13 views 27 secs 0 comments

BODI YA REA YAZURU KABURI LA HAYATI  MAGUFULI CHATO

In KITAIFA
May 06, 2025

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA

Bodi ya Nishati Vijijini (REB) imeendelea na ziara yake ya ukaguzi wa miradi ya umeme vijijini  katika mikoa ya Kanda ya Ziwa.

Ikiwa wilayani Chato mkoani Geita, Bodi hiyo   leo Mei 6, 2025 imetembelea kaburi la aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Hayati Dkt. John Pombe  Magufuli.

/ Published posts: 2002

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge

Twitter
Youtube
Instagram