YANGA YAKAMILISHA MIPANGO KUMSAJILI FEI TOTO
Na MOHAMED AKIDA KLABU ya Yanga inaarifiwa kukamilisha mpango wa kumsajili kiungo wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ ili kui tumikia timu hiyo msimu ujao. Akizungumza na Mfanyakazi Tanzania, Menja Habari wa timu hiyo, Ally Kamwe amesema kuwa kuna wachezaji wengi wamepanga kuwasajili kenyeirisha kubwa lengo ni kuboresha jeshi lao la msimu ujao. “Feisal […]