BIASHARA, KITAIFA
June 25, 2024
373 views 2 mins 0

STAMICO YADHAMIRIA KUWAWEZESHA WACHIMBAJI WADOGO WA MADINI

Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) limeelezea Mipango yake ikiwemo kuendelea kuwawezesha Wachimbaji Wadogo wa Madini nchini, huku msisitizo ukiwekwa kwenye ununuzi wa mitambo na huduma za uchorongaji ili kuwasaidia kupata taarifa za miamba, hatimaye wachimbe kwa tija. Hayo yalielezwa  Juni 24, 2024 na Meneja Uwezeshaji Uchimbaji Mdogo kutoka STAMICO Bw. Tuna Bandoma kwenye Wiki […]

BIASHARA
June 18, 2024
332 views 3 mins 0

BENKI YA TCB YATANGAZA FAIDA YA SH. BILIONI 19.27

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA DAR ES SALAAM Mkurugenzi Mtendaji wa Tanzania Commercial Bank (TCB), Adam Mihayo amesema kuwa Benki hiyo imeshuhudia ongezeko kubwa la mapato ya jumla ya Shilingi Bilioni 19.27 sawa na asilimia 11.19 hadi kufika  Bilioni 19. 21, kwa mwaka 2023. ikilinganishwa na mwaka 2022 ambapo mapato yalikuwa Bilioni 172.83 sawa na asilimia […]

BIASHARA, BURUDANI
June 10, 2024
395 views 14 secs 0

SAMAKI SAMAKI KUJA NA KAMPENI YA HATUSHIKIKI YENYE OFA KABAMBE

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Katika kuhakikisha burudani hazipoi na kuwafikia watanzania Hatushikiki imekuja na kuzama kwa jua ili kukuza sekta ya burudani na kuwafanya wasanii kutoa burudani ya aina yake. Akizungumza jijini Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji  wa Kalito’s Way Group of Companies, Carlos Kalito, amesema kuwa wana sheherekea mafanikio ya biashara […]

BIASHARA, MICHEZO
June 09, 2024
518 views 0 secs 0

DIAMOND PLATINUM KUMTAMBULISHA MSHINDI WA MILION 20 KUTOKA TABORA

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Wasafi Bet Wamtambulisha mshindi wa milioni 20 ambaye anayetokea Tabora Saidi Daudi pia amesindikiwa na washindi watano walioweza kujishindia simu janja ya SMART PHONE Saidi amejishindia pesa hizo Kwa bet ambayo aliyoweza kucheza na kubashiri na kuingia Katika droo hiyo na baadhi Yao walishinda shilingi 10000 Kwa kila […]

BIASHARA, BURUDANI
June 09, 2024
1239 views 45 secs 0

IRENE UWOYA ATOA SIRI YA MAFUTA YAKE KUWA YANA UPAKO

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Mrembo Msanii Irene uwoya Amesema watu ambao wenye Imani potofu Kwa yeye ameokoka na kuwa mtumishi wa mungu na kutangaza urembo sio dhambi mungu ameshaeka Imani hiyo Kwa mwanamke kujiremba na haiepukiki maishani Msanii huyo Amesema  Amemrudia mungu wake Kwa kuokoka na kusema baadhi ya matendo yake yamebadilika […]

BIASHARA
June 07, 2024
171 views 2 mins 0

WAFANYABIASHARA WATOA RAI KWA TRA WASHIRIKISHWE NJIA YA KUKUSANYA MAPATO NASI KUTUMIA NJIA ZA VISHOKA

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA JUMUIYA ya wafanyabiashara wa Kariakoo jijini Dar es salaam, wametoa rai kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania, TRA kutumia njia ya ushirikishaji katika kukusanya mapato, badala ya kutumia njia zisizofuata misingi ya kisheria ikiwemo vishoka. Akizungumza na Waandishi wa Habari mapema leo Juni 07/2024 Jijini Dar es salaam Mwenyekiti […]

BIASHARA, KITAIFA
May 29, 2024
399 views 2 mins 0

TRA AWATAKA WAANDISHI WA HABARI ZA MTANDAONI KUWAHAMASISHA WANANCHI KUTUMIA DESTURI YA KUDAI RISITI

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Mamlaka ya Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA imewaomba waandishi wa habari za Mtandaoni (digital online) kuhamasisha wananchi kuwa na desturi ya kudai risiti pale wanapofanya manunuzi ili kusaidia kuwapata wafanyabiashara wanaokwepa kulipa kodi. Rai hiyo ameitoa leo Jijini Dae es salaam Mei 29,2024 Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Mapato TRA Elimu […]

BIASHARA, KITAIFA
May 22, 2024
252 views 3 mins 0

WANANCHI KUJENGEWA KUJUA UMUHIMU WA KUTUMIA MAZIWA KATIKA WIKI YA MAZIWA

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Wizara ya Mifugo na Uvuvi Kupitia Bodi ya maziwa inaelekea Katika kuazimisha wiki ya Maziwa ambayo itakayofanyika Tarehe 1 Juni 2024 yenye kulenga utumiaji wa maziwa Kwa kila mwananchi na kupewa ufahamu wa jinsi ya utumiaji Kwa maziwa yote ambayo yaliyosindikwa na yasiyosindikwa. Msajili wa Bodi ya maziwa […]

BIASHARA
May 17, 2024
191 views 3 mins 0

ENEO LA URAFIKI TEXTILE LANUNULIWA NA SHIRIKA LA NYUMBA NHC

Na Mwandishi wetu Wamachinga Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limenunua rasmi eneo la Urafiki mapema mwaka huu, ikiwemo mali zote zilizokuwa chini ya Kampuni ya Urafiki wa Tanzania na China (Tanzania – China Friendship Textile CO LTD). Meneja wa Mawasiliano kwa Umma wa  Shirika la Nyumba la Taifa ameyasema hayo leo wakati wa ziara […]