FEATURE
on Apr 22, 2025
35 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Waziri wa Ujenzi,  Abdallah Ulega ametoa siku 30 na kumtaka Mkandarasi Kampuni ya CHICO anayetekeleza ujenzi wa upanuzi wa barabara ya Nsalaga – Ifisi (km 29) kwa njia nne, jijini Mbeya kuongeza kasi ya ujenzi wa mradi huo ili uweze kukamilika na kupunguza msongamano wa magari katika jiji hilo. Aidha, Waziri […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Apr 22, 2025
36 views 20 secs

Wageni mbalimbali ambao wameshiriki Kikao kazi cha Maafisa Utamaduni na Maafisa Maendeleo ya Michezo Tanzania wakisikiliza mada kuhusu mmong’onyoko wa maadili katika Kikao kazi cha 15 kinachofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo Aprili 22, 2025.

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Apr 21, 2025
41 views 9 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, ametoa salamu za Sikukuu ya Pasaka katika Tamasha la Mtoko wa Pasaka lililoandaliwa na Wasanii wa Muziki wa Injili nchini. Hafla hiyo iliyofanyika Jumapili tarehe 20 Aprili 2025 katika Ukumbi wa Super Dome, Masaki, jijini Dar es Salaam, ilihusisha […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Apr 19, 2025
61 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA _Ni Daraja linalotesa Wananchi wakati wa mvua, Rais Samia aidhinisha Bilioni 9.7 linajengwa jipya la kisasa. Kukamilika Novemba._ Hakuna cha Jumamosi wala Jumapili, Katerero ni kazi juu ya kazi. Mchana wa leo Jumamosi Aprili 19, 2025 Afisa Tarafa ya Katerero iliyopo Bukoba mkoani Kagera Ndugu Bwanku M Bwanku akiongozana na Kaimu […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Apr 19, 2025
38 views 31 secs

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Mkuu wa mkoa wa dar es salaam Albert Chalamila Amesema hakuna mtu yeyote atakae vuruga amani Katika jiji la dar es salaam Ameyasema hayo Leo 18 April 2028 mkuu wa mkoa wa dar es salaam Albert Chalamila Amesema Jana tumepewa maelezo kadhaa na Kamanda wa Kanda maalumu ya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Apr 18, 2025
50 views 59 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -Asema huo ni mwanzo tu changamoto zingine zitaendelea kutatuliwa. -Ataka ujenzi wa Zahanati hiyo ukamilike haraka wananchi wa Saranga waanze kupata huduma. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo April 17,2025 amekabidhi milioni 100 kwa wakazi wa Saranga wilaya ya Ubungo ikiwa ni kutimiza ahadi aliyoitoa wakati […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Apr 17, 2025
49 views 55 secs

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Jeshi la polisi kanda maalumu dar es salaam limesema kuwa kuanzia April 18,2025 waumini wa dini ya kikristo wanaanza kuungana na wenzao duniani Kwa kusheherekea sikukuu ya pasaka itakayo sheherekewa Tarehe 20, April 2025 ambayo itahusisha Ibada mbalimbali zitakazo fanyika Katika nyumba za Ibada usiku na mchana Ameyasema […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Apr 17, 2025
41 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira amewahakikishia Watanzania kwamba Chama hakina chuki wala kısası na mtu bali kinaamini kutekeleza sera ya maridhiano. Wasira ametoa kauli hiyo jana akiwa katika mkutano wa hadhara alipokuwa akizungumza na wana CCM wilayani Urambo mkoani Tabora ambako anaendelea na ziara ya kukagua utekelezaji wa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Apr 17, 2025
43 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu,Dodomaa MBUNGE wa Jimbo la Vunjo Dkt Charles Kimei ametajwa kuwa kinara wa kuzungumzia mahitaji ya wananchi kwa kuwa miongoni mwa wabunge vinara wa kusema, kuchangia au kuhoji katika kila kikao cha bunge la 12 linalotarajiwa kuvunjwa mwishoni mwa mwezi Juni mwaka huu. Kwa mujibu wa tovuti ya Bunge la Tanzania inaonyesha Dk.Kimei […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...