14 views 30 secs 0 comments

DKT. ABBASI AKAGUA UJENZI UWANJA WA GOFU SERENGETI

In MICHEZO
May 09, 2025

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi leo Mei 8, 2025, amekagua maendeleo ya ujenzi wa uwanja wa kisasa wa gofu chini ya Tanapa. Uwanja huo utakaokamilika mwaka huu na kuruhusu viwanja vingine vya michezo kadhaa navyo kuendelezwa, unajengwa nje kidogo ya Hifadhi ya Taifa ya Serengeti ili kuibua zao jipya la utalii wa michezo.

/ Published posts: 2017

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge

Twitter
Youtube
Instagram