FEATURE
on Mar 26, 2025
62 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), kwa kushirikiana na vyombo vingine vya dola, imefanya operesheni maalum wilayani Same, mkoani Kilimanjaro kuanzia tarehe 19 hadi 25 Machi 2025. Katika operesheni hiyo, ekari 285.5 za mashamba ya mirungi zimeteketezwa na watuhumiwa saba (7) wamekamatwa, akiwemo kinara wa biashara haramu […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 26, 2025
67 views 2 mins

Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) imekutana na kufanya mazungumzo na Taasisi za Utafiti wa kilimo zilizo chini ya Wizara ya Kilimo kwa lengo la kujadili ushirikiano baina yao katika masuala ya udhibiti wa mbolea hususani katika kufanya tafiti na majaribio ya mbolea zinazokusudiwa kusajiliwa nchini. Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa TFRA, […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 26, 2025
58 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania (TGDC) imetoa elimu na uhamasishaji kwa wananchi wa vijiji vya Nsongwi Juu, Nsenga na Mbeye I, ili kuimarisha uhusiano na jamii zinazozunguka miradi ya jotoardhi ngozi. Ziara hiyo ilifanyika Machi 17 hadi 20, mwaka huu na wakazi wa maeneo hayo kunufaika na elimu iliyotolewa na kuonesha utayari […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 25, 2025
57 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt.Dotto Biteko ameieleza Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini kuwa Serikali inafurahishwa na mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kwa kutoa kipaumbele cha fursa za ajira kwa Watanzania kupitia utekelezaji wa Sera ya kuwawezesha wazawa ( Local Content). […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 25, 2025
125 views 3 mins

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari amewakumbusha Mawakili wa Serikali kufanya kazi kwa haraka, kwa wakati  na kwa kuzingatia ubora, Mwanasheria Mkuu wa Serikali ameyasema hayo tarehe 25 Machi, 2025 wakati akizungumza na Mawakili wa Serikali kwenye Mafunzo maalumu kwa  Mawakili hao yanayofanyika Jijini Arusha. Mwanasheria Mkuu wa Serikali amewakumbusha Mawakili wa Serikali […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 23, 2025
95 views 3 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Taasisi isiyokuwa ya kiserikali ya AMO Foundation Kwa kushirikiana na Shirika la PDT Foundation imeweza kuwachangia watoto wanaoishi Katika mazingira magumu wanaotembea umbali mrefu Ili kufika shuleni Kwa kuwachangia baiskeli 30 Ameyasema hayo Leo 23,Machi 2025 Mkurugenzi wa AMO Foundation Amina Said Amesema kuwa tumewachangia baiskeli 30 lakini […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 23, 2025
69 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), kupitia Kituo cha Hali ya Hewa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), imeadhimisha Siku ya Hali ya Hewa Duniani kwa kutoa elimu kwa wadau pamoja na kuweka mipango ya kuendelea kuboresha huduma na kuongeza tija na ufanisi katika kuhakikisha usalama wa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 22, 2025
54 views 6 secs

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi amejumuika  na  Wajumbe wa Kamati Kuu na Halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi katika futari aliyoiandaa. Hafla hiyo ya  imefanyika katika Viwanja vya Ikulu  Zanzibar, tarehe 22 Machi 2025. Ameeleza kuridhika kukamilisha Sadaka ya Futari kwa Mikoa yote […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 22, 2025
79 views 2 mins

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt, Hussein Ali Mwinyi amesema  Serikali ina dhamira ya dhati  ya Kuijenga Zanzibar yenye Maendeleo endelevu na huduma bora za jamii ikiwemo Elimu, Afya na Maji Safi na Salama. Rais Dkt.Mwinyi amesema hayo alipoizindua Sera Mpya ya Maji na  Usafi wa Mazingira ya 2025 hafla iliofanyika […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 22, 2025
43 views 3 mins

Na Happiness Shayo – Njombe Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amesema Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa Sekta ya Misitu ili kuleta ufanisi na manufaa zaidi katika kuchangia ukuaji wa pato la Taifa (GDP) na kunufaisha wananchi kupitia rasilimali za misitu zilizopo […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...