FEATURE
on Oct 25, 2023
448 views 53 secs

Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) mkoani Lindi imekamilisha ujenzi wa daraja la Mbwemkuru lenye urefu wa mita 75 na kufungua barabara ya Ruangwa-Nangurugai- Kiangara-Mirui-Mbwemkuru yenye jumla ya Km 65. Meneja wa TARURA Wilaya ya Ruangwa, Mhandisi Mashaka Narubi ameeleza kuwa kukamilika kwa daraja hilo imekua ni fursa kwa wananchi kusafiri kwa urahisi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 25, 2023
232 views 3 mins

Mazingira Uwekezaji Sekta ya Madini, sasa njia nyeupe Dar es Salaam Imeelezwa kuwa, Sekta ya Madini ni nguzo muhimu na chachu ya maendeleo ya uchumi wa nchi kupitia rasilimali madini iliyopo nchini. Hayo yameelezwa leo Oktoba 25, 2023 na Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko alipomwakilisha Rais wa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 25, 2023
601 views 4 mins

Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) katika kuongeza mazao mapya ya utalii, hivi karibuni wamegundua eneo jipya lenye hazina kubwa ya Nguzo za Asili (Natural Pillars) zenye muonekano wa kuvutia ndani ya Hifadhi ya Taifa Ruaha. Nguzo hizi zilizosimama mithili ya uyoga na kuvutia kwa macho zinasemekana zimetokana na kulika (kumomonyoka) kwa miamba yenye […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 25, 2023
348 views 48 secs

Tume ya Madini kwa kushirikiana na Taasisi zilizopo chini ya Wizara ya Madini leo Oktoba 25, 2023 inashiriki katika Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji Sekta ya Madini unaoendelea katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. Viongozi wa Tume wanaoshiriki ni pamoja na Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula, […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 24, 2023
352 views 3 mins

DAR ES SALAAM Mwenyekiti wa jumuiya ya waandishi wa Habari JUMIKITA Shabani omari matwebe Amesema jambo lolote ambalo linakuwa na tija na linahusika na wananchi inapaswa waandishi wa habari kuliunga mkono Kwa kulichukua na kulifikisha Kwa jamii Akizungumza na Waandishi wa habari jijini Dar es salaam Leo jumanne 24,2023 Mwenyekiti wa jumuiya ya waandishi wa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 24, 2023
350 views 2 mins

Mradi wa JNHPP umefikia asilimia 92.74 JNHPP kuwa Mradi wa mfano Afrika Imeelezwa kuwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anatamani Mradi wa Bwawa la Kufua Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) uanze mapema ili Watanzania wapate umeme wa uhakika. Hayo yameelezwa leo Oktoba 24, 2023 na Naibu Waziri Mkuu […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 21, 2023
399 views 2 mins

Baadhi ya Askari Polisi waliotimiza miaka 30 katika utendaji kazi ndani ya Jeshi la Polisi ‘Wadepo 1993’ leo Oktoba 21, 2023 wametembelea Hospitali ya Polisi Kilwa road na kutoa msaada wa vitu mbalimbali vyenye thamani ya shilingi Milioni 2.5. Akiongea katika hafla ya kukabidhi msaada huo Mwenyekiti wa umoja wa Askari hao, ACP. Ally Wendo […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 21, 2023
382 views 4 secs

Naibu Katibu Mkuu,Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhandisi Rogatus Mativila ameipongeza Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa kazi wanazoendelea kufanya katika maeneo mbalimbali nchini. Mhandisi Mativila ametoa pongezi hizo wakati alipokutana na kufanya kikao na Menejimenti ya Wakala huo kwenye ukumbi wa TARURA uliopo mji wa Serikali-Mtumba jijini Dodoma. Mhandisi Mativila ameitaka Menejimenti hiyo […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 21, 2023
553 views 2 mins

MAKAMU Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa Mohamed Kawaida amemtaka Katibu Mkuu wa Umoja huo Fakii Raphael Lulandala kuhakikisha analeta mabadiliko ya kiutendaji. Kawaida ametoa agizo hilo leo Oktoba 20, 2023 jijini Dar es Salaam akizungumza katika hafla ya mapokezi ya Katibu Mkuu huyo mpya aliyeteuliwa hivi karibuni yaliyofanyika jijini […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 18, 2023
308 views 4 mins

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amelitaka Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kuongeza wigo wa kuandaa miongozo ya tathimini ya athari za mazingira (TAM) kupitia sekta za viwanda, nishati, kilimo na maji ili kuharakisha zoezi la mapitio ya miradi ya tathimini […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...