FEATURE
on Sep 6, 2023
431 views 2 mins

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango leo tarehe 06 Septemba 2023 amekutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Rais wa Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD) Dkt. Geraldine Mukeshimana. Mazungumzo hayo yamefanyika Ikulu Jijini Dar es salaam. Katika mazungumzo hayo, Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Mpango […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 6, 2023
316 views 49 secs

Mpango wa Serikali wa kuwatoa Watanzania kutoka kwenye umaskini kupitia kilimo unaonekana dhahiri kutokana na hatua mbali mbali inazochukuliwa kuboresha sekta hiyo. Aidha miongoni mwa hatua madhubuti za kuimarisha sekta hiyo ni pamoja ni kuongezeka kwa bajeti ya kilimo hadi bilioni 970 kwa mwaka huu, fedha hizo zimelenga kufanya mageuzi kutoka kwenye kilimo cha kutegemea […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 6, 2023
328 views 49 secs

BBT imetenga milioni 20 Kwa ajili ya kuhakikisha kuongeza vituo Katika wizara ya uvuvi na mifugo Kwa kushirikiana na mikoa ya hapa Nchini Katika vituo hivyo vituo nane ndo vilitengwa ambavyo vipo Chini ya wizara Moja Kwa Moja na BBT inaenda mpka mikoani Kwa kushirikiana na wakuu wa mikoa Katika mikoa hiyo ni Tabora,Morogoro,ambayo teali […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 5, 2023
376 views 2 mins

SERIKALI imeweka mikakati itakayotekelezwa na nchi hivyo kuwa kitovu cha chakula Afrika na duniani kote,ili iweze kunufaika na tishio la baa la njaa linaloikabili dunia,kwa kuuza chakula katika maeneo mbalimbaliduniani. Mikakati hiyo ni pamoja na ile ya Kibajeti,Kisera,Teknolojia,Uwekezajina Ushirikiano baina yake na taasisi mbalimbali za ndani na nje yanchi. Hayo yanatokea wakati takwimu zinaonyesha wananchi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 5, 2023
313 views 2 mins

Makamu wa Rais Dkt Phillip Mpango amesema Serikali inaendeza kufanyia jitihada za kuhakikisha kutimiza Mpango wa Pili wa Maendeleo Endelevu (SDG-2) ili kufikia sifuri ya njaa ifikapo 2030 na kuongeza uwezo wa nchi kuwa kama ghala la chakula la kikanda na kimataifa. Makamu wa Rais ameyasema hayo jijini Dar es Salaam katika ufunguzi wa mkutano […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 5, 2023
373 views 6 secs

Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhandisi Cyprian Luhemeja amewataka watendaji wa ofisi yake kuwa wabunifu na kufanya kazi kwa malengo yanayopimika ili kuiwezesha serikali kufikia malengo na kuwahudumia wananchi. Mhandisi Luhemeja ameyasema hayo Septemba 5, 2023 mara baada ya kukabidhiwa rasmi ofisi na aliyekuwa Katibu Mkuu wa ofisi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 5, 2023
232 views 2 mins

Rais wa AGRA Agnes Karibata amesema Kila mmoja wetu anahitaji kwa usawa na anastahili kimungu kupata chakula bora. walakini, pamoja na migogoro mingi ya kimataifa ya upotevu wa bayoanuwai, mabadiliko ya hali ya hewa na kuenea kwa jangwa, janga la COVID-19 na vita vinavyoendelea vya Urusi na Ukraine, Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 5, 2023
308 views 3 mins

Waziri wa kilimo Hussein Bashe amesema Tanzania inahitaji kiasi Cha fedha zaidi ya Tilioni 1.3 Kwa mwaka ifikapo 2025 ili Nchi ifikie lengo la kuongeza hekari milion 8 Katika masuala mbalimbali ya Kilimo. Hayo yamejiri Jijini Dar es salaam Katika kikao Cha ufunguzi wa Jukwaa la Mfumo WA Chakula Afrikan AGRF 2023 kilichowakutanisha Mawaziri wa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 4, 2023
274 views 11 secs

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi amesema serikali imeweka mfumo wa ufuatiliaji na tathmini ya miradi na programu za vijana ili kupima matokeo ya utekelezaji sambamba na kuleta tija kwa Taifa. Mhe. Patrobas Katambi ameyasema hayo bungeni 4 Septemba, 2023 alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 4, 2023
302 views 2 secs

Chama Cha ACT wazalendo kinaunga mkono Uwekezaji WA Bandari ya Dar es salaam kati ya Serikali ya Tanzania Na Dubai DPWorld ili kuongeza ufanisi na utendaji kazi wa Bandari hio Hayo yameelezwa Jijini Dar es salaam na Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Dorothy Semu alipokitana na Waandishi WA Habari Kwa lengo la kutia ufafanuzi kuhusu […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...