FEATURE
on Aug 23, 2023
248 views 2 mins

KATIBU Mwenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Sophia Mjema amewataka wanachama wa chama hicho kuweza kufahamu itikadi na ilani ya chama chama cha Mapinduzi sambamba na Misingi ya chama hicho. Akizungumza katika kikao kilicho wakutanisha wanachama wa chama hicho jijini Dar es Salaam Sophia Mjema amesema kuwa ni vyema wanachama cha Mapinduzi (CCM)wakafahamu wajibu wakuwa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 23, 2023
339 views 3 mins

KATIKA kipindi cha miaka minne tangu kuanzishwa kwa Wakala wa Huduma ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) ,asilimia 77 ya wananchi waishio vijijini wamefikiwa na huduma hiyo. Akizungumza katika maonyesho ya Kimataifa ya Madini yanayofanyika katika wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi,Meneja Uhusiano na Masoko RUWASA Makao Makuu Athuman Sharrif amesema,lengo ni kufika asilimia […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 22, 2023
454 views 36 secs

Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) limeanza kushughulikia changamoto za wazalishaji wa chumvi nchini kwa ajili ya kuongeza uzalishaji wa chumvi nchini kuwa wa tija na manufaa.Hayo amesema Meneja Uwezeshaji uchimbaji mdogo Tuna Bandoma wakati wa Maonesho ya Madini na Fursa za Uwekezaji akizungumza katika Kongamano la Wadau wa Chumvi lililofanyika Agosti 21, mkoani Lindi.โ€œMikakati […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 18, 2023
457 views 4 mins

Kamati ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imeridhishwa na jitihada za serikali chini ya uongozi wa Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuimarisha Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF). Pongezi hizo zimetolewa Agosti 16, 2023 jijini Dodoma na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. Fatuma Toufiq kwenye kikao cha kamati […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 18, 2023
338 views 5 mins

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amesema mazingira mazuri ya uwekezaji yaliyowekwa na Mhe. Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa sekta binafsi yamechochea ukuaji wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF). Aidha, Mhe. Ndalichako amesema ukuaji huo umepelekea thamani ya mfuko kuongezeka […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 17, 2023
414 views 2 mins

Chama Cha watetezi wa haki za binadamu LHRC siku ya jumanne walizungumza kuwa dkt slaa na wezie ambao ni mwabukusi na mdude wamekamatwa Kwa kuonewa na hawakustahili kukamatwa Sheikh mwaipopo Leo wamewajibu watetezi hao wa haki za binadamu na kusema kuwa dkt slaa na wezie hawajakamatwa Kwa sababu ya uwekezaji wa bandari Akizungumza na waandishi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 17, 2023
274 views 2 mins

CHAMA cha ACT Wazalendo kimeainisha mambo matano ambayo Serikali inatakiwa kuyachukulia hatua ili kukabiliana na changamoto za upatikanaji wa mafuta ya Petroli na Diseli nchini. Akizungumza na waandishi wa habari leo Agosti 17, 2023 jijini Dar es Salaam Waziri Kivuli wa Sekta ya Nishati wa Chama hicho Isihaka Mchinjita amebainisha hatua hizo kuwa ni Mosi, […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 16, 2023
374 views 49 secs

Mkutano wa kitaalamu Wenye lengo la kujadili juu ya maendeleo ya kisekta ya uvuvi na Ufugaji wa samaki Katika afrika.ambayo ipo Chini ya Taasisi ya AFRICA UNIONS EBAC Mkutano huo wa kitaalamu Kwa ajili ya kujadili juu ya kunyambua itifaki mbalimbali za maendeleo ya ulinzi wa rasilimali Kwa samaki Akizungumza na waandishi wa habari jijini […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 16, 2023
450 views 4 mins

SERIKALI imeendelea kutoa kipaumbele katika kuendeleza sekta ya kilimo nchini kwa kuzingatia umuhimu na tija ya sekta hiyo katika maendeleo ya Taifa. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonazi Agosti 15, 2023 wakati akihutubia katika kikao cha Awali cha Wadau kwa ajili […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 15, 2023
468 views 2 mins

ALAF Tanzania, ambayo ni moja ya makampuni chini ya Safal Group, leo imezindua rasmi dhamana ya bidhaa lengo likiwa ni kulinda ubora wa bidhaa zake kwa wateja. Uzinduzi huu unatokana na kutapakaa kwa bidhaa zilizozalishwa chini ya kiwango na pia bidhaa bandia katika soko la Tanzania na masoko ya nje. Meneja Masoko wa ALAF, Isamba […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...