KAFULILA: MUHIMU KUWA NA PPP HASA ULIMWENGU WA SASA MIRADI YA MAENDELEO INAKAMILIKA KWA WAKATI
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA MKURUGENZI Mtendaji wa Kituo cha Ushirikiano kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP), David Kafulila amesema Kupitia ( Public -Private Partnership ) PPP, ni muhimu kuwa na PPP hasa katika ulimwengu wa sasa kwani kupitia PPP Miradi ya Maendeleo inakamilika kwa wakati na kwa viwango vinavyotakiwa. Kafulila ameyabainisha hayo […]