8 views 49 secs 0 comments

WACHIMBAJI MADINI WAIPONGEZA REA KWA KUWAFIKISHIA UMEME

In KITAIFA
May 08, 2025

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA

๐Ÿ“ŒNi kupitia Mradi wa kupeleka umeme kwa wachimbaji wadogo na wa kati

๐Ÿ“ŒUmeme umeleta ukombozi, uzalishaji madini waongezeka Geita

Mradi wa kupeleka umeme kwa wachimbaji wadogo na wa kati, Viwanda vidogo na vya kati pamoja na maeneo ya kilimo umepokelewa kwa furaha na wananchi mkoani Geita mara baada ya kupata umeme wa uhakika katika migodi yao.

Hayo yamebaibishwa na wachimbaji wadogo wa madini wakati wakizungumza na Bodi ya Nishati Vijijini (REB) mara baada ya kutembelea maeneo ya shughuli za uchimbaji madini katika eneo la Magema katika ziara iliyolenga kukagua miradi ya umeme vijijini inayotekelezwa mkoani Geita.

/ Published posts: 2010

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge

Twitter
Youtube
Instagram