BIASHARA
May 16, 2025
23 views 3 mins 0

SAMAMBA AWATAKA TAMISA KUNOA MAKUCHA YAKE ILI KUDHIBITI WANACHAMA WAKE WASIO WAAMINIFU KATIKA UTOAJI HUDUMA

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA KATIBU Mkuu Wizara ya Madini Eng. Yahya Samamba amesema kutokana na utulivu uliopo katika sekta ya madini , amekishauri Chama Chama cha Watoa Huduma Migodini (TAMISA), kunoa makucha yakeย  ili kidhibitiย  wanachama wake wasio waaminifu katika utoaji huduma. Ameyasema hayo Leo 16 Mei 2025 Katibu Mkuu wizara ya […]