BIASHARA
August 14, 2023
278 views 19 secs 0

WAKANDI NA SANLAM WASHIRIKIANA KUINUA VYAMA VYA USHIRIKA

Kampuni ya sanlam na Wakandi zimetakiwa kuendeleza kuwa Wabunifu katika kutoa bidhaa zilizobora Kwa Wananchi zitakazochagiza shughuli mbalimbali za kimaendeleo Nchini. Wito huo umetolewa Jijini Dar es salaam mara baada ya Kamishna Mkuu WA Bima Nchini TIRA Baghayo Sakware kuzindua Bima ya Maisha ya Mkopo Wa Kigital yenye lengo la kuboresha usalama WA Fedha, ustawi […]

BIASHARA
August 08, 2023
425 views 2 mins 0

TIGO PESA YALETA AHUWENI MALIPO KWA WAKULIMA ZAO LA KAKAO

Meneja Mauzo na Usambazaji kampuni ya mawasiliano TIGO Mkoa wa Mbeya, Ronald Richard amesema kuwa wanatumia fursa ya siku ya kilele cha maonesho ya kimataifa ya Nane nane 2023 katika Mkoa huo kuhamasisha wakulima kujiunga na TIGO ili kuwarahisishia shughuli za kilimo. Maonesho hayo yanafungwa rasmi leo Agost 8,2023 na Rais wa Jamhuri ya Muungano […]

BIASHARA
August 08, 2023
290 views 2 mins 0

NFRA WAHIMIZA WAKULIMA KUTUMIA MAGHALA KUHIFADHI CHAKULA NCHINI

AFISA mtendaji mkuu wa wakala wa Taifa ya hifadhi ya chakula NFRA Milton Lupa amesema katika kuhakikisha kuwa usalama wa chakula nchini wana majukumu makubwa matatu ambayo kwanza ni kununua na kuhifadhi chakula na pili ni kutoa chakula wakati wa dharura ama wakati wa majanga yanayojitokeza ndani ya nchi na jukumu la tatu ni kuuza […]

BIASHARA
August 07, 2023
319 views 2 mins 0

CPB YANUNUA TANI 35,000 YA MAZAO KWA WAKULIMA

KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Nafaka na Mazao Mchanganyiko (CPB) John Maige amesema katika msimu huu wa kilimo tayari Bodi hiyo imeshanunua takriban tani 35,000 za mazao mbalimbali ya wakulima hapa nchini. Akizungumza na waandishi wa habari katika viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya kwenye Banda ya Bodi hiyo ,Maige amesema miongoni mwa mazao […]

BIASHARA
August 07, 2023
464 views 2 mins 0

TIGO TANZANIA YALETA KICHEKO KWA WAKULIMA

KAMPUNI ya mawasiliano ya Tigo imekuja na njia ya kidigitali ya kumrahisishia mkulima kujifunza namna ya uzalishaji wa mazao bora kwa njia ya mtandao ambapo inatoa mkopo wa simu janja kwa wakulima ambao hutanguliza pesa kidogo ili waweze kumudu gharama za kupata simu hizo. Akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kujifunza kilimo mtandaoni kupitia simu […]

BIASHARA
July 31, 2023
381 views 3 mins 0

MAONYESHO YA GHANA YA KIBIASHARA YAPAMBA MOTO TANZANIA

KAMA sehemu ya juhudi za Ghana za kuimarisha uhusiano wa kiuchumi kati ya Ghana na Tanzania chini ya Mkataba wa Eneo Huru la Biashara la Bara la Afrika (AfCFTA), Ofisi ya Kitaifa ya Uratibu wa AfCFTA ya Ghana (NCO) imepanga kufanya msafara wa kibiashara kwenda nchini Tanzania Septemba 25 na 26, 2023. Akizungumza na waandishi […]

BIASHARA
July 27, 2023
322 views 2 mins 0

TIGO KUINGIA UBIA TENA NA AZANIA BANK

Kampuni inayoongoza kwa mtindo wa maisha ya kidijitali Tanzania, Tigo, imezindua mfumo wa bidhaa yake ya mikopo iliyoboreshwa kupitia Tigo Pesa kwa kushirikiana na Benki ya Azania. Uzinduzi huu imezinduliwa Leo Alhamis 27 2023 Katika ukumbi wa Serena hotel Jijini Dar es salaam ambapo ni sehemu ya mkakati wa kuimarisha upatikanaji wa mikopo ya muda […]

BIASHARA, KITAIFA
June 06, 2023
203 views 26 secs 0

SERIKALI YA TANZANIA YAFUNGUA MILANGO KWA WAWEKEZAJI WA BIASHARA YA HIFADHI YA MAZINGIRA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Selemani Jafo amesema Serikali inaendelea kufungua milango kwa wawekezaji wa Biashara ili kuhifadhi mazingira.  Amesema hayo leo Juni 06, 2023 wakati wa kikao na Mkuu wa Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora Dkt. Rashid Chuachua pamoja na ujumbe wake waliomtembelea kwa Kuwasilisha taarifa ya kusudio la kuanzisha mradi wa hifadhi ya misitu […]

BIASHARA, KITAIFA
May 31, 2023
299 views 2 mins 0

DKT. NCHEMBA ATOA AGIZO LA KUTAFUTA SULUHU UPUNGUFU WA DOLA ZA MAREKANI

Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amewaagiza wataalamu wa Wizara ya Fedha na Mipango na ujumbe kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), kujadili namna ya kushughulikia athari za upungufu wa dola za Kimarekani katika mzunguko wa fedha ili kunusuru uchumi wa nchi zinazoendelea. Mhe. Dkt. Nchemba (Mb) ametoa maagizo […]

BIASHARA, KITAIFA
May 25, 2023
366 views 4 mins 0

WAKULIMA WA UFUTA MKOANI SONGWE WAANZA KUONA NEEMA

Songwe. Wakulima wa zao la ufuta mkoa wa Songwe wameanza kuona tija ya kuzalisha zao hilo baada ya kuuza Sh 3678 kwa kilo moja tofauti na misimu ya huko nyuma walikuwa wakiuza sh 2000. Wananchi hao wameanza kuona kuonja manufaa hayo baada ya kuanza kuuza bidhaa hiyo kwa kutumia mfumo wa stakabadhi ghalani na kuachana […]