10 views 18 secs 0 comments

PROF MKENDA ATINGA BUNGENI, LEO NI BAJETI YA HISTORIA

In KITAIFA
May 12, 2025

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA

Waziri wa Elimu Mhe Prof Adolf Mkenda akiwasili bungeni leo tarehe 12 Mei 2025 kwa ajili ya kuwasilisha Makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa mwaka wa Fedha 2025/2026

/ Published posts: 2032

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge

Twitter
Youtube
Instagram