FEATURE
on Jul 5, 2023
231 views 10 secs

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan awasili Jijini Lilongwe nchini Malawi kwa ajili ziara ya kiserikali.

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 4, 2023
203 views 2 mins

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka Makatibu Tawala wa Wilaya zote Tanzania Bara watekeleze majukumu yao kwa kuzingatia utawala bora, miiko na maadili ya viongozi wa umma. โ€œKila mmoja akazingatie utumishi wa umma unaongozwa kwa misingi ya sheria, kanuni, taratibu na miongozo mbalimbali ya Serikali. Misingi hiyo, ndio chachu ya ujenzi wa taswira nzuri ya Serikali […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 4, 2023
418 views 2 mins

Msanii Steve Nyerere Kwa kushirikiana na shirika la yoge wameanda mpango wa kuwasaidia watoto wasioweza kujikimu Katika vifaa vya masomo Yao na wazazi ambao wasioweza kufanikisha Maendeleo ya watoto wao. Yoge imeandaa mpango huo Kwa kufanikisha watoto wanasoma vizuri na kupata vitendea kazi kama madaftar na kuazisha kampeni ya mama ongea na mwanao “Kuna watoto […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 4, 2023
439 views 2 mins

Mfanyabiashara, Rostam Aziz amekiangukia Chama cha Majaji na Mahakimu Tanzania (JMAT), akiomba radhi kutokana na kauli aliyoitoa dhidi ya Mahakama nchini. Rostam ameomba radhi saa chache baada ya JMAT kutoa taarifa kwa umma kupitia vyombo vya habari, kikimtaka mfanyabiashara huyo athibitishe tuhuma alizotoa dhidi ya Mahakama au aombe radhi hadharani. Rostam,Juni 26, mwaka huu mbele […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 3, 2023
433 views 2 mins

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) CPA Habibu Suluo amesema mabasi 38 kampuni ya New Force Enteprises yamefutiwa ratiba za alfajiri ambapo mabasi 10 ni yale yanayoanza safari saa 9.00 alfajiri na mabasi 28 yanayoanza safari saa 11.00 alfajiri. Aidha, kuanzia tarehe 5 Julai, 2023, mabasi hayo yatafanya safari zao kuanzia saa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 1, 2023
799 views 29 secs

Katika siku za karibuni kumekuwa na taarifa za utapeli zinazosambaa katika mitandao ya kijamii kuhusu kuwepo kwa Mpango wa Rais wa Uwezeshaji wa Vijana, Taarifa hiyo yenye kichwa cha habari โ€œMpango wa Rais wa Uwezeshaji Vijanaโ€, inawahamasisha Vijana kuomba Ufadhili wa kitaifa wa uwezeshaji vijana 2023 kupitia Tovuti yenye anuani;(https://youth.empower.tzn.formsite.online) kwa ajili ya zoezi la […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jun 30, 2023
298 views 22 secs

Mkurugenzi wa Sheria wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi Mohamed Salum Leo ijumaa ya tarehe 30 amefanya mahojiano na kituo kimoja Cha television kilichopo dar es salaam Katika kufafanua na kufungua baadhi ya vifungu vya Sheria katika mkataba wa bandari huo Amesema ni kweli ibala ya 22 ya mkataba inaongelea substitute management marekebisho ya ibala […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jun 30, 2023
256 views 28 secs

Mwenyekiti wa chama Cha wakala wa meli Tanzania (TASAA) Daniel Mallongo amesema mawakala wa meli Nchini Tanzania wanasubiri Kwa hamu uwekezaji wa kampuni ya Dp world kwenye uwekezaji wa bandari ya Dar es salaam. Amesema Dp World ni kati ya kampuni tatu kubwa duniani ambazo zinazoendesha bandari mbalimbali “Dp world inaendesha takribani bandari 64 duniani […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jun 30, 2023
281 views 2 mins

Mashirika yasiyo ya kiserikali Kwa kushirikiana na serikali wamefanya mkutano maarumu Kwa ajili ya wadau na kuwapa somo wadau hao Kwa ajili ya kulipa kodi na kutatua changamoto mbalimbali. Akizungumza na waandishi wa habari Leo ijumaa ya tarehe 30 mwenyekiti WA bodi ya uratibu WA mashirika yasiyo ya kiserikali Tanzania Mwamtumu Mahiza amesema mashirika yasiyo […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jun 30, 2023
204 views 2 mins

Mbunge wa Kawe, Dar es Salaam Askofu Josephat Gwajima ameipongeza Serikali kwa kupelekea huduma ya usafi wa haraka (Mwendokasi) katika jimbo lake ambapo utiaji saidi wa ujenzi wa barabara zake umefanyika leo Juni 30, 2023 na kutaja awamu ya kwanza ya mradi huo itakuwa ni ujenzi wa kipande cha kutoka Mwenge hadi Ubungo ukigharamiwa kupitia […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...