FEATURE
on Jul 15, 2023
539 views 34 secs

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amezitaka taasisi za haki jinai kufanya marekebisho ambayo hayana gharama za kifedha katika mifumo yao ya kiutendaji ili kuleta haki kwa wananchi. Rais Samia ameyasema hayo leo wakati akipokea taarifa rasmi ya Tume ya Kuangalia jinsi ya Kuboresha Taasisi za Haki Jinai hapa nchini […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 15, 2023
742 views 2 mins

Taasisi mpya iitwayo watetezi wa mama wamekuja Moja Kwa Moja Kwa ajili ya kumsapoti Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Katika juhudi zake ambazo anazozifanya Katika serikali yake. Miaka 2 ya mama samia mambo makubwa yamefanyika Kuna miradi ya mikakati tunaule mradi wa mwalimu Nyerere wa umeme rufiji na mradi wa reli SGR wengi tulijua miradi haiwezi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 14, 2023
255 views 3 mins

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi wateule kutoogopa kufanya maamuzi yenye nia njema kwa manufaa ya nchi. Kauli hiyo ameitoa leo Julai 14, 2023 Ikulu jijini Dar es salaam wakati akihutubia mara baada ya kuwaapisha viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni. “Lakini niwaombe kwenye nia safi na ya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 14, 2023
542 views 5 mins

Waziri wa ujenzi na uchukuzi Prof.makame mbalawa amesema Tarehe 10 juni mwaka huu Bunge la yamhuri ya Muungano wa Tanzania lililidhia Azimio la makubaliano kati ya serikali ya Muungano Tanzania na serikali ya Dubai kuhusu ushirikiano wa kiuchumi wa kijamii kwa ajili ya Utekelezaji na uboreshaji wa utendaji kazi wa bandari Tanzania pamoja na kuridhiwa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 14, 2023
197 views 2 mins

Sakata la bandari likiwa linazidi kuendelea viongozi mbalimbali, wanasheria,pia wanaharakati wanazidi kuliongelea swala hilo la bandari na kuzidi kutoa ufafanuzi wa kina Ili wananchi waelewe kuwa bandari haiuzwi Bali ni uwekezaji ambao utakuwepo baina ya serikali ya Tanzania na serikali ya Dubai. Wahariri mbalimbali nao wameweza kutoa maoni Yao wakilizungumzia swala hilo Ili kuwaelimisha jamii […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 13, 2023
213 views 3 mins

Ubongo Kids yasherehekea miaka kumi tangu kuanzishwa kwake ikiwa na mafanikio makubwa ya kuenea nchi 23 na kuzifikia familia milioni 32 kote duniani. Ubongo Kids ambayo imekuwa kinara hapa nchini kutokana na umahili wa kuandaa maudhui ya kuelimisha na kuburudisha kwa vipindi kwenye televisheni wamesherekea mafanikio hayo kwa kuzindua silizi mpya ya NUZO na NAMI […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 12, 2023
384 views 3 mins

Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya bunge ya uwekezaji wa mitaji ya Umma (PIC) ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la ukonga Jerry Silaa amesema nchi yetu inakatiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo inayotoa mamlaka Kwa kila aliepewa mamlaka na katiba,katiba hiyo imeazimishwa na mamlaka lakini vile vile mamlaka hayo wakitumia Demokrasia Kwa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 12, 2023
234 views 5 mins

Wapiga Kura 74,642 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura wanatarajiwa kushiriki katika uchaguzi mdogo wa madiwani katika kata 13 za Tanzania Bara kesho Julai 13,2023. Jumla ya wapiga kura 74,642 walioandikishwa kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura wanatarajiwa kushiriki katika uchaguzi huu mdogo na jumla ya vituo 205 vya kupigia kura vitatumika. […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 12, 2023
287 views 6 mins

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dkt. Selemani Jafo amewahakikishia Wabunge wa Zanzibar kuwa Serikali za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (SMTZ) na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) zitaendelea kuweka mifumo wezeshi ya upatikanaji wa fedha za mfuko wa maendeleo ya jimbo ili kuhakikisha miradi yote ya maendeleo inatekelezwa na kukamilika kwa wakati. Waziri Jafo ameyasema hayo […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 11, 2023
863 views 57 secs

Ukimwi ni swala ambalo watu wengi wanalifikilia na kuitaji kuhakikisha wanaweza kulidhibiti ugonjwa huu wa ukimwi Kwani taasisi mbalimbali wakiwapa elimu wananchi kuhusiana na swala hili la janga la ukimwi WHO ni shirika la afya linajitahidi sana kutoa elimu Kwa wale ambao walioathirika na kuwapa matumaini ya kuishi tena kwani kupata ukimwi sio kufa. Mtanzania […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...