FEATURE
on Feb 6, 2025
143 views 27 secs

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), imethibitisha kuwa ujenzi wa Bwawa la Kidunda mkoani Morogoro umefikia hatua ya asilimia 27, huku mradi ukitarajiwa kukamilika ifikapo mwaka 2026 kwa gharama ya shilingi bilioni 336. Bwawa hili linajengwa kwenye mkondo wa Mto Ruvu na […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Feb 5, 2025
100 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA _•       Waanza ujenzi wa Zahanati kuondoa kero kwa wananchi_ _•       Wasaidia upatikanaji wa urahisi wa kokoto katika marekebisho ya ujenzi wa barabara ya Iringa, Dodoma_ MGODI wa Mawe wa Ndolela Quarry uliopo kijiji cha Ndolela jimbo la Isimani mkoani Iringa umeanza ujenzi wa Zahanati kwa kushirikiana na wananchi ambayo itaondoa adha  […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Feb 5, 2025
86 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA 📌 *Lengo ni wananchi kuepuka gharama inayotokana na kuunganisha umeme wakati miradi imekamilika* Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga ametoa rai kwa wananchi kuunganisha huduma ya umeme wakati miradi mbalimbali ya umeme inapotekelezwa ili kuepuka gharama inayoweza kutokea pale miradi inapokuwa imekamilika. Mhe. Kapinga ameyasema hayo leo Februari 05 2025 […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Feb 5, 2025
83 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Tarehe: 04 Februari, 2025; Dodoma.Katika kuendelea kuboresha usambazaji wa taarifa za hali ya hewa kwa jamii kwa kushirikiana na wadau mbalimbali, Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetembelewa na Wataalamu wa Shirika lisilo la Kiserikali la Uhifadhi wa Mazingira na Maendeleo ya Kiuchumi la EMEDO ambalo linalojihusisha na uhifadhi wa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Feb 5, 2025
82 views 2 mins

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amezielekeza halmashauri zote nchini kuchukua jukumu la kulinda wananchi dhidi ya wanyamapori wakali na waharibifu kwa kushirikiana na Wizara ya Maliasili na Utalii na taasisi zake. Ameyasema hayo leo Februari 4,2025 Bungeni jijini Dodoma alipokuwa akitoa ufafanuzi kuhusu swali la Mhe. Mhandisi Ezra John […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Feb 5, 2025
85 views 6 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA 📌 *Amuagiza Mkurugenzi Mtendaji TANESCO kumchukulia hatua mtaalam aliyemfokea mteja* 📌 *Ataka Mpango Mahsusi wa Nishati uliosainiwa katika Mkutano wa Mission 300 kupewa kipaumbele* 📌 *PURA, REA, EWURA zang’ara tathmini ya utendaji kazi Taasisi chini ya Wizara ya Nishati* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameeleza […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Feb 1, 2025
147 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, ambaye alikuwa Mgeni Rasmi katika hafla ya utangazaji wa takwimu za watalii na mapato yatokanayo na utalii kwa mwaka 2024, amezindua rasmi taarifa hizo katika hafla iliyofanyika katika Hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa takwimu zilizotangazwa, jumla […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 31, 2025
321 views 2 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA waziri mkuu kasim majaliwa kuwa mgeni rasmi Katika siku ya “VALENTINE EVE PATRIOTIC AWARDS 2025″” Itakayofanyika Katika ukumbi wa hayyat Regency Tarehe 13 jijini dar es salaam. Siku hiyo watakutana wataalumu wa saiko-sosholojia  Ambapo watazungumzia maswala ya ugonjwa wa kuambukiza ambao unasadikika ni hatari sana Kwa jamii na […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 31, 2025
97 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Tuzo za  za Kimataifa ya Kuhifadhi Quraan yatakayofanyika Aprili 23 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Aidha Taifa la Saudi Arabia, limetangaza neema katika mashindano hayo ikiwa ni pamoja na  kumleta mmoja wa maimamu wakubwa wa msikiti mtakatifu […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 31, 2025
121 views 18 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema Chama na serikali yake haitakubaliana na azimio lolote litakalotolewa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) baada ya kukutana kwa faragha kama walivyotangaza viongozi wa chama hicho, juzi. Amesema amesikia chama hicho kikitangaza kwamba kinakwenda kujifungia kisha kije na […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...