TANZANIA NA JAPAN ZIMETIA SAINI MAKUBALIANO NA USHIRIKIANO KATIKA UWEKEZAJI KATIKA BIASHARA YA KABONI
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Japan zimetia saini Hati ya Makubaliano ya ushirikiano katika mpango wa pamoja wa uwekezaji katika Biashara ya Kaboni utakaowezesha kampuni za nchi hizo mbili kuwekeza katika Biashara ya Kaboni nchini Tanzania. Utiaji saini wa makubaliano hayo umefanyika Mei 28, 2025 Tokyo, […]