64 views 18 secs 0 comments

YANGA YAKAMILISHA MIPANGO KUMSAJILI  FEI  TOTO

In MICHEZO
May 28, 2025



Na MOHAMED AKIDA

KLABU ya Yanga inaarifiwa kukamilisha mpango  wa kumsajili kiungo wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ ili kui                            tumikia timu hiyo msimu ujao.

Akizungumza na Mfanyakazi Tanzania, Menja Habari wa timu hiyo, Ally Kamwe amesema kuwa  kuna wachezaji  wengi wamepanga kuwasajili kenyeirisha kubwa lengo ni kuboresha jeshi lao la msimu ujao.

“Feisal ni mchezaji mzuri hakuna klabu ambayo inaweza kumkataa nikweli sisi tunahitaji huduma yake lakini ni mhzaji wa Azam tunahofanya kuzungumza na uongozi wa timu yake kama tukikubaliana ndio anaweza kuwa mali yetu tena,” amesema Kamwe.

Meneja huyo ameeleza kuwa  wanamuhitaji Fei Toto ili kuziba Pengo la Stehen Aziz Ki ambaye wamemuuza Waydad  C                asablanca ya Morroco.

Mbali na Fei Toto, Kamwe amesema  mchakato  wa kukamilisha sajili za wachezaji wengine unakwenda vizuri na lengo lao ni kuhakikisha wanamaliza mapema zoezi hilo ili timu inngie mapema kambinikwa ajili ya kujiandaa na msimu mpya
                    https://www.instagram.com/p/DKMMfQoMhLJ/?igsh=MW53YzBlb3R3bjhhYQ==

/ Published posts: 2133

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge

Twitter
Youtube
Instagram