FEATURE
on Dec 16, 2024
136 views 54 secs

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesaini makubaliano na Serikali ya Jamhuri ya Korea kusini kwa ajili ya ujenzi wa mradi mfumo wa uchakataji maji taka Mko wa Dar es salaam mradi utakaotumia zaidi ya dola za marekani milioni 90 Akizungumza leo Disemba 16, 2024 jijini Dar es salaam mara baada ya kushuhudia utiaji […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 16, 2024
130 views 2 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 16, 2024
123 views 2 mins

Na. Lusungu Helela – Arusha. Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.Deus Sangu amesema  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mhe. Dkt.  Samia Suluhu Hassan ni kiongozi aliyejipambanua kwa vitendo  kwa kuichukia rushwa ambapo katika Uongozi wake  ameiwezesha Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa  ( TAKUKURU) […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 16, 2024
286 views 5 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Zoezi la Uchaguzi wa Wanafunzi wa Kujiunga na Kidato cha Kwanza mwaka, 2025 kwa kuzingatia miongozo iliyotolewa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknoloji limekamilika na wanafunzi wote wenye sifa ya kujiunga Kidato cha Kwanza wamepata nafasi ya kujiunga na Kidato cha Kwanza bila ya kuwepo kwa chaguo […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 15, 2024
118 views 2 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 15, 2024
114 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA KATAVI Wananchi wafurahia uwepo wa TAWA Halmashauri ya Wilaya ya Mlele imepokea gawio la Shillingi Millioni 210 kutokana na shughuli za uwindaji wa kitalii zinazosimamiwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA wilayani humo. Gawio hilo ni asilimia 25 ya fedha zitokanazo na faida inayopatikana kutokana na shughuli za […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 15, 2024
137 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Amwakilisha Rais Samia hafla ya kutabaruku kanisa SDA- Magomeni* Ataka watu kutengenezeana furaha badala ya kuumizana* Ahimiza Mshikamano wa Taifa ili kuleta maendeleo* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Watanzania kujenga misingi ya kusaidiana kuheshimiana na kuvumiliana ili kufanikisha malengo wanayojiwekea kimaendeleo. Dkt. Biteko ametoa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 15, 2024
196 views 11 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Polisi Mkoa wa Kipolisi Rujifi inawashikilia Watu wawili, mmoja akiwa na asili ya Kiasia kwa tuhuma za kukutwa na shehena ya nyaya za shaba zilizoibwa katika Miundombinu ya Umeme – TANESCO na Shirika la Reli Tanzania (TRC). taarifa ya Jeshi la polisi imeeleza kuwa Watuhumiwa hao walikutwa na copper block 426 […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 14, 2024
92 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA *Akabidhi vifaa mbalimbali vyenye thamani ya mamilioni ya fedha katika Jimbo la Chwaka* MWAKILISHI wa Jimbo la Chwaka visiwani Zanzibar ambaye pia ni Katibu wa Halmashauri Kuu((NEC) Oganaizesheni Issa Gavu amesema Serikali ya Awamu ya Nane chini ya Rais Dk.Hussein Ali Mwinyi imefanya maendeleo makubwa kupitia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 14, 2024
178 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Wasanii wametakiwa kujitokeza kwa wingi kupima afya zao wakati wa kambi maalumu ya uchunguzi na matibabu ya moyo itakayofanyika hivi karibuni katika Kliniki ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) iliyopo Kawe. Rai hiyo imetolewa leo jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...