FEATURE
on Oct 23, 2024
121 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA AELEKEZA UTOAJI RUZUKU KWENYE MAJIKO YA UMEME Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango amepongeza jitihada za Wakala wa Nishati Vijijini (REA) katika kuhakikisha wananchi wanafikishiwa Nishati Safi ya Kupikia. Ametoa pongezi hizo Oktoba 23, 2024 Jijini Dar es Salaam alipotembelea Banda la REA […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 23, 2024
151 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila usiku wa kuamkia leo Oktoba 23,2024 amefanya ziara Wilaya ya Ilala na Kukagua maendeleo ya miradi mbalimbali inayotekelezwa saa 24 pia ametembelea na kufanya mazungumzo na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Azania na Jangwani Jijini Dar es Salaam. Ziara ya RC […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 23, 2024
114 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Wateja 3,465 watanufaika na Mradi huo Mkuu wa mkoa wa Geita, Mhe. Martine Shigela, leo jioni, tarehe 22 Oktoba, 2024 amempokea rasmi, mkandarasi, kampuni ya CCC (Beijing) Industrial and Commercial Ltd; kampuni kutoka China, iliyoshinda kandarasi ya Mradi wa Kusambaza Umeme kwenye vitongoji 105 vya majimbo saba (7) ya mkoa wa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 23, 2024
165 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Inatekeleza mkakati wa Nishati safi ya kupikia kwa vtendo, mitungi ya gesi (LPG) 452,445ย  kusambazwa kwa bi ya ruzuku -DAR ES SALAAM KATIKA kuhakikisha asilimia 80 ya Wananchi wanatumia Nishati Safi za Kupikia ifikapo Mwaka 2034, Wakala wa Nishati Vijijini (REA) unaendelea na jitihada mbalimbali za uelimishaji, uhamasishaji na usambazaji wa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 22, 2024
238 views 10 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Katika Kipindi cha Miezi mitatu ya robo mwaka wa fedha 2024/2025 bandari ya Tanga ilipangiwa kukusanya mapato kiasi cha Shilingi bilioni 11 ambapo mpaka mwezi September wamevuka lengo na kukusanya kiasi cha Shilingi bilioni 18.6. Mafanikio ya Maboresho ya bandari ya Tanga yanaendelea kuonekana kutokana na ongezeko la Meli zinazoitumia bandari […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 22, 2024
229 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Tanganyika, Katavi Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imekamilisha ujenzi wa vivuko na daraja la Mto Mnyamasi lenye urefu wa mita 20 pamoja na kufungua barabara ya Kambanga-Ifinsi yenye urefu wa Kilomita 37 inayounganisha vijiji vya Ifinsi, Kambanga na Bugwe vilivyopo kata ya Tongwe Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 22, 2024
176 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Yakoshwa na ETDCO kuongeza ufanisi wa kazi* Kapinga asema Serikali itaendelea kuboresha upatikanaji wa Nishati safi ya Kupikia* Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeeleza kuridhishwa kwake na majukumu yanayotekelezwa na Wizara ya Nishati na Taasisi zilizo chini yake katika kuiimarisha Sekta ya Nishati nchini. Pongezi hizo zimetolewa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 21, 2024
289 views 2 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mohamed Nchengerwa amesema wananchi waliojiandikisha kupiga kura kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024 wamekuwa wengi zaidi kuliko wale wa uchaguzi uliopita uliofanyika mwaka 2019. Akizungumza na waandishi wa habari mkoani […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 21, 2024
225 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Lahusisha nchi 21 na Washiriki 800* Kuangazia Sera, fursa za masoko na uwekezaji* Kamishna Luoga asema lengo ni kuendeleza nishati ya Jotoardhi nchini* UNEP yaipongeza Tanzania kwa maandalizi* Kongamano la 10 la Jotoardhi Afrika (ARGeo-C10) limeanza kwa mafanikio jijini Dar es Salaam ambapo Wataalam takriban 800 kutoka 21 duniani wameshiriki. Hayo […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 21, 2024
166 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa leo Oktobaย  16, 2024 amemwakilisha Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika maziko ya Mzee Jeremiah Kusiluka ambaye ni Baba mzazi wa Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka yaliyofanyika katika kijiji cha Madihani, Makete mkoani Njombe. Akitoa salamu za Mheshimiwa Rais Dkt. Samia, Waziri Mkuu amesemaย  […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...