WAZIRI MKUU ATOA WITO KWA WAANDISHI WA HABARI NCHINI
_▪️Awataka watumie akili mnemba kama nyenzo na si kikwazo cha uhuru wao_▪️
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Waandishi wa Habari nchini kutumia Akili Mnemba (Artificial Inteligence) kama nyenzo ya kuwawezesha kutekeleza majukumu yao ipasavyo na sio kikwazo cha uhuru wao.
Amesema kuwa katika dunia ya sasa, vyombo vya habari vinakutana na changamoto mpya zinazotokana na maendeleo ya teknolojia, ambapo akili mnemba inachukua nafasi kubwa katika uzalishaji na usambazaji wa habari.
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Jumanne, Aprili 29, 2025) katika Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani, ambayo kitaifa inafanyika Jijini Arusha kwenye Hoteli ya Gran Melia.
Waziri Mkuu amesema Serikali inaendelea kuandaa sera maalum ya Akili Mnemba, ambayo itatoa.
DKT. BITEKO AKIHITIMISHA BAJETI YA WIZARA
YST YAPOKEA MAOMBI 1516 YA WANASAYANSI
NAIBU WAZIRI MKUU DKT. BITEKO AHIMIZA
“HII NI OPARESHENI YA NCHI NA
TANESCO YAANZA RASMI ZOEZI LA KULIPA


WAZIRI MKUU ATOA WITO KWA WAANDISHI WA HABARI NCHINI
_▪️Awataka watumie akili mnemba kama nyenzo na si kikwazo cha uhuru wao_▪️ WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Waandishi wa Habari nchini kutumia Akili Mnemba (Artificial Inteligence) kama nyenzo ya kuwawezesha kutekeleza majukumu yao ipasavyo na sio kikwazo cha uhuru wao. Amesema kuwa katika dunia ya sasa, vyombo vya
WAZIRI MKUU: TUNATAKA KILA MWANANCHI APATE KITAMBULISHO CHA TAIFA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema mkakati wa Serikali ni kumwezesha kila Mtanzania apate kitambulisho cha Taifa akiwa kijijini kwake. Amesema hayo leo (Alhamisi, Mei 11, 2023) bungeni wakati akijibu swali la Mbunge wa Biharamulo Magharibi, Mhandisi Ezra Chiwelesa kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu. Mbunge


YST YAPOKEA MAOMBI 1516 YA WANASAYANSI CHIPUKIZI
Na Penina Malundo SHIRIKISHO la Wanasayansi Chipukizi (YST),limepokea idadi kubwa ya maombi ya kazi za kisayansi kutoka kwa wanafunzi kushiriki mashindano ya sayansi yanayofikia 1,516 kwa mwaka 2025 ukilinganisha na mwaka uliopita mapmbi 1055. Aliyasema hayo jana
MTUHUMIWA ALIYEMUUA BEATRICE MINJA AFARIKI DUNIA ROMBO
Na Abel Paul,Jeshi la Polisi- Mbeya. Jeshi la Polisi limesema mtuhumiwa Lucas


MAFUFU: “TANZANIA IPO SHWARI,HATUDANGANYIKI,TUPO TAYARI KUPIGA KURA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Wasanii wa filamu nchini,na wadau wa siasa, Jimmy Mafufu na Chiki Mchoma wamejitokeza hadharani kulaani


SEKTA YA MADINI YAFIKIA MCHANGO WA ASILIMIA 10.1 KATIKA PATO LA TAIFA
▪️ *Rais Samia apongezwa kwa mageuzi makubwa ya sekta ya madini* ▪️**Wizara yafikia lengo kabla ya mwaka 2025** ▪️

ACT WAZALENDO WANENA,GUMZO KITENGO CHA MAAFA.RUFIJI
Na mwandishi wetu IMEBAINISHWA kuwa kuwepo kwa matukio ya majanga kwa miaka mingi ya hivi karibuni imeonesha uwezo mdogo wa kukabiliana na majanga pamoja na kuchukua tahadhari za majanga mbalimbali ikiwemo ajali na moto kutoka kitengo

TMA JNIA YATOA ELIMU KUSHEREHEKEA SIKU YA HALI YA HEWA DUNIANI
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), kupitia Kituo cha Hali ya Hewa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), imeadhimisha Siku ya Hali ya Hewa Duniani kwa kutoa elimu

UJENZI WA MRADI WA BOMBA LA MAFUTA LA HOIMA UNASHIRIKISHA WAZAWA MKOANI WA KAGERA
Wakandarasi na wa watoa huduma 42 wapatiwa kazi Dodoma Imeelezwa kuwa ujenzi wa Mradi wa bomba la mafuta kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani mkoani Tanga unashirikisha wakandarasi wazawa kutoka mkoani Kagera. Hayo yamesemwa na Naibu

SIMBA WAKIFUNGWA WAFURAHIE TU: MANARA
NA Anton Kiteteri Awambia wanayanga waje waone mpira wa hesabu. Dar es Salam KATIKA kuelekea mchezo wa leo wa Ngao ya Jamii kati ya watani wa jadi Simba na Yanga,msemaji wa klabu ya Yanga Haji Manara

DKT BITEKO ASHIRIKI MAZISHI YA KAKA WA WAZIRI MKUU MAJALIWA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Novemba 06, 2023 ameongoza Viongozi mbalimbali wa Serikali katika mazishi ya Mzee Issa Nangalapa ambaye ni kaka wa Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Wilaya

RAIS SAMIA APONGEZWA MAGEUZI MAKUBWA SEKTA YA AFYA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Serikali Yawapongeza Wanaradiografia kwa Mchango wao kwa Jamii Uwekezaji katika Sekta ya Afya Waokoa Fedha Tanzania Nchi ya Nne Afrika kuwa na PET SCAN Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe.


ZRA YAVUNJA REKODI YA MAKUSANYO ZANZIBAR

ZRA YASHAURI WAHARIRI KUWAJENGEA UWELEDI WAANDISHI

ZRA YAKUSANYA BILIONI 76 OKTOBA
