BIASHARA, KITAIFA
May 02, 2024
277 views 29 secs 0

UZALISHAJI WA MAZAO ÀSILIA YA BIASHARA YAZIDI KUPAA

JIJINI DODOMA Imeelezwa kuwa uzalishaji wa mazao asilia katika mwaka 2023/2024 umeongezeka kutoka tani 1,123,477.92 mwaka 2022/2023 hadi tani 1,260,321.1 sawa na asilimia  78.05 ya lengo la kuzalisha tani 1,614,758. Hayo yamesemwa na Mhe. Hussein Bashe wakati wa uwasilishaji wa Bajeti ya Wizara ya Kilimo leo Tarehe 02.05/2024 Jijini Dodoma ambapo amesema  ongezeko hilo limechangiwa […]

BIASHARA, KITAIFA
May 02, 2024
237 views 30 secs 0

SEKTA YA KILIMO KUENDELEA KUFANYIWA MAGEUZI MAKUBWA NCHINI

Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) amewasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha ya Wizara ya Kilimo kwa Mwaka 2024/2025 ambapo katika hotuba yake amesema katika mwaka ujao wa fedha, Wizara itaendelea kutekeleza vipaumbele vitano (5) vya mwaka 2023/2024 kwa kukamilisha miradi iliyoanza mwaka 2022/2023, 2023/2024 na kuanza miradi mipya. Waziri Bashe amesema […]

BIASHARA, KITAIFA
May 02, 2024
336 views 23 secs 0

KILIMO KIMETOA AJIRA ASILIMIA 65.6

“Sekta ya kilimo katika mwaka 2023 imekua kwa asilimia 4.2 kutoka asilimia 2.7 ya mwaka 2021 na imechangia asilimia 26.5 katika pato la Taifa ikilinganishwa na asilimia 26.2 mwaka 2022, vilevile imetoa ajira asilimia 65.6 imechangia asilimia 65 ya malighafi ya viwanda na kuendelea kuchangia asilimia 100 ya upatikanaji wa chakula,” – @HusseinBashe Waziri wa […]

BIASHARA, KITAIFA
May 02, 2024
335 views 37 secs 0

TAIFA LIMEJITOSHELEZA KWA CHAKULA KWA ASILIMIA 124

JIJINI DODOMA Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) akiwasilisha Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha ya Wizara ya Kilimo kwa Mwaka 2024/2025 amesema kuwa uzalishaji wa chakula kwa msimu wa kilimo wa 2022/2023 ulitosheleza mahitaji ya chakula ya tani 16,390,404 kwa mwaka 2023/2024 na kuwepo kwa ziada ya tani 4,011,611. Amesema […]

BIASHARA, KITAIFA
May 02, 2024
391 views 33 secs 0

BAJETI YA WIZARA YA KILIMO 2024/2025 KUWASILISHWA LEO

“Sekta ya Kilimo katika mwaka 2023 ilikua kwa asilimia 4.2 ikilinganishwa na ukuaji wa asilimia 3.3 mwaka 2022. Vilevile, Sekta ya Kilimo imechangia asilimia 26.5 katika Pato la Taifa ikilinganishwa na asilimia 26.2 mwaka 2022, imetoa ajira kwa wananchi kwa wastani wa asilimia 65.6 na kuchangia asilimia 65 ya malighafi za viwanda.” Mhe. Hussein Bashe […]

BIASHARA
May 01, 2024
324 views 54 secs 0

MWELI ASISITIZA MBOLEA KUFIKIA WAKULIMA KWA WAKATI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Bw.Gerald Mweli amesisitizia suala la Uwajibikaji wenye tija katika utekelezaji wa majukumu kwa Taasisi, Sekta Binafsi na Idara za Wizara ya Kilimo katika kuwahudumia wakulima na wanufaika katika mnyororo wa thamani kwenye kilimo. Mweli ametoa rai hiyo wakati alipotembelea Maonesho ya Kilimo yanayoendelea katika Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma. […]

BIASHARA
April 30, 2024
305 views 48 secs 0

BASHE APITA KUJIONEA UBUNIFU NA TEKNOLOJIA INAVYOCHOCHEA MAENDELEO KWENYE KILIMO

Waziri wa Kilimo, Mhe. Husein Bashe amezitaka Taasisi na Kampuni binafsi zinazojihusisha na kilimo kujikita zaidi katika ubunifu na matumizi ya Teknolojia ili kuongeza tija na ufanisi kwenye sekta hiyo. Waziri Bashe ametoa ushauri huo leo April 30, 2024 wakati alipotembelea kukagua mabanda ya wadau mbalimbali wa kilimo wanaoshiriki maonesho ya kilimo ya siku tano […]

BIASHARA
April 30, 2024
252 views 48 secs 0

BASHE APITA KUJIONEA UBUNIFU NA TEKNOLOJIA INAVYOCHOCHEA MAENDELEO KWENYE KILIMO

Waziri wa Kilimo, Mhe. Husein Bashe amezitaka Taasisi na Kampuni binafsi zinazojihusisha na kilimo kujikita zaidi katika ubunifu na matumizi ya Teknolojia ili kuongeza tija na ufanisi kwenye sekta hiyo. Waziri Bashe ametoa ushauri huo leo April 30, 2024 wakati alipotembelea kukagua mabanda ya wadau mbalimbali wa kilimo wanaoshiriki maonesho ya kilimo ya siku tano […]

BIASHARA
April 30, 2024
239 views 2 mins 0

BASHE: RAIS SAMIA AMEFANYA MAGEUZI MAKUBWA KWENYE SEKTA YA UMWAGILIAJI

Na Mwandishi Wetu Katika kuhakikisha sekta ya kilimo inazidi kukua, serikali ya awamu ya sita chini ya uongozi wa Rais Samia imeongeza bajeti ya sekta ya umwagiliaji kutoka shilingi bilioni 46.5 mwaka 2021/22 hadi shilingi bilioni 373.5 kwa mwaka 2023/2024 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya umwagiliaji ili kuongeza tija kwa wakulima. Waziri […]

BIASHARA
April 29, 2024
233 views 27 secs 0

MUONEKANO WA ENEO YATAKAPOFANYIKA MAONYESHO YA KILIMO KUANZIA KESHO

DODOMA Wizara ya Kilimo kwa kushirikiana na wadau kwenye sekta ya kilimo kuanzia kesho Aprili 30, 2024 wataonesha shughuli mbalimbali za kiteknolojia zinazotumika katika sekta husika kwenye kuendeleza kilimo nchini Maonesho hayo yenye Kauli Mbiu ya “from Lab to Farm 2024” yanalenga kuonesha namna matumizi ya teknolojia yanavyochagiza maendeleo ya kilimo ambapo wadau mbalimbali wa […]