BURUDANI, KITAIFA
December 22, 2023
472 views 30 secs 0

MAKONDA ATIMIZA AHADI YAKE AMKABIDHI PROF JAY TSH MILION 20 NA KUMTAFUTIA NYUMBA UPANGA

Awakumbusha waliotoa ahadi zao kuzikamilisha ili kuendelea kuiwezesha Taasisi ya Professor Jay Foundation_ Katibu wa Halmshauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Paul Makonda , ametimiza ahadi yake ya kumchangia Tsh Milioni 10 kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mikumi na Mwanamuziki wa (HipHop) Nchini Bw. Joseph Haule Maarufu […]

BURUDANI, KITAIFA
December 21, 2023
535 views 2 mins 0

TAASISI YA MTETEZI WA MAMA WASHEHEREKEA SIKU YA KUZALIWA KWA RAIS SAMIA KWA AINA YAKE

Taasisi ya Mtetezi wa Mama hii leo imesema kuwa inatarajia kuungana na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan katika kusherehekea siku yake ya kuzaliwa January 27/2024 kwa namna ya kipekee ikiwemo kutoa misaada mbalimbali kwa wahitaji. Akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Dar es salaam Mwenyekiti wa Taasisi hiyo Mohammed Chande amesema kazi kubwa ya Taasisi […]

BURUDANI
December 12, 2023
343 views 9 secs 0

STEVE NYERERE:KUWAVESHA VIATU WAHANGA WA HANANG

DAR ES SALAAM: Na Madina Mohammed Mwenyekiti wa Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao, Steve Mengele ‘Steve Nyerere’ amewaomba watanzania kuwachangia huduma za vitu mbali mbali waathirika wa mafuriko Hanang. Akizungumza na waandishi wa habari juu ya Programu ya Mama amstiri Mwanamke jijini Dar es Salaam Steve Nyerere amesema kuwa taasisi hiyo imelenga kutoa taulo […]

BURUDANI
December 12, 2023
728 views 37 secs 0

NISHER MTOTO WA NABII MKUU GEODAVIE AFARIKI DUNIA

Director maarufu wa video mbalimbali ikiwemo za Wasanii wa Bongofleva ambaye pia ni Mtoto wa kwanza wa Muhubiri maarufu wa Arusha wa Kanisa la Ngurumo ya Upako Dr. GeorDavie, Nic Davie maarufu Nisher amefariki saa nane na dakika tisa usiku wa kuamkia leo December 12,2023. Familia ya Dr. GeorDavie imethibitisha kutokea kwa msiba huo wa […]

BURUDANI, KITAIFA
November 22, 2023
325 views 16 secs 0

TAMTHILIA YA SIRI YAJAKWA KISHINDO YATABIRIWA KUIFUNIKA TAMTHILIA ZOTE

KAMPUNI ya Azam Media imetambulisha tamthilia ya kitanzania inazofahamika kama ‘Siri’ ambayo imebeba simulizi na kuleta mapinduzi ya tasnia ya tamthilia nchini. Akizungumza na waandishi wa habari, jijini Dar es Salaam, msimamizi Mkuu wa Chaneli ya Sinema Zetu, Sophia Mgaza amesema kuwa uzalishaji wa tamthia hiyo umezingatia mahitaji ya soko kwani wametumia vifaa vya uzalishaji […]

BURUDANI, KITAIFA
November 22, 2023
322 views 56 secs 0

MALISA AZINDUA KAMPENI YA LIPA TUKUBUST NA STARTIMES

KUELEKEA Msimu wa Sikukuu za Christmas na Mwaka mpya Kampuni ya Startimes imezindua rasmi Kampeni ya “Lipa tukubusti” itakayodumu miezi mitatu kuwaweka karibu watazamaji kiburudani na kimichezo. Akizungumza na wanahabari leo Novemba 20,2023 Jijini Dar es Salaam, Meneja Masoko wa Kampuni ya Startimes David Malisa amesema msimu huu wa Sikukuu familia zinakuwa pamoja hivyo Kampeni […]

BURUDANI
October 09, 2023
397 views 2 mins 0

TUNZO ZA MAGIC VIBE AWARD KUPAMBA MOTO

Muigizaji na mtangazaji wa clouds media Burton Mwambe maarufu kama mwijaku azungumzia Sakata LA kufungwa kwa shule mjini Paris kuwa na wingi wa kunguni. Mwijaku amesema kuwa alipata bahati ya Kufika katika jiji hilo na kuona muingiliano mkubwa wa watu wanaoenda kutalii katika jiji hilo huenda ndio wanaosababisha kunguni mjini Paris. Mwijaku amesema hayo oktoba […]

BURUDANI
October 07, 2023
418 views 2 mins 0

ATE WAHITIMISHA KILELE CHA BONANZA LA AFYA KWA WAAJIRI KWA MWAKA 2023

Leo Jumamosi, tarehe 7 Oktoba 2023, ATE kwa kushirikiana na wadau wa kazi na Ajira, wamehitimisha kilele cha Bonanza la Afya la Waajiri kwa mwaka 2023 lililobeba ujumbe unaosema “Kuimarisha Afya ya Akili ili Kuongeza Tija Mahali pa Kazi.” Mgeni Rasmi katika Bonanza hili alikuwa ni Waziri wa Nchi, OWM-KVAU, Mhe. Prof. Joyce Lazaro Ndalichako […]

BURUDANI
October 06, 2023
249 views 2 mins 0

TAWA YASHIRIKINMAONESHO YA KIMATAIFA YA ‘SITE’ JIJINI DAR ES SALAAM MAENEO MAPYA YA KIMKAKATI YANADIWA

MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) inashiriki maonesho ya Saba ya Kimataifa ya Swahili International Tourism Expo (SITE) yaliyozinduliwa Leo Oktoba 6, 2023 na Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Angellah Kairuki katika Ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam Wanunuzi wa bidhaa za utalii kutoka masoko ya kiutalii […]