BIASHARA
April 25, 2025
29 views 2 mins 0

TATOA,TAFFA WAILALAMIKIA TRA

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Chama cha wamiliki wa Maroli Tanzania (TATOA) kwa kushirikiana na Chama cha Mawakala wa Forodha Tanzania (TAFFA)  Wameilalamikia Mamlaka ya mapato Tanzania kwa kuchaji kodi ya ongezeko ya thamani (VAT) katika mizigo na gharama za uendeshaji Kwa wanachama Transity. Hayo yamebainishwa leo Aprili 25, 2025 Jijini Dar es […]

BIASHARA
April 21, 2025
37 views 52 secs 0

WAMACHINGA,BODABODA WAPINGA KUJIHUSISHA NA MAANDAMANO YA CHADEMA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Wafanyabiashara wadogo wadogo maarufu kama Wamachinga na waendesha bodaboda na bajaji wametakiwa kuacha kujihusisha na maandamano bali waendelee kudumisha umoja na kutetea amani ya nchi. Wito huo umetolewa leo Aprili 21,2025 na viongozi wa wafanyabiashara hao wakati wakizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Wamachinga wa […]

BIASHARA
April 19, 2025
38 views 50 secs 0

TADB YATOA GAWIO LA KIHISTORIA LA SHILINGI BILIONI 5.58 KWA SERIKALI

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imetangaza gawio la kihistoria la shilingi bilioni 5.58 kwa Serikali ya Tanzania kutoka shilingi milioni 850 zilizotolewa mwaka 2023. Taarifa hiyo imetolewa katika Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Wanahisa kwa mwaka wa fedha ulioishia Desemba 31, 2024, uliofanyika makao makuu ya […]

BIASHARA
April 18, 2025
40 views 3 mins 0

ZOEZI LA UHAKIKI MALIPO YA MBOLEA ZA RUZUKU KWA WAKULIMA WA TUMBAKU TABORA LARIZISHA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Tabora, 17 Aprili 2025 Katika kuhakikisha wakulima wa tumbaku wanapata ruzuku za mbolea Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA), Bw. Joel Laurent, amefanya ziara ya kikazi katika vituo viwili vinavyo hakiki taarifa hizo mkoani Tabora kujionea maendeleo ya zoezi hilo na kuhakikisha linakamilika kwa wakati. Baada ya […]

BIASHARA
April 17, 2025
62 views 2 mins 0

DSE NA FINTECH WASAINI MAKUBALIANO YA KUKUZA MATUMIZI YA SULUHISHO ZA KITEKNOLIJIA NA USHIRIKIANO WA MASOKO

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Soko la Hisa Dar es salaamย  DSE limesiani Makubaliano (MOU) na jumiya yaย  Fintech society Tanzania yenye lenga la kukuza matumizi ya suluhisho za kiteknolojia katika ushirikinw masoko ya mitaji na kuwawezeshaย  watanzania kupata elimu ya Fedha. Akizungumza na waandishi wa Habari leo Aprili 17 wakati wakusaini Makubaliano […]

BIASHARA
April 08, 2025
42 views 53 secs 0

PRIMA AFRO WAWAKUMBUKA WATOTO WENYE MAHITAJI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Watoto wenye ulemavu na wanaoishi katika mazingira magumu ambao wanaolelewa katika Kituo cha Nazzar Foundation kilichopo Madale jijini Dar es Salaam wamepatiwa misaada mbalimbali kuwezesha Misaada hiyo ambayo iajumuisha pampasi, sabuni, vyombo vya kufulia nguo na vifaa vya usafi umetolewa na Kampuni ya Nywele ya Prima Afro. Akikabidhi msaada huo Aprili […]

BIASHARA
April 06, 2025
40 views 2 mins 0

MBOLEA YACHOCHEA MAPINDUZI KATIKA KILIMO CHA PARACHICHI: UZALISHAJI NA USAFIRISHAJI NJE WAONGEZEKA MARA DUFU

BAADA ya wakulima wa zao la parachichi kuanza kutumia mbolea katika kilimo hicho, uzalishaji umeongezeka. Matumizi ya mbolea katika zao la parachichi yameongezeka kutoka wastani wa kilo 100 kwa hekta mwaka 2019/20 hadi kilo 150 kwa hekta mwaka 2023/24. Ongezeko hilo la matumizi ya mbolea limechangia kuongezeka kwa uzalishaji wa parachichi inayouzwa nje kutoka tani […]

BIASHARA, KITAIFA
March 29, 2025
48 views 6 secs 0

DKT IRENE AWATAKA WATUMISHI KUENDELEZA MAOMBI NA KUTENDA MEMA KUPITIA MFUNGO WA RAMADHAN NA KWARESIMA

Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Dkt. Irene Isaka amewataka watumishi kuendeleza maombi na kutenda matendo mema kupitia Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan na Kwaresima ambayo kwa mwaka huu imewaunganisha waumini wa madhehebu ya Kikristu na Waislam. Amesisitiza hayo jana Jijini Dodoma wakati wa futari iliyoandaliwa na Mfuko na kuhudhuriwa na Watumishi wa Makao Makuu na […]

BIASHARA
March 14, 2025
66 views 3 mins 0

KAMATI YA BUNGE PIC: JENGO JIPYA WMA LITAONGEZA MORALI KUWAHUDUMIA WANANCHI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐ŸŸ  *Mwenyekiti Vuma ampongeza Rais, Serikali, Wizara na WMA* ๐ŸŸ  *Katibu Mkuu asema maono ya Rais Samia utoaji huduma bora kwa wananchi yatafikiwa* *Dodoma* Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), Mhe. Augustine Vuma amesema kukamilika kwa Jengo la Ofisi Kuu ya Wakala wa […]