FEATURE
on Dec 13, 2023
325 views 2 mins

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) ameitaka Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) kujipambanua ili kuhakikisha inatekeleza majukumu yake ipasavyo na kukua katika utangazaji utalii. Ameyasema hayo leo Desemba 13,2023 jijini Dar es Salaam alipofanya ziara ya kikazi katika Makao Makuu ya Bodi ya Utalii Tanzania. โ€œTunatamani tuache alama , nataka shirika hili […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 13, 2023
430 views 2 mins

DAR ES SALAAM: Na Madina Mohammed Wizara ya mambo ya ndani ya nchi na Baraza la usalama Barabarani la Taifa Kwa kushirikiana na jeshi la polisi wameandaa operesheni maarum ya kudhibiti ajali za barabarani Katika maeneo yote ya nchi Amesema Baraza litaendelea kusimamia Kwa nguvu madereva Ili kuweza kupunguza ajali barabarani Katika maeneo yote ya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 13, 2023
408 views 2 mins

Chama Cha Wananchi-CUF kikiwa kinaendelea kufanya hadhara Katika ngazi za kata na wilaya Katika maeneo mbalimbali Ili kujiimarisha Katika chaguzi zijazo Kwa Takribani mwezi mmoja Sasa,Jeshi la polisi limeweza kujiingiza Katika siasa ya kukwamisha mikutano ya hadhara ya chama Cha wananchi CUF hususani kwenye ngome za CUF Hayo yamesemwa na mkurugenzi wa habari,Uenezi na Mawasiliano […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
FEATURE
on Dec 12, 2023
303 views 3 mins

Wahitimu wa Chuo cha Taifa cha Utalii (NCT) wametakiwa kuleta mageuzi katika utoaji huduma bora kwa watalii na wageni wanaotembelea nchini ili kuitangaza vyema Tanzania na kuongeza idadi ya watalii wanaokuja nchini. Hayo yamesemwa leo Desemba 12, 2023 na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) kwenye mahafali ya 21 ya Chuo cha […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 12, 2023
527 views 23 secs

Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Sheikh Dr Abubakar Zuber Ali Mbwana amempa pole Raisi wa Tanzania Mh Dr. Samia Suluhu Hassan kufuatia maafa yaliyojitokeza katika Wilaya ya Hanang Mkoani Manyara. Mh Mufti ameyasema hayo Disemba 12 Ofisini kwake Bakwata Makao Makuu wakati akizungumza na Waandishi wa Habari mara tu baada ya kurejea nchini Tanzania […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 11, 2023
270 views 4 mins

Na Richard Mrusha Simanjiro UONGOZI wa Kampuni ya Franone Mining and Games limetd inayojishughulisha na uchimbaji madini ya vito ( Tanzanite) imeungana na watanzania wengine na Serikali katika kuchangia mahitaji mbalimbali ya chakula Kwa wahanga wa mafuriko wilayani Simanjiro mkoani Manyara . Akizungumza na waandishi wa Habari Disemba 10,2023 Meneja Mkuu wa kampuni hiyo Vitus […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 10, 2023
304 views 2 mins

Na Madina Mohammed Baada ya kupotea Kwa Muda mrefu kidogo Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango Amesema yamesemwa mengi sana na wengine wanasema kuwa yeye ni mzuka Ameyasema hayo Leo Tarehe 10 Desemba 2023 wakati akiwa katika Ibada ya jumapili Katika Kanisa Katoliki Parokia ya Mwenyeheri Maria Theresa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 9, 2023
613 views 4 mins

Na Richard Mrusha Dodoma AFISA Utumishi wa Chama cha walimu Taifa CWT Neema Ezekia Amesema maadhimsho ya siku ya walimu Duniani Kwa utaratibu wa Chama hicho taifa yanafanyika kila baada ya miaka minne na mwaka huu yalikuwa yafanyike Novemba 4,2023 Kwa ratiba iliyokuwa imepangwa. Amesema kuwa maadhimisho ambayo yamefanyika katika ngazi za Wilaya ni Kwa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...