FEATURE
on Sep 20, 2023
330 views 2 mins

Ofisi ya mkuu wa wilaya Kwa kushirikiana na mamlaka ya mapato TRA imeshirikiana kuandaa week ya EFD ambayo inayotumika Kwa kuhamasisha matumizi sahihi ya mashine ya EFD kwa wafanyabiashara Ili Kujenga mahusiano mazuri kati ya walipa kodi na wafanyabiashara wa Ilala na TRA na serikali imekuwa ndo kiunganishi Cha kujenga mahusiano hayo Akizungumza na waandishi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 20, 2023
254 views 2 mins

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema ushirikiano unahitajika baina ya serikali, sekta binafsi, wadau wa maendeleo, taasisi za fedha za ndani, azaki pamoja na taasisi za elimu na utafiti ili kuitekeleza vema kampeni ya uwekezaji katika sekta ya maji barani Afrika. Makamu wa Rais amesema hayo alipomwakilisha […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 19, 2023
385 views 54 secs

Mkutano wa mashirika yasiyoya kiserikali ENGO’S zimeungana Kwa pamoja Ili kuweza kupambana na magonjwa ambayo hayagewi kipaumbele Magonjwa hayo ni mabusha,matende,kichocho na ugonjwa wa vikope wa macho Trakoma ambazo jitihada zimeendelea kufanyika kama Tanzania imekuwa wenyeji Kwa mara ya kwanza Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Leo jumanne 19 September 2023 Mkurugenzi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 17, 2023
317 views 41 secs

– Ziara imekuwa na Mafanikio Makubwa. – Azindua Miradi iliyogharimu mabilioni ya Pesa. – Asema Serikali imedhamiria kufungua Mkoa wa Mtwara kiuchumi. – Wananchi wamshukuru na Kusema Ziara imekuwa neema kubwa kwenye Mkoa wao. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt, Samia Suluhu Hassan leo September 17,2023 amehitimisha Ziara ya Siku tatu Mkoani […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 16, 2023
331 views 3 mins

Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe Ridhiwani Kikwete ameeleza kuridhishwa na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) mkoani Simiyu. Mhe. Kikwete amezitaka halmashauri zote nchini zinazotekeleza miradi ya maendeleo hususani kwenye sekta ya huduma za jamii kujifunza kutoka Mkoa wa Simiyu ambao […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 16, 2023
423 views 2 mins

Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mej. Jen. (Mstaafu) Hamis Semfuko imefanya ziara ya Ukaguzi wa kikosi cha Mbwa katika Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) ili kujionea shughuli zinazofanywa na kikosi hicho katika eneo hilo, kuhakiki ufanisi wake na kuboresha utendaji Akizungumza […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 15, 2023
583 views 45 secs

Wizara ya Maliasili na Utalii nchini kupitia mradi wa Kuboresha usimamizi wa Maliasili na kukuza Utalii Nyanda za juu Kusini (REGROW) imechagiza uanzishwaji wa vikundi vya kijamii vilivyoanzisha mazao mapya ya Utalii kama vile ngoma za asili,vyakula vya asili, bidhaa za kiutamaduni kwa lengo la kuinua wananchi kiuchumi pamoja na ulinzi wa Maliasili nchini. Akizungumza […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 15, 2023
187 views 3 mins

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amezindua Mpango Mkakati wa miaka nane wa AMREF Tanzania na kuahidi kuwa Serikali itaendelea kufanya ufuatiliaji ili kuhakikisha afua zilizopo katika mpango huo zinatekelezwa kwa ufanisi na kuboresha huduma za afya kwa Watanzania. Mheshimiwa Majaliwa amesema kuwa mpango mkakati huo ambao unatarajia kugharimu dola la kimarekani milioni 458 kwa miaka yote […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 15, 2023
268 views 2 mins

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (Mb) ameipongeza Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kutumia teknolojia ya mawe kwenye ujenzi wa madaraja na barabara nchini. Waziri Mkuu ameyasema hayo alipomuwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wahandisi yaliyofanyika katika ukumbi wa Mlimani city jijini […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...