KITAIFA
May 05, 2025
56 views 2 mins 0

REB YARIDHISHWA MATUMIZI YA NISHATI SAFI GEREZA LA BUTIMBA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐Ÿ“ŒWapongeza mifumo ya nishati safi ya kupikia ๐Ÿ“ŒREA yapongezwa kwa kuhamashisha matumizi ya nishati safi Wajumbe wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB) wamefanya ziara ya kutembelea Gereza Kuu la Butimba lililopo jijini Mwanza kwa lengo la kukagua utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa mifumo ya nishati safi ya kupikia katika taasisi […]