WAZIRI MKUU ATOA WITO KWA WAANDISHI WA HABARI NCHINI
_▪️Awataka watumie akili mnemba kama nyenzo na si kikwazo cha uhuru wao_▪️
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Waandishi wa Habari nchini kutumia Akili Mnemba (Artificial Inteligence) kama nyenzo ya kuwawezesha kutekeleza majukumu yao ipasavyo na sio kikwazo cha uhuru wao.
Amesema kuwa katika dunia ya sasa, vyombo vya habari vinakutana na changamoto mpya zinazotokana na maendeleo ya teknolojia, ambapo akili mnemba inachukua nafasi kubwa katika uzalishaji na usambazaji wa habari.
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Jumanne, Aprili 29, 2025) katika Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani, ambayo kitaifa inafanyika Jijini Arusha kwenye Hoteli ya Gran Melia.
Waziri Mkuu amesema Serikali inaendelea kuandaa sera maalum ya Akili Mnemba, ambayo itatoa.
DKT. BITEKO AKIHITIMISHA BAJETI YA WIZARA
YST YAPOKEA MAOMBI 1516 YA WANASAYANSI
NAIBU WAZIRI MKUU DKT. BITEKO AHIMIZA
“HII NI OPARESHENI YA NCHI NA
TANESCO YAANZA RASMI ZOEZI LA KULIPA


WAZIRI MKUU ATOA WITO KWA WAANDISHI WA HABARI NCHINI
_▪️Awataka watumie akili mnemba kama nyenzo na si kikwazo cha uhuru wao_▪️ WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Waandishi wa Habari nchini kutumia Akili Mnemba (Artificial Inteligence) kama nyenzo ya kuwawezesha kutekeleza majukumu yao ipasavyo na sio kikwazo cha uhuru wao. Amesema kuwa katika dunia ya sasa, vyombo vya
WAZIRI MKUU: TUNATAKA KILA MWANANCHI APATE KITAMBULISHO CHA TAIFA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema mkakati wa Serikali ni kumwezesha kila Mtanzania apate kitambulisho cha Taifa akiwa kijijini kwake. Amesema hayo leo (Alhamisi, Mei 11, 2023) bungeni wakati akijibu swali la Mbunge wa Biharamulo Magharibi, Mhandisi Ezra Chiwelesa kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu. Mbunge

YST YAPOKEA MAOMBI 1516 YA WANASAYANSI CHIPUKIZI

TIMU YA YANGA YAKOSHWA NA “MAAJABU” YA TABORA ZOO

SOMA MAGAZETI YETU KILA SIKU YANAYOTOKA KILA WIKI KWA HABARI KEMKEM



YST YAPOKEA MAOMBI 1516 YA WANASAYANSI CHIPUKIZI
Na Penina Malundo SHIRIKISHO la Wanasayansi Chipukizi (YST),limepokea idadi kubwa ya maombi ya kazi za kisayansi kutoka kwa wanafunzi kushiriki mashindano ya sayansi yanayofikia 1,516 kwa mwaka 2025 ukilinganisha na mwaka uliopita mapmbi 1055. Aliyasema hayo jana
REA YATOA KIPAUMBELE UJENZI MIRADI YA NISHATI JADIDIFU
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Vijiji 32 vyenye wateja zaidi ya 8,000 vimeunganishiwa
BENKI YA BIASHARA TANZANIA (TCB) YAZINDUA
LIPA POPOTE KURAHISISHA MALIPO KWA
WAFANYABIASHARA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA KWA mujibu wa ripoti ya uchumi ya mwaka


DKT. BITEKO AWASILI MKOANI IRINGA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Aprili 26, amewasili mkoani Iringa kwa ziara

WAZIRI MKUU: SERIKALI KUENDELEZA MABONDE NCHINI
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inaendelea na mpango wa kuyaendeleza mabonde nchini kwa kuyatumia kutoa huduma za

DKT. BITEKO AMWAKILISHA RAIS SAMIA UWEKWAJI WAKFU ASKOFU MTEULE JIMBO LA IRINGA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akisalimiana na Askofu wa Mafinga, Mhashamu Vincent Mwagala

SERIKALI YAIPA KONGOLE KAMPUNI YA CRJE IKIAHIDI KUENDELEA KIDUMISHA MAHUSIANO MEMA NA CHINA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA SERIKALI imeipongeza Kampuni ya ukandarasi kutoka nchini China ya CRJE (East Africa) Ltd kwa ufanyaji kazi uliotukuka huku ikiahidi kuendelea kukuza mahusiano yaliyodumu kwa muda mrefu kati ya Tanzania na China Hayo

RAIS SAMIA APONGEZWA KWA KUDUMISHA AMANI NCHINI
Na Allan Kitwe, Tabora KANISA la Tanzania Assemblies of God-Kitete Christian Centre (KCC) la mjini Tabora limempongeza Rais wa awamu ya 6 Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kudumisha amani, utulivu na mshikamano wa Watanzania wote.

KAIMU KATIBU MKUU DAUDI AWAFUNDA WAJUMBE WA KAMATI ZA USHAURI ZA AJIRA ZA RAIA WA KIGENI KATIKA UTUMISHI WA UMMA
Na. Lusungu Helela – Dodoma. Kaimu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw. Xavier Daudi amewataka Wajumbe wa Kamati za Ushauri za Ajira za Raia wa Kigeni katika Utumishi wa

TANZANIA INA UMEME WA KUTOSHA KUFANYA SHUGHULI ZA KIUCHUMI-DKT BITEKO
Asisitiza hakuna mgawo wa umeme* Amshukuru Rais Samia kuiimarisha Sekta ya Nishati* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa, kwa sasa nchi ina umeme wa kutosha kuwawezesha Watanzania kufanya shughuli

HALMASHAURI YA ILALA IMETENGA ZAIDI YA BILIONI 20 KWA AJILI YA UJENZI WA MASOKO YA KISASA KATIKA WILAYA HIYO
Na Madina Mohammed Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Jimbo la Ilala Mussa Azan Zungu amemtaka Mkuu wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo kusitisha zoezi la Mgambo kuwakamata Wafanyabiashara

RAIS MWINYI:TUSIPANDISHE BEI ZA BIDHAA KATIKA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi amewahimiza Wafanyabiashara kujiandaa na Mwezi Mtukufu wa Ramadhani na kufanya Biashara kwa Uadilifu na kuwa na Huruma kwa Wananchi. Alhaj Dkt.Mwinyi ameyasema hayo alipozungumza


ZRA YAVUNJA REKODI YA MAKUSANYO ZANZIBAR

ZRA YASHAURI WAHARIRI KUWAJENGEA UWELEDI WAANDISHI

ZRA YAKUSANYA BILIONI 76 OKTOBA
