FEATURE
on Aug 7, 2023
368 views 3 mins

Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo Zanzibar Mhe. Shamata Shaame Khamis amehimiza wananchi kuendelea kuunga mkono jitihada za Serikali katika Mapambano Dhidi ya Virusi vya UKIMWI nchini kwa kuendelea kuzingatia elimu inayotolewa kuhusu masuala hayo. Ametoa rai hiyo Agosti 6, 2023 alipotembelea Banda la Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu katika maonesho […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 6, 2023
691 views 2 mins

Ndoa 70 za vijana wasiokuwa na uwezo wa kutoa mahari zimefungwa leo kwa pamoja jijini Dar es Salaam katika moja ya matukio nadra kwa dini ya kiislamu nchini Tanzania katika miongo ya hivi karibuni. Ndoa hizo zimefungwa kwenye ukumbi wa DYCCC, Chang’ombe na kushuhudiwa na maelfu ya watu pamoja na viongozi mbalimbali akiwemo Naibu Spika […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 6, 2023
532 views 2 mins

Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Al-Hikma Foundation, Sheikh Nurdin Kishki amesema kati ya mabwana harusi 70 wanaofungishwa ndoa nusu yao wametoka Mkoa wa Dar es Salaam. Hayo yamebainika wakati mkurugenzi huyo akitaja maeneo waliyopeleka mahari huku akitaja katika Jiji la Dar es Salaam wamepeleka maeneo 32 ukifuatiwa na Mkoa wa Tanga sehemu tano. “Dar es […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 6, 2023
293 views 3 mins

Wafanyabiashara na wakazi wa Kimara Kibo, wilayani Ubungo wamesimulia saa mbili za ajali ya lori la mafuta ulivyosababisha hekaheka katika eneo hilo, huku wakieleza kuwa chanzo cha ajali hiyo ni dereva wa lori kumkwepa mwendesha bodaboda Dar es Salaam. Dakika 50 zimetajwa kuwatesa wafanyabiashara na wakazi wa Kibo wilayani Ubungo, baada ya lori la mafuta […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 6, 2023
404 views 3 mins

Kauli mbinu ya maonesho hayo ni “Vijana na wanawake ni msingi imara wa mifumo Endelevu ya chakula Madina Mohammed

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 5, 2023
511 views 4 mins

Meneja Uhusiano na masoko wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Athumani Shariff amesema kuwa tangu kuanzishwa kwa RUWASA mwaka 2019 wamekuwa kila mwaka wakishiriki maonesho ya kilimo kwa maana ya Nane Nane katika Mikoa ya Simiyu na Mbeya kutokana na mamlaka hiyo kuwa mdau mkubwa wa sekta ya kilimo nchini. Meneja […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 5, 2023
364 views 2 mins

Tanzania yatajwa ni nchi ya pili Afrika Kwa kuwa na ongezeko kubwa la watalii Katika robo ya kwanza ya mwaka 2023 na Nchi ya kwanza inayofatia ni Ethiopia na ya tatu ni Morocco Pia Tanzania ni nchi ya pili kuingia ushiriki wa mkutano wa shirika la UN la utalii Kanda ya Afrika (UNWTO-CAF) Katika ushirikiano […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 5, 2023
317 views 45 secs

WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA) umetekeleza Miradi wa Maghara ya kuhifadhia chakula katika Mikoa Nane ya Tanzania ili kuwasaida wakulima kuhifadhia mazao yao. Miradi hiyo ni ya teknolojia ya kisasa na inatekelezwa katika Mikoa hiyo ili kusaidia utunzaji wa mazao ya wakulima na kuongeza kuwa mikoa hiyo ni pamoja na ya Nyanda za Juu kusini, […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 4, 2023
381 views 2 mins

Taasisi ya Dayosisis ambayo inayolea watoto walemavu na wasiojiweza ambayo anakabiliwa na changamoto ya miundombinu mbalimbali ikiwemo uchakavu na ukosefu wa vitendea kazi. Taasisi hiyo inafanya harambee Kwa ajili ya kuwasaidia watoto walemavu ambao wasioona na wale wenye utindio wa ubongo na akili, harambee hiyo itafanyika mlimani city na mgeni rasmi atakuwa RAIS wa Jamhuri […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 4, 2023
383 views 2 mins

Wanasheria wazalendo wamesema Moja ya sera ni uwekezaji Katika sekta ya kiuchumi na kijamii Katika kutekeleza sera za uwekezaji serikalini pia Ina mamlaka ya kuingia makubaliano na mwekezaji wa ndani au nje ya nchi kuendeleza na kuboresha rasilimali tulizonazo kwa manufaa ya jamii na taifa kwa ujumla. Wakizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...