BIASHARA
May 25, 2025
21 views 3 mins 0

SOKO LA KISASA LA NYAMA CHOMA LAZINDULIWA VINGUNGUTI

Na John Mapepele Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe.Mohamed Mchengerwa   amezindua soko la kisasa la nyama choma la Kumbilamoto vingunguti, Ilala jijini Dar es Salaam na kushuhudia utiaji wa mikataba ya  miradi 6 ya maendeleo  yenye  thamani ya  shilingi bilioni 7.7 Mara baada ya kuzindua soko hilo ambalo limegharimu takribani shilingi milioni 727 amepongeza […]