BIASHARA
January 16, 2025
96 views 2 mins 0

AKIBA COMMERCIAL BANK PLC YAWAZAWADIA WASHINDI WA KAMPENI YA TWENDE KIDIGITAL TUKUVUSHE JANUARI

Na Mwandishi wetu-Dar es salaam Akiba Commercial Bank imewashukuru wateja wake kwa kushiriki katika kampeni “twende kidigital tukuvushe Januari” na imewahimiza kuendelea kutumia huduma zake za kidijitali kama vile ACB Mobile, Internet Banking, ACB VISA Card, na ACB Wakala ili kufurahia uzoefu wa kipekee wa kibenki. Shukrani hizo zimetolewa  Jijini Dar es salaam Januari,2025  Mkuu […]

BIASHARA
January 12, 2025
108 views 5 mins 0

Mapinduzi ya Miaka 61 ya Zanzibar na Ukuaji wa Sekta ya Bima visiwani humo

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania imeanzishwa kwa mujibu wa kifungu cha 5 sheria ya bima sura ya 394. Pamoja na majukumu mengine imepewa mamlaka ya kuratibu maswala yote ya kisera kuhusu bima ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ofisi zake za Makao makuu ni Dodoma lakini pia ina Ofisi […]

BIASHARA
January 09, 2025
155 views 4 mins 0

KITUO CHA GESI YA CNG CHA UBUNGO KUANZA KUJAZA GESI FEBRUARI 2

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Dotto Biteko, amesema ameridhishwa na kasi ya ujenzi wa kituo kikuu cha kushindilia gesi asilia (CNG) kilichopo Ubungo, Dar es Salaam. Ametangaza kuwa kituo hicho, kinachojengwa na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), kitaanza kutoa huduma za kujaza gesi asilia kwenye magari kuanzia Februari 3, 2025. […]

BIASHARA
December 30, 2024
104 views 3 mins 0

ILALA KUFIKIA HADHI YA MJI WA BURNEY, CALIFORNIA KWA MIUNDOMBINU YA BIASHARA NA USALAMA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Halmashauri ya Manispaa ya Ilala imefungua rasmi milango kwa wafanyabiashara kufanya biashara masaa 24 kuanzia Januari 2025, katika juhudi za kuboresha mazingira ya biashara na huduma kwa wananchi Hafla ya uzinduzi wa taa na kamera za CCTV katika Jengo la Machinga Complex limefanyika jana usiku wa,29 Desemba 2024, na kuhudhuriwa na […]

BIASHARA
December 25, 2024
118 views 3 mins 0

TFRA Yatakiwa Kuandaa Mpango wa Kuongeza Matumizi ya Mbolea Nchini

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Dkt. Hussein Omary, ametoa wito kwa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) kuandaa mpango mahsusi wa kuongeza matumizi ya mbolea ili kuimarisha sekta ya kilimo nchini. Wito huo ulitolewa hivi karibuni wakati wa ziara yake katika ofisi za Mamlaka hiyo jijini Dar es […]

BIASHARA
December 25, 2024
111 views 2 mins 0

TFRA YAENDELEA KUHAMASISHA MATUMIZI SAHIHI YA MBOLEA MKOANI KAGERA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) imeendelea kuchukua hatua za kuelimisha wakulima kuhusu matumizi sahihi ya mbolea na faida zake kupitia ushiriki wake katika maadhimisho ya “Ijuka Omuka” yanayoendelea katika viwanja vya CCM mjini Bukoba. Maadhimisho haya, ambayo yalianza tarehe 16 Desemba 2024, yamelenga kuwakutanisha wadau wa maendeleo katika Sekta […]

BIASHARA
December 23, 2024
195 views 2 mins 0

TFRA NA KAMPENI YA KUBORESHA KILIMO CHA PAMBA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) inaendelea na kampeni ya “Kijiji hadi Kijiji, Shamba hadi Shamba,” yenye lengo la kuhamasisha matumizi sahihi ya mbolea kwa wakulima wa pamba. Kampeni hiyo inayofanyika kwa kushirikiana na Bodi ya Pamba Tanzania (CBT) na Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI), inalenga kuongeza uzalishaji wa […]

BIASHARA
December 15, 2024
169 views 4 mins 0

ADC NA EQUITY BANK WASHIRIKIANA KUWAPA MAFUNZO WAJASIRIAMALI WANAWAKE KUJITAMBUA KATIKA BIASHARA ZAO

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA ADC Limited Tanzania Kwa kushirikiana na Equity Bank wamefanya semina ya kuwafunza wajasiriamali wanawake Kwa kuwapa elimu ya fedha na Uwekezaji na kuweka Bajeti na kujitenganisha na biashara zao Hayo ameyasema Leo na Meneja wa wanawake na vijana kutoka Equity Bank Jackline Jacob Temu Amesema Equity Bank waliazisha […]