KITAIFA
December 12, 2024
154 views 4 mins 0

PROF JANABI KUBEBA MIKOBA YA NDUGULILE WHO

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -ZANZIBAR Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amemtaka Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi kujiandaa kugombea nafasi ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika, Dkt Faustine Ndugulile. Dkt Ndugulile ambaye pia alikuwa Mbunge wa Kigamboni, alifariki dunia Novemba 27, mwaka […]