FEATURE
on Sep 10, 2024
286 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Ashuhudia makabidhiano leseni  ya uendelezaji Gesi Asilia Kisima cha Ruvuma* Azitaka TPDC na ARA Petroleum kutoa kipaumbele kwa wazawa katika ajira* Kitalu cha Ruvuma kuzalisha Gesi futi ujazo trilioni 1.6* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Serikali itaendelea kuvutia wawekezaji katika tafiti na uchimbaji wa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 10, 2024
271 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mradi wa Kupambana na Ujangili na Biashara Haramu ya Wanyamapori (IWT) ulio chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii, umekabidhi mizinga  ya kisasa 300, vifaa mbalimbali vya kufugia nyuki na kusindika asali  vyenye gharama ya shilingi milioni 50 kwa Jumuiya za Hifadhi ya Wanyamapori (WAGA). Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 9, 2024
219 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA TPDC yatekeleza maagizo ya Dkt.Biteko Msimbati* Wananchi kuanza kunufaika na uwepo wa kituo cha Afya na Polisi* Kapinga asisitiza ushiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa* Naibu Waziri Nishati, Mhe.  Judith Kapinga amesema kuwa dhamira ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ni kuhakikisha wananchi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 9, 2024
341 views 57 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mradi wa Kuboresha Usimamizi wa Maliasili na Kukuza Utalii Kusini mwa Tanzania (REGROW) umenufaisha kikundi wa  kijamii cha COCOBA Chekereni Mikumi Mkoani Morogoro kwa kutoa shilingi milioni 28.8  huku wakimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kujali vikundi vya kijamii ili kujikwamua kiuchumi. Akizungumza […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 8, 2024
222 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Aiasa Jamii  Kuwatunza Wazazi na Kuwaombea Dua* Asisitiza Upendo Miongoni mwa Wanajamii* Watanzania Wasisitizwa Kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa* *Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameiasa jamii kuwa na utaratibu wa  kuwatunza na kuwajali  wazazi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 8, 2024
238 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ABU DHABI Wawekezaji waonesha nia kuwekeza kwenye biashara ya uwindaji wa kitalii na hoteli nchi Maonesho ya Kimataifa ya Uwindaji wa Kitalii yanayojulikana kwa Jina la “Abu Dhabi International Hunting and Equestrian Exhibition – ADIHEX 2024” yamezaa matunda kufuatia idadi kubwa ya wawekezaji waliohudhuria katika maonesho hayo yaliyoanza tarehe 31 Agosti […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 8, 2024
223 views 32 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Asema Ajenda ya Nishati ya Safi ya Kupikia inagusa makundi yote ya Wanachi* Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga amewataka wananchi kuendelea kuunga mkono jitihada za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia. Mhe. Kapinga  ameyasema hayo leo Septemba […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 7, 2024
252 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mradi wafikia asilimia 98* Mkandarasi alipwa Sh.Trilioni 6.3 kati ya Sh.Trillioni 6.5* Kapinga aahidi kuendeleza usimamizi makini* Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeitaka Wizara ya Nishati kuendelea kuusimamia ipasavyo Mradi wa Kuzalisha Umeme kwa Julius Nyerere (JNHPP) ili ukamilike kwa wakati. Hayo yameelezwa na Makamu Mwenyekiti wa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 7, 2024
270 views 4 mins

Ni yanayozitaka Mamlaka na Taasisi za Umma kupanga na kutekeleza kwa pamoja majukumu mbalimbali ya Serikali* Na Veronica Simba, WMA Dodoma Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Dodoma imetoa elimu ya vipimo kwa Watumishi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), hivyo kutimiza maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan yanayozitaka Mamlaka na Taasisi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 6, 2024
272 views 3 mins

Na Zainab Ally – Mikumi. Kamati ya Bunge ya Ulinzi na Usalama ya Visiwa vya Shelisheli imevutiwa na Hifadhi ya Taifa Mikumi iliyopo mkoani Morogoro na kuahidi kuwa mabalozi kindakindaki wa kuitangaza hifadhi hiyo inayosifika kwa kuwa na wanyama wanne wakubwa (The big four). Hayo yamesemwa leo Septemba 6, 2024 na Makamu Mwenyekiti wa Kamati […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...