BIASHARA
February 23, 2025
84 views 3 mins 0

NAIBU WAZIRI SANGU AZITAKA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA KUANDAA KANZIDATA ZA  WAHITIMU WA VYUO VIKUU WALIOPATA MKOPO KUPITIA TASAF

Na. Lusungu helela-MBEYA Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Sangu amezitaka Mamlaka za Serikali za Mitaa kuandaa kanzidata za  wanafunzi waliohitimu Vyuo Vikuu waliotoka kaya za walengwa wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) walionufaika na mikopo ya elimu ya juu kwa asilimia 100 katika vyuo […]

BIASHARA
February 19, 2025
76 views 4 mins 0

MARAIS SABA KUKUTANA DAR KUJADILI KAHAWA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA WAKUU wa nchi saba, kati ya 25 zinazozalisha Kahawa Barani Afrika (G-25), wanatarajiwa kushiriki mkutano wa tatu zao hilo utakaofanyika kuanzia Februari 21 hadi 22 katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam. Tanzania inakuwa mwenyeji wa mkutano wa tatu wa G-25 African Coffee Summit […]

BIASHARA
February 16, 2025
85 views 4 mins 0

VIWANDA VINNE VYA UONGEZAJI THAMANI MADINI KUJENGWA MKOANI DODOMA-WAZIRI MAVUNDE

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ▪️Akagua maendeleo ya ujenzi wa kiwanda cha kuchenjua Madini ya Shaba* ▪️Dodoma inaongoza kwa uwepo wa aina nyingi za madini nchini* ▪️Atoa rai kwa Mikoa kutenga meneo maalum ya viwanda vya kuongeza thamani *📍 Dodoma* Waziri wa Madini *Mhe. Anthony Mavunde* amesema, ujenzi wa Viwanda vinne vya Uchenjuaji Madini ya Shaba […]

BIASHARA
February 11, 2025
96 views 4 mins 0

KITUO CHA MFANO KATENTE CHAONGEZA MAKUSANYO MBOGWE

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA *Afisa Madini atoa Wito wachimbaji kuvitumia* *Abainisha fursa za Uwekezaji Sekta ya Uchimbaji mdogo Mbogwe* *Mbogwe* Uwepo wa Kituo cha Mfano cha Katente katika Mkoa wa Kimadini Mbogwe umeleta mapinduzi katika  ukusanyaji wa Maduhuli ya Serikali  kufuatia  Wachimbaji Wadogo wa Madini  kukitumia  kituo hicho kuchenjua mawe yao jambo ambalo limewezesha ukusanyaji […]

BIASHARA
February 08, 2025
73 views 2 mins 0

BODI YARIDHISHWA NA MAENDELEO YA UJENZI OFISI KUU WMA

✅ *Mkandarasi kukabidhi Jengo kwa WMA Februari 10* ✅ *Watumishi kuhamia rasmi Dodoma hivi karibuni* *Na Veronica Simba – WMA* Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Vipimo (WMA) imekagua Jengo la Ofisi Kuu ya Wakala hiyo lililo katika hatua za mwisho kukamilika na kukiri kuridhishwa na hatua iliyofikiwa katika ujenzi. Akizungumza na waandishi wa habari […]

BIASHARA
February 06, 2025
79 views 4 mins 0

TFRA Yaendelea Kukuza Sekta ya Mbolea kwa Ushirikiano na Wazalishaji Wadogo

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA DAR ES SALAAM – Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA), Joel Laurent, ameongoza kikao muhimu na wazalishaji wadogo na wa kati wa mbolea nchini ili kujadili suala la utekelezaji wa takwa la sheria ya Mazingira la kufanya tathmini ya mazingira. Katika kikao hicho kilicholihusisha Baraza la Taifa […]

BIASHARA
February 05, 2025
151 views 25 secs 0

EWURA YATANGAZA BEI KIKOMO ZA BIDHAA ZA MAFUTA YA PETROLI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA TAARIFA:  EWURA inatangaza Bei Kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli zitakazotumika hapa nchini kuanzia Jumatano ya tarehe  5 Februari, 2025, saa 6:01 usiku. Wafanyabiashara wa rejareja na jumla  wanatakiwa kuuza mafuta kwa bei zilizoidhinishwa na EWURA pekee na yeyote atakayekiuka AGIZO hili atachukuliwa hatua kali kwa mujibu  wa sheria.