FEATURE
on Nov 28, 2023
542 views 2 mins

Taasisi ya Jai ni Taasisi ya kujitolea ambayo inayowasaidia wagonjwa wasiokuwa na ndugu na wale wasioweza kumudu gharama za matibabu Katika hospital ya Rufaa Mkoa Mwananyamala wilaya ya Kinondoni. Taasisi hiyo ya Jai imeandaa kongamano na ndani yake kutakuwa na harambee ambalo kusudio kubwa ni kuchangia na kuwasaidia waitaji ambao ni wagonjwa wasiojiweza ambao kipato […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 28, 2023
269 views 2 mins

CPC yaahidi kuendeleza ushirikiano katika nyanja za Uchumi, Elimu na Masuala ya Kijamii Dar es salaam Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo amekutana na kufanya mazungumzo na Uongozi wa juu wa Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) ukiongozwa na Mjumbe wa Kamati na Mkurugenzi Mkuu wa Bureau I, Idara […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 27, 2023
277 views 3 mins

Ataka miradi inayofadhiliwa na Wadau wa Maendeleo pia ifuatiliwe na kufanyiwa tathmini Awaasa Maafisa Mipango kutembea kifua mbele, wao ni wadau muhimu Serikalini Aagiza watoe elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa kutoa maoni kwa ajili ya maendeleo ya nchi Arusha Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,  Mhe. Dkt. Doto Biteko ameagiza Tume ya Mipango […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 27, 2023
534 views 46 secs

Waziri Ujenzi, Innocent Bashungwa amewahakikishia Wananchi wa Wilaya Mpwapwa kuwa Serikali ipo mbioni kusaini mkataba wa Ujenzi kwa kiwango cha lami Barabara ya Kongwa Jct- Ng’ambi -Mpwapwa yenye kilometa 32. Bashungwa ameeleza hayo kwa njia ya simu wakati alipotakiwa kutoa ufafanuzi na Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM Taifa – UWT, Mama Mery Chatanda […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 26, 2023
292 views 5 mins

Akemea vikali wahujumu wa miundombinu ya umeme, Asema Serikali iko kazini, Itawashughulikia Ataka TANESCO kusikiliza na kujibu Wateja kwa haraka Asisitiza utunzaji wa Mazingira Arusha Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kukata umeme kwa wadaiwa wote wasiolipa gharama za kutumia umeme ambapo Shirika hilo […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 26, 2023
294 views 2 mins

Chama Cha Wananchi CUF kimelaani vikali Kwa kuvunjiwa mkutano wao ambao ulikuwa unafanyika Katika viwanja vya buguruni sheli na polisi kuwakamata viongozi 7 bila ya kuwa na kibali maarum Akizungumza na Waandishi wa habari jijini Dar es salaam mwenyekiti wa chama Cha Wananchi CUF Profesa Ibrahim Lipumba Amesema amehuzunishwa na kitendo hicho Kwa kukamatwa Kwa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 26, 2023
512 views 3 mins

Awataka kuchukia rushwa na kulinda Maliasili kwa Wivu Mkubwa* Apongeza Wizara ya Maliasili na Utalii kwa usimamizi wa Sekta Kilimanjaro Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametunuku vyeti vya ngazi mbalimbali kwa wahitimu 439 wa Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori cha Mweka, mkoani Kilimanjaro ambapo amewaasa kuwa chochote watakachofanya kuchukia […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 26, 2023
333 views 3 mins

Na Beatus Maganja Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TAWA Dr Simon Mduma amesema mpango mkatati wa kibiashara wa kuendeleza shughuli za utalii eneo la Makuyuni Wildlife Park uliondaliwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA unatarajiwa kuiingizia Serikali mapato makubwa ikiwa ni pamoja na kunufaisha jamii zinazozunguka eneo hilo Dr Mduma […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 24, 2023
295 views 2 mins

Ikiwa ni ziara yake ya pili waziri majaliwa mpaka Sasa na akiendelea kutembelea mkoa wa songwe akitembelea vijiji vitongoji na Halmashauri zake na kutembelea miradi mbalimbali na akizindua miradi ya Ruwasa,shule, hospital Waziri majaliwa Amesema ziara yangu ni maarumu Kwa ajili ya kukagua miradi ya maendeleo inayojengwa Katika maeneo ya wananchi “Miradi hii ambayo Dkt.Samia […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 24, 2023
343 views 2 mins

Waziri mkuu kassim majaliwa Leo amezindua mradi wa umeme wa REA vijijini na vitongoji Katika mkoa wa songwe Waziri ameyasema hayo wakati akiwa Katika ziara yake ambayo inayoendelea Katika mkoa wa songwe na ameyazungumza hayo akiwa Katika Kijiji Cha Udugura Amesema jukumu Moja sisi wasaidizi Mhe.Rais Samia ametupa ni kuhakikisha kila mtanzania anaishi kwenye nyumba […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...