SERIKALI YATUNGA KANUNI KUZUIA WAGENI KUINGIA KWENYE LESENI NDOGO ZA UCHIMBAJI MADINI BILA UTARATIBU
UWT SINGIDA YAIPONGEZA TARURA UJENZI WA MADARAJA YA MAWE
ROMANUS MIHALI ASIMIKWA RASMI KUWA ASKOFU JIMBO LA IRINGA
ETDCO WAKAMILISHA MRADI WA KILOVOLTI 132 TABORA – IPOLE
WAZIRI MKUU ATOA WITO KWA WAANDISHI WA HABARI NCHINI
_▪️Awataka watumie akili mnemba kama nyenzo na si kikwazo cha uhuru wao_▪️
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Waandishi wa Habari nchini kutumia Akili Mnemba (Artificial Inteligence) kama nyenzo ya kuwawezesha kutekeleza majukumu yao ipasavyo na sio kikwazo cha uhuru wao.
Amesema kuwa katika dunia ya sasa, vyombo vya habari vinakutana na changamoto mpya zinazotokana na maendeleo ya teknolojia, ambapo akili mnemba inachukua nafasi kubwa katika uzalishaji na usambazaji wa habari.
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Jumanne, Aprili 29, 2025) katika Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani, ambayo kitaifa inafanyika Jijini Arusha kwenye Hoteli ya Gran Melia.
Waziri Mkuu amesema Serikali inaendelea kuandaa sera maalum ya Akili Mnemba, ambayo itatoa.
DKT. BITEKO AKIHITIMISHA BAJETI YA WIZARA
YST YAPOKEA MAOMBI 1516 YA WANASAYANSI
NAIBU WAZIRI MKUU DKT. BITEKO AHIMIZA
“HII NI OPARESHENI YA NCHI NA
TANESCO YAANZA RASMI ZOEZI LA KULIPA


WAZIRI MKUU ATOA WITO KWA WAANDISHI WA HABARI NCHINI
_▪️Awataka watumie akili mnemba kama nyenzo na si kikwazo cha uhuru wao_▪️ WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Waandishi wa Habari nchini kutumia Akili Mnemba (Artificial Inteligence) kama nyenzo ya kuwawezesha kutekeleza majukumu yao ipasavyo na sio kikwazo cha uhuru wao. Amesema kuwa katika dunia ya sasa, vyombo vya
WAZIRI MKUU: TUNATAKA KILA MWANANCHI APATE KITAMBULISHO CHA TAIFA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema mkakati wa Serikali ni kumwezesha kila Mtanzania apate kitambulisho cha Taifa akiwa kijijini kwake. Amesema hayo leo (Alhamisi, Mei 11, 2023) bungeni wakati akijibu swali la Mbunge wa Biharamulo Magharibi, Mhandisi Ezra Chiwelesa kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu. Mbunge

MAUMIVU YA MAPENZI YA MUIBUA ZIPORAH

SHAKIRA ATUHUMIWA KWA UHALIFU WA KUTOLIPA KODI MARA PILI




DKT. BITEKO AKIHITIMISHA BAJETI YA WIZARA YA NISHATI KWA MWAKA 2025/2026
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Aprili 29, 2025 akihitimisha Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Nishati na Taasisi zake kwa mwaka 2025/2026 bungeni jijini Dodoma. @biteko
WAZIRI YA UTUNZAJI MAZINGIRA IWE YA KUDUMU
Na Mwandishi Wetu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi
NAIBU WAZIRI SANGU AUMIZWA NA MWAMKO MDOGO WA ELIMU MKOANI RUKWA
■Ahimiza Wazazi kusimamia elimu ya watoto wao ipasavyo Na.Mwandishi Wetu -SUMBAWANGA Naibu


Ewura yazitaka kampuni za gesi kuongeza mawakala, kudhibiti uchakachuaji wa gesi
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za nishati na Maji (Ewura) imezitaka Kampuni za

DKT. BITEKO AKIHITIMISHA BAJETI YA WIZARA YA NISHATI KWA MWAKA 2025/2026
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Aprili 29, 2025

MAAFISA WA UTAMADUNI NA MICHEZO WASHIRIKI BONANZA
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Ndg. Gerson Msigwa, Watendaji

KIKAO KAZI CHA KUFANIKISHA MAAZIMIO YA DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO NCHINI 2050
Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Wizara ya fedha ni Wizara muhimu katika maendeleo ya Taifa na ufanikishaji wa Maazimio ya Dira ya Taifa ya Maendeleo Nchini, kwa kuzingatia hilo jana Kamati ya usimamizi wa Dira. Wajumbe wa

MBIBO AWASISITIZA WATUMISHI MADINI KUZINGATIA UADILIFU, MAADILI KUTEKELEZA MAJUKUMU
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA • _*Awahimiza kuzingatia afya zao kuepuka magonjwa, changamoto ya afya ya akili*_ 📍 *Dodoma* Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini Msafiri Mbibo amewataka watendaji na watumishi wa Wizara ya Madini kuzingatia uadilifu

AMREF KUREKEBISHA KANUNI ZA AFYA ZA KIMATAIFA
Na Madina Mohammed WAMACHINGA DAR ES SALAAM Mkutano wa Afya Duniani (WHA77),ulioandaliwa na Amref Health Africa kwa ushirikiano na Afrika CDC, Ofisi ya Kanda ya Afrika ya Shirika la Afya Duniani na Bill na Melinda Gates

UKIMYA WA WATU WEMA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Aliyekuwa Rais wa Uganda marehemu Idi Amin alitaka kubadilisha jina la Uganda kuwa IDI. Kila mtu katika baraza la mawaziri alikubali. Sababu ni kuwa ‘Walimwogopa’. *Lakini kulikuwa na mtu mmoja, Malyamungu.* Akamwambia

TASAC WASAINI MKATABA NA KAMPUNI YA KITURUKI KWA LENGO LA KUNUNUA BOTI MBILI ZA UTAFUTAJI NA UOKOAJI
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), leo, Aprili 3, 2025, limesaini mkataba na na kampuni ya Kituruki, M/s Mercan Tekne Deniz Araclari Ltd (Mercan Yachting), kwa lengo la kununua boti mbili (2) za utafutaji na


ZRA YAVUNJA REKODI YA MAKUSANYO ZANZIBAR

ZRA YASHAURI WAHARIRI KUWAJENGEA UWELEDI WAANDISHI

ZRA YAKUSANYA BILIONI 76 OKTOBA
