BIASHARA, KITAIFA
October 25, 2023
231 views 3 mins 0

SEKTA YA MADINI NGUZO MUHIMU YA MAENDELEO YA NCHI

Mazingira Uwekezaji Sekta ya Madini, sasa njia nyeupe Dar es Salaam Imeelezwa kuwa, Sekta ya Madini ni nguzo muhimu na chachu ya maendeleo ya uchumi wa nchi kupitia rasilimali madini iliyopo nchini. Hayo yameelezwa leo Oktoba 25, 2023 na Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko alipomwakilisha Rais wa […]

BIASHARA
October 21, 2023
473 views 3 mins 0

WAFANYABIASHARA KARIAKOO WAZINDUA MAMA TUVUSHE 2025

Jumuiya ya wafanyabiashara ya maduka Kariakoo, Dar es Salaam imezindua kampeni yenye jina la Mama Tuvushe 2025 yenye lengo la kumsapoti na kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa mambo mengi aliyofanya tangu aliposhika wadhifa huo ikiwemo kuwajali na kuwathamini wafanyabiashara nchini. Akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Cate […]

BIASHARA
October 17, 2023
274 views 2 mins 0

MAJALIWA:FAO YAAHIDI KUIUNGA MKONO TANZANIA

Ni katika mikakati yake ya kukuza na kuendeleza sekta ya kilimo WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo (FAO) limeahidi kuunga mkono jitihada za Serikali ya Tanzania katika kukuza na kuendeleza sekta ya kilimo. Amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar […]

BIASHARA, KITAIFA
October 11, 2023
260 views 58 secs 0

WATANZANIA WAASWA KUJITOKEZA KWA WINGI KATIKA MAONESHO YA DAR CONSTRUCTION EXPO ILI KUJIFUNZA TEKNOLOJIA MPYA ITAKAYOPATIKANA KATIKA SEKTA YA UJENZI

Hayo Yamesemwa leo na Mkurugenzi na Muandaaji wa Maonesho hayo Bw. Deogratius John Kilawe , alipokuwa akiongea na Waandishi wa Habari katika Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam ambapo ameeleza kuwa Maonesho hayo yana lengo la Kuwakutanisha kwa Pamoja Wadau wa Sekta ya Ujenzi na kujadili njia mbalimbali zitakazosaidia kuinua Sekta hiyo pamoja […]

BIASHARA, KITAIFA
September 27, 2023
385 views 5 mins 0

KANYASU AMEIOMBA TUME YA MADINI KUJA NA TEKNOLOJIA YA KUKAMATA SHABA DHAHABU NA FEDHA

Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini Mh. Constantine John Kanyasu amewapongeza waandaaji wa Maonesho ya sita ya kimataifa ya teknolojia ya Madini na pia kupata nafasi ya kuwa Mgeni mahususi katika kutembelea mabanda mbalimbali yaliyoko katika Maonesho hayo Amesema Maonesho haya yameandaliwa vizuri na washiriki ni wengi na hii inaleta hamasa, hususani ushiriki wa bidhaa […]

BIASHARA, KITAIFA, MICHEZO
September 25, 2023
333 views 55 secs 0

SERIKALI KUONGEZEA WIGO SEKTA YA MAWASILIANO

Wizara ya Habari na Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Kwa kushirikiana na sekta binafsi kwa kuweka mazingira wezeshi kwa makampuni ya kutoa huduma ya mawasiliano ili kuongeza wigo katika sekta hiyo. Hayo yamebainishwa leo septemba 25,2023 na Waziri wa Habari na Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape nnauye kwenye Hafla ya utiaji saini hati […]

BIASHARA
September 23, 2023
385 views 2 mins 0

SERIKALI YA AWAMU YA SITA YAENDELEA KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI KWA WAWEKEZAJI SEKTA YA MADINI

KAMPUNI ya FEMA MINING AND DRILLING LTD inayojihusisha uchimbaji,ucholongaji na ulipuaji wa madini nchini imeshukuru serikali ya awamu ya sita(6) ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Rais Dkt.Samia Hassan Suluhu kwa kuwapa fursa na nafasi kampuni za kizawa kufanya kazi katika migodi nchini. Akizungumza hayo katika maonesho ya sita ya kitaifa ya teknolojia […]

BIASHARA, KITAIFA, MICHEZO
September 20, 2023
330 views 2 mins 0

WIKI YA EFD MARATHON YAPAMBA MOTO

Ofisi ya mkuu wa wilaya Kwa kushirikiana na mamlaka ya mapato TRA imeshirikiana kuandaa week ya EFD ambayo inayotumika Kwa kuhamasisha matumizi sahihi ya mashine ya EFD kwa wafanyabiashara Ili Kujenga mahusiano mazuri kati ya walipa kodi na wafanyabiashara wa Ilala na TRA na serikali imekuwa ndo kiunganishi Cha kujenga mahusiano hayo Akizungumza na waandishi […]

BIASHARA
September 19, 2023
363 views 3 mins 0

DRC KONGO KUJIFUNZA UONGEZAJI THAMANI YA MADINI TANZANIA

Afisa Biashara kutoka Ubalozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Nchini Bw. Marcel Kasongo Yampanya amewasilisha nia ya Serikali ya Kongo kuleta Vijana wengi nchini Tanzania kujifunza Uongezaji Thamani wa Madini ya Vito katika Kituo cha Jemolojia Tanzania (TGC) cha jijini Arusha. Ameyabainisha hayo wakati wa mazungumzo yake na viongozi wa kituo cha TGC baada […]

BIASHARA
September 18, 2023
356 views 2 mins 0

EWURA YAVIFUNGIA VITUO VITATU VYA SHELI

Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji (EWURA)imevifungia vituo vitatu vya kuuza mafuta kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo kuchelewesha kufikisha mafuta vituoni na wengine kukaa nayo mafuta kwenye visima vyao Kutokana na ufichaji wa mafuta EWURA imevichukulia hatua vituo 8 ambavyo vimejihusisha na tabia ya kuficha mafuta Hatua hiyo imekuja ikiwa na siku chache […]