KIMATAIFA, KITAIFA
May 15, 2023
377 views 56 secs 0

IGP WAMBURA – MAOFISA NA ASKARI KUPATIWA MAFUNZO MAALUM

Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania Camillus M.Wambura IGP akiwa na ujumbe wa Maofisa watano kutoka Jeshi la Polisi Tanzania leo Mei 15,2023 wameanza rasmi ziara ya kikazi Nchini Ireland ambapo ametembelea Makao Makuu ya Jeshi la Polisi Ireland \”An Garda Síochána\” na kukutana na Deputy  Commissioner Anne Marie McMahon.Wameweza kubadilishana uzoefu wa namna ya […]