NI OPARESHENI YA NCHI NA
TANESCO YAANZA RASMI ZOEZI LA KULIPA


WAZIRI MKUU ATOA WITO KWA WAANDISHI WA HABARI NCHINI
_▪️Awataka watumie akili mnemba kama nyenzo na si kikwazo cha uhuru wao_▪️ WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Waandishi wa Habari nchini kutumia Akili Mnemba (Artificial Inteligence) kama nyenzo ya kuwawezesha kutekeleza majukumu yao ipasavyo na sio kikwazo cha uhuru wao. Amesema kuwa katika dunia ya sasa, vyombo vya
WAZIRI MKUU: TUNATAKA KILA MWANANCHI APATE KITAMBULISHO CHA TAIFA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema mkakati wa Serikali ni kumwezesha kila Mtanzania apate kitambulisho cha Taifa akiwa kijijini kwake. Amesema hayo leo (Alhamisi, Mei 11, 2023) bungeni wakati akijibu swali la Mbunge wa Biharamulo Magharibi, Mhandisi Ezra Chiwelesa kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu. Mbunge


TRC WAZINDUA SAFARI YA DAR-MORO KUANZA SIKU YA IJUMAA

MINGLE FC KUICHAPA TING WAYLAND KWENYE KATA YAO

WANANCHI WATAKIWA KUTUNZA BARABARA NA ALAMA ZAKE


YST YAPOKEA MAOMBI 1516 YA WANASAYANSI CHIPUKIZI
Na Penina Malundo SHIRIKISHO la Wanasayansi Chipukizi (YST),limepokea idadi kubwa ya maombi ya kazi za kisayansi kutoka kwa wanafunzi kushiriki mashindano ya sayansi yanayofikia 1,516 kwa mwaka 2025 ukilinganisha na mwaka uliopita mapmbi 1055. Aliyasema hayo jana
SIMBA KUTAMBULISHA JEZI ZAKE KILELE CHA MLIMA KILIMANJARO
Ofisa mtendaji mkuu wa Simba SC Imani kajula ametangaza kuwa jezi mpya
RAS TABORA:MKOA WA TABORA TUMEPIGA VITA MAFUNDI UMEME VISHOKA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora, Dkt John


WAZIRI MKUU: SERIKALI KUENDELEZA MABONDE NCHINI
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inaendelea na mpango wa kuyaendeleza mabonde nchini kwa kuyatumia kutoa huduma za

Katibu Mkuu wa National League for Democracy (NLD), Awaita G55
Baada ya wanachama wa CHADEMA wanaotokana na kundi linalojitambulisha kama G55 ndani ya chama hicho kuzungumza na waandishi wa

ETDCO WAKAMILISHA MRADI WA KILOVOLTI 132 TABORA – IPOLE
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO) imekamilisha

STEVE NYERERE NA YOGE KUSHIRIKIANA KUWASAIDIA WATOTO MADAFTARI
Msanii Steve Nyerere Kwa kushirikiana na shirika la yoge wameanda mpango wa kuwasaidia watoto wasioweza kujikimu Katika vifaa vya masomo Yao na wazazi ambao wasioweza kufanikisha Maendeleo ya watoto wao. Yoge imeandaa mpango huo Kwa kufanikisha

MHE. MRAMBA: BIASHARA YA KUUZIANA UMEME KUINUFAISHA TANZANIA
📌Afafanua kuuuza na kununua umeme ni jambo la kawaida kwa nchi 📌Asisitiza kununua umeme kwa Mikoa ya Kaskazini kunamanufaa kwa Mikoa husika 📌Asema kukamilika kwa Mradi wa TAZA kutainufaisha Tanzania na biashara ya umeme Katibu Mkuu

KUPITIA KONGAMANO LA PETROLI LA EAC TUNATAKA NISHATI YA PETROLI IWE INJINI YA MAENDELEO – DKT.MATARAGIO
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA 📌 *Tanzania kuchimba visima vya utafutaji Mafuta Eyasi Wembere* 📌 *CNG kufika hadi kwenye mikoa ambayo haijafikiwa na Bomba la Gesi* Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dkt.James Mataragio amesema Kongamano

KAMISHNA TRA ATIMIZA SIKU 100 AKIAINISHA MAMBO 10
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Aeleza mkakati wa kuongeza wigo ukusanyaj nchini, amshukuru Rais Dkt. Samia kwa kumuamini DAR ES SALAAM KAMISHNA mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda ameelezzea siku 100 za utumishi wake

ZRA YAVUNJA REKODI YA MAKUSANYO ZANZIBAR SOMA, MAGAZETI YETU KILA SIKU
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA

MAJALIWA:UJENZI WA GATI MPYA IMEGHARIMU SHILINGI BILLION 157.8
Waziri mkuu Kassim Majaliwa ametembelea Bandari ya Mtwara ambapo pia amekagua gati mpya yenye urefu wa mita miatatu ikiwa na uwezo wa kuhudumia meli yenye uzito wa hadi tano elfu sitini na tano Ujenzi wa gati


ZRA YAVUNJA REKODI YA MAKUSANYO ZANZIBAR

ZRA YASHAURI WAHARIRI KUWAJENGEA UWELEDI WAANDISHI

ZRA YAKUSANYA BILIONI 76 OKTOBA
