KITAIFA
May 19, 2025
17 views 42 secs 0

MFUMO MPYA WA KIDIGITALI WA KITAMBULISHO KUANZA RASMI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA MWENYEKITI wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari ,Tido Mhando ametangaza kuanzishwa kwa mfumo mpya wa kidijitali wa kupata Ithibati ya Kitambulingo Cha Uandishi wa Habari (Press Card ) kupitia. Mfumo wa https://www.taihabari.jab.go.tz‎‎‎Hayo yamebainishwa Leo Mei 19,2025 Jijini Dar es Salaam na Mwenyekiti huyo amefafanua kwa kusema kuwa waandishi wanatakiwa […]