FEATURE
on Sep 21, 2024
489 views 54 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Waziri Mkuu wa zamani Jaji Joseph Warioba, ameipongeza Tume ya Haki Jinai iliyoundwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akisema imefanya kazi nzuri katika kwa kufika katika maeneo mengi yenye faida kwa Taifa hususan katika upande wa demokrasia. Warioba aliyasema hayo jana katika majadiliano ya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 20, 2024
295 views 3 mins

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Rasi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan anapaswa kutiwa moyo na kuungwa mkono kwa maendeleo makubwa anayoyafanya kwa ajili ya watanzania sio kubezwa au kumkejeli. Wakati Tansania inapata uhuru mwaka 1961 Tanzania ilikuwa na Chuo Kikuu kimoja ila kwa sasa ameimatisha sekta ya elimu na kuwa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 20, 2024
204 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Kuokoa muda kwa ajili ya   shughuli za maendeleo Atoa wito kwa wananchi kutumia Nishati Safi ya Kupikia Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji amesema uwepo wa Nishati Safi ya Kupikia kunamuokoa mtoto kike na athari (adha) zitokanazo na matumizi ya nishati isiyo […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 19, 2024
212 views 33 secs

Na Mwandishi wetu Zanzibar Imeelezwa kwamba mpango mzuri wa ufuatiliaji na tathimini umewezesha Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kufikia malengo ambayo wamejiwekea katika kutekeleza dhima ya taasisi hiyo ya kujenga na kufanya matengenezo ya mtandao wa barabara za Wilaya nchini. Akiongea kwenye Kongamano la Tatu la Kitaifa la Wiki ya Ufuatiliaji,Tathimini na […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 19, 2024
442 views 9 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Ataka TANESCO kuongeza kasi utekelezaji miradi ya umeme wa gridi Aagiza majenereta ya umeme wa mafuta Kigoma kuzimwa mwishoni mwa 2024 Azindua ujenzi mradi wa umeme Malagarasi 49.5 MW Atoa neno kuhusu uchaguzi Serikali za Mitaa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameliagiza Shirika la Umeme […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 19, 2024
221 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Kapinga asema lengo ni kuwafanya Watanzania zaidi ya asilimia 80 kutumia nishati safi ifikapo 2034. Kwa mwaka huu wa fedha mitungi laki nne kutolewa. Atoa rai kwa Watanzania kuendelea kuhamasishana matumizi ya nishati safi ya kupikia. Naibu Waziri Nishati,  Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali inaendelea kutekeleza mkakati wa nishati safi ya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 19, 2024
250 views 43 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Asisitiza Mkoa wa Kigoma ufunguke kuwa Mwanzo wa Reli Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Biteko amesema Serikali inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imedhamiria kuipatia Kigoma miradi ya maendeleo na fursa mbalimbali ili kuufungua mkoa huo kiuchumi. Akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Kata ya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 19, 2024
462 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA MKUTANO WA 11 WA TAASISI YA MERCK FOUNDATION AFRIKA ASIA LUMINARY KUFANYIKA TANZANIA Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt.Dorothy Gwajima amesema Taasisi ya uhisani ya Merck Foundation inayojishughulisha na Huduma za Jamii, inatarajia kufanya mkutano wake wa 11 nchini Tanzania tarehe 29 na 30 Oktoba […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 18, 2024
258 views 34 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Awataka kuyapa kipaumbele masuala ya wafanyakazi. Ataka changamoto ya wafanyakazi kukaimu muda mrefu kufanyiwa kazi Naibu Waziri Nishati,  Mhe. Judith Kapinga leo Septemba 17, 2024 amefungua kikao kazi cha Menejimenti ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Jijini Mwanza. Lengo la kikao hicho ni kujitathmini, kujipanga na kukumbushana masuala mbalimbali […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 17, 2024
197 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Waziri wa Maliasili na Utalii ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Njombe, Mhe. Balozi,Dkt. Pindi Chana amekabidhi madawati 90 yenye thamani ya shilingi milioni 7  kwa Shule ya Msingi Manga iliyopo katika Kijiji cha Manga, Wilayani Ludewa Mkoani Njombe leo Septemba 17, 2024. Madawati hayo yametolewa kwa udhamini […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...