Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 211)
FEATURE
on Jun 19, 2023
610 views 3 mins

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Tanzania Jenerali Jacob John Mkunda amevitaka vikundi vya Ulinzi na Usalama vinavyoshiriki zoezi la Ushirikiano Imara WA mwaka 2023 kwa majeshi ya nchi za Afrika ya Mashariki kuhakikisha vinawakilisha vema taifa la Tanzania ili kujenga ushirikiano mzuri na nchi jirani. Akizungumza mara baada ya ufunguzi wa zoezi hilo lililofanyika […]

FEATURE
on Jun 17, 2023
410 views 2 mins

Serikali kupitia Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora imetoa rai kwa Taasisi Simamizi na Vyama vya Kitaaluma kuhimiza na kuwasimamia watumishi kutoa huduma bora kwa wananchi kwa kuzingatia Sheria, Kanuni, Taratibu na Miongozo iliyopo ili kupunguza malalamiko kutoka kwa wananchi. Akizungumza Jijini Dodoma Mwakilishi wa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, […]

FEATURE
on Jun 17, 2023
231 views 2 mins

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Deogratius Ndejembi amesema ofisi yake haitosita kumchukulia hatua atakayebainika kukwamisha ujenzi wa shule za msingi na ukarabati wa madarasa kwani fedha za ujenzi na ukarabati huo zimetolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ili kuboresha […]

FEATURE
on Jun 17, 2023
345 views 2 mins

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawatahadharisha wananchi kuhusu taarifa zinazozagaa kutoka kwa mtu mmoja kuwa kutakuwa na maandamano siku ya Jumatatu ya tarehe 19 mwezi huu ya kwenda Ikulu ya Magogoni, Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi WA habari jijini dar es salaam kamishna msaidizi muandamizi WA jeshi la polisi Murilo […]

FEATURE
on Jun 17, 2023
330 views 15 secs

Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Saidi Yakubu amekutana na wajumbe kwa kufanya kikao cha pamoja na ujumbe kutoka Chama cha Mapinduzi (CCM) ambapo wamejadili namna bora ya kuboresha miundombinu ya michezo nchini. Akizungumza jijini Dodoma ambapo timu ya wataalamu kutoka Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo wakiongozwa na Katibu Mkuu wake Bw. […]

FEATURE
on Jun 17, 2023
410 views 54 secs

Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Mohamed Chande Othman amewataka Majaji wapya wa Mahakama ya Rufani Tanzania, kutambua kuwa wananchi wana matumaini makubwa na uteuzi wao, hivyo wana wajibu wa kuhakikisha wanakidhi matarajio yao na ya wadau wengine kwenye masuala ya sheria. Akizungumza Jaji Mkuu Mstaafu Mhe. Othman amesema hayo wakati akiwasilisha mada katika Mafunzo […]

FEATURE
on Jun 17, 2023
479 views 2 mins

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Katambi, amefungua kikao kazi cha kupitia na kujadili rasimu ya mwongozo wa kupima tija na programu ya kukuza tija na ubunifu nchini utakaosaidia kuangalia maendeleo ya ukuaji wa uchumi. Akizungumza jijini Dodoma, Mhe. Katambi amesema mwongozo huo pia utasaidia kutoa taarifa […]

FEATURE
on Jun 17, 2023
241 views 3 mins

Katibu wa Kamati Maalum ya NEC,Idara ya Itikadi na Uenezi Zanzibar Khamis Mbeto Khamis,amewasihi wasomi nchini kufanya utafiti wa kina wa kufuatilia na kutathimini kitaalamu miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali ili wananchi wajue mafanikio hayo. Akizungumza katika kongamano la kumpongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Mwinyi, la kuelekea miaka […]

FEATURE
on Jun 16, 2023
423 views 55 secs

Serikali imesema kuwa Utekelezaji wa miradi Saba ya ujenzi wa barabara Kwa njia ya EPC-F haitalipiwa na wananchi watakaotumia baadhi ya wananchi wanavyodhani. Akizungumza jijini Dodoma Waziri wa ujenzi na uchukuzi Professor Makame mbarawa wakati wa utiaji Saini wa miradi hiyo ambayo inatarajiwa kutekelezwa katika Kanda za kaskazini na kusini na kujengwa na makandarasi wanne(4) […]

FEATURE
on Jun 16, 2023
221 views 14 secs

Umewai kujua kwamba ili utambulike rasmi kisheria kwamba haupo katika mahusiano kindoa “single”unahitajika kuw a na cheti Cha serikali (Bachelor Spinster certificate)kinachotolewa na wakala wa usajili,ufilisi na udhamini (RITA) Huduma hiyo ya utambuzi huo ambao happy awali ilikuwa ikitolewa Kwa gharama ya sh 100.000 Kwa Sasa itaanza kupatikana Kwa kiasi Cha sh.200.000 ifikapo julai mosi […]