KITAIFA
May 19, 2025
19 views 3 mins 0

WAZIRI WA MAZINGIRA WA NORWAY ATETA  NA WAZIRI MASAUNI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Mha. Hamad Masauni amekutana na kufanya mazungumzo  na Bw. Andreas Bjelland Eriksen – Waziri wa Hali ya Hewa na Mazingira wa Norway. Mazungumzo hayo yalilenga  ushiriki wa Tanzania katika COP30 na majadiliano kuhusu taka za Plastiki,  yalifanyika katika Ofisi za Wizara hiyo […]